Daah.
Mnakosea sana wakuu.
Nyote mnakosea,
Mijadala iko tofauti sana na huku tunakoenda.
Tuheshimiane kiimani tujadili hoja kistaha.
Kuanza kumsema vibaya Yesu wa Wakrostu ama Muhammad inajenga mijadala au ni kutukanana tu.
Uungwana pia ni kuheshimu imani za mwenzako.