Taliban, kiboko ya USA wafanya gwaride la kuonesha vifaa walivyomteka USA baada ya kumtandika mpaka akatoka mbio

Kama dini yenu inafundisha hayo basi ni upuuzi
 
Yani wewe nnamashaka na akili yako
 
Kwamba Taliban walipamban wakashinda.

Acha udini ulio nao. Watu wanajua hyo story vizuri na nafkiri hata wewe unajua.
Acha kutudanganya hapa kisa wew ni mfia dini
Faiza aliishi kama digidigi enzi za John Magufuli, saa hizi amepata pa kujambia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…