TALIBAN imezitaka Urusi na Ukraine kutatua mzozo huo kwa njia za amani

TALIBAN imezitaka Urusi na Ukraine kutatua mzozo huo kwa njia za amani

... hivi uko utupu hadharani mhuni akiku-alert uko utupu atakuwa wrong kwa sababu ni mhuni? Let's accept the reality whether it's against our wishes or otherwise.

natania tu mkuu...
 
Hata mimi ningekua putin ningewabomoa tuu. Haiwezekani mtu ana kuweka kidole machoni halafu unamwangalia tuu.
Ukraine haijajiunga na Nato.

Ukraine haina silaha zilizowekwa na marekani.

Ukraine ni Taifa huru lenye haki ya kufanya maamuzi yake.

Urusi inafanya maamuzi yake na haiingiliwi na Ukraine.

Kwanini Urusi isiheshimu maamuzi ya nchi huru??
 
Ukraine haijajiunga na Nato.

Ukraine haina silaha zilizowekwa na marekani.

Ukraine ni Taifa huru lenye haki ya kufanya maamuzi yake.

Urusi inafanya maamuzi yake na haiingiliwi na Ukraine.

Kwanini Urusi isiheshimu maamuzi ya nchi huru??
Ukraine ina full support ya NATO ambao ni maadui dhahiri wa Russia. Putin hawezi kuwa mjinga kukaribisha maadui zake kwenye mipaka ya nchi yake. Never
 
Ukraine ina full support ya NATO ambao ni maadui dhahiri wa Russia. Putin hawezi kuwa mjinga kukaribisha maadui zake kwenye mipaka ya nchi yake. Never
Style ya Putin na Magufuli hazina tofauti wote ni nationalist

Ila unamchukia Magufuli na kumsupport Putin kisa ni mzungu.

Miafrika ndivyo tulivyo.
 
Style ya Putin na Magufuli hazina tofauti wote ni nationalist

Ila unamchukia Magufuli na kumsupport Putin kisa ni mzungu.

Miafrika ndivyo tulivyo.


Magu hatunaye je Putin naye ataondoka??!! 😨
 
Kundi la Taliban linaloongoza serikali ya Afghanistan limezitaka Russia na Ukraine kumaliza tofauti kwa njia za amani. Hapa chini ni taarifa yake kwa kiswahili (sio rasmi)..

"Emirate ya Kiislamu ya Afghanistan inafuatilia kwa karibu hali ya Ukraine na inaelezea wasiwasi wake juu ya uwezekano wa kweli wa mauaji ya raia.

Imarati ya Kiislamu inatoa wito wa kujizuia kwa pande zote mbili. Pande zote zinapaswa kuacha kuchukua misimamo ambayo inaweza kuzidisha vurugu.

Emirate ya Kiislamu ya Afghanistan, kwa kuzingatia sera yake ya nje ya kutoegemea upande wowote, inatoa wito kwa pande zote mbili za mzozo kutatua mgogoro huo kwa njia ya mazungumzo na njia za amani.

Imarati ya Kiislamu pia inatoa wito kwa pande zinazohusika katika mzozo huo kuzingatia kulinda maisha ya wanafunzi wa Afghanistan na wahamiaji nchini Ukraine".

View attachment 2133230
Duuu Talban katisha.
 
Kundi la Taliban linaloongoza serikali ya Afghanistan limezitaka Russia na Ukraine kumaliza tofauti kwa njia za amani. Hapa chini ni taarifa yake kwa kiswahili (sio rasmi)..

"Emirate ya Kiislamu ya Afghanistan inafuatilia kwa karibu hali ya Ukraine na inaelezea wasiwasi wake juu ya uwezekano wa kweli wa mauaji ya raia.

Imarati ya Kiislamu inatoa wito wa kujizuia kwa pande zote mbili. Pande zote zinapaswa kuacha kuchukua misimamo ambayo inaweza kuzidisha vurugu.

Emirate ya Kiislamu ya Afghanistan, kwa kuzingatia sera yake ya nje ya kutoegemea upande wowote, inatoa wito kwa pande zote mbili za mzozo kutatua mgogoro huo kwa njia ya mazungumzo na njia za amani.

Imarati ya Kiislamu pia inatoa wito kwa pande zinazohusika katika mzozo huo kuzingatia kulinda maisha ya wanafunzi wa Afghanistan na wahamiaji nchini Ukraine".

View attachment 2133230
Naskia wamesema ushauri wao usiposikilizwa wataingia na kuwapiga wote hadi wapotee
 
Kundi la Taliban linaloongoza serikali ya Afghanistan limezitaka Russia na Ukraine kumaliza tofauti kwa njia za amani. Hapa chini ni taarifa yake kwa kiswahili (sio rasmi)..

"Emirate ya Kiislamu ya Afghanistan inafuatilia kwa karibu hali ya Ukraine na inaelezea wasiwasi wake juu ya uwezekano wa kweli wa mauaji ya raia.

Imarati ya Kiislamu inatoa wito wa kujizuia kwa pande zote mbili. Pande zote zinapaswa kuacha kuchukua misimamo ambayo inaweza kuzidisha vurugu.

Emirate ya Kiislamu ya Afghanistan, kwa kuzingatia sera yake ya nje ya kutoegemea upande wowote, inatoa wito kwa pande zote mbili za mzozo kutatua mgogoro huo kwa njia ya mazungumzo na njia za amani.

Imarati ya Kiislamu pia inatoa wito kwa pande zinazohusika katika mzozo huo kuzingatia kulinda maisha ya wanafunzi wa Afghanistan na wahamiaji nchini Ukraine".

View attachment 2133230
Hii ndio serikali sasa, 🤣🤣 sijui kwanini hawajafungua ubarozi wao hapa
 
Back
Top Bottom