Prince Luanda
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 2,255
- 2,825
Kama dini yenu inafundisha hayo basi ni upuuziMuislam ndugu yake ni Muislam, awe wa Afghanistan au Wamarekani, haijalishi. Waislam wa dunia nzima ni kama Kiwiliwili kimoja.
Muislam hawi na ugomvi na yeyote duniani, tunaruhusiwa kujihami na kurudishia tu tunapoanzwa. Haturuhusiwi kulianzisha.
Wewe siyo Muislam?
Waislamu wangapi duniani wanatamani kwenda Afghanistan ukilinganisha na ulaya na Marekani?Si kwa umri huu tena.
Sikupingi sweet heart...😊Hilo gwaride ndiyo sherehe rasmi ya ushindi wa Taliban toka August 2021 USA walipotoka nduki.
Unaumwa.Hakuna kwa sasa hivi.
Achana nae huyo kipofu hawezei akaona babe...😊Si umeona vidume vya upuuzi hivyo?
Unaota.
Ndio maana namuuguza mimi...🤨Unaumwa.
Muuguze anaonekana ana sonona na upweke sana ndo maana anafanya utoto humu.Ndio maana namuuguza mimi...🤨
Babe ebu punguza maneno magumu ya ghafla..🤨Naona wewe imekuuma mambo ya Taliban. Subiri tu nondo ikuingie.
. Hivyo vidume lazima uchukie kuvipenda, si mchezo.
Punguza wivu mkuu, mwali yupo na mdaka chozi hapa...😊Muuguze anaonekana ana sonona na upweke sana ndo maana anafanya utoto humu.
Kwani Taliban ni warabu?Una ugomvi na Marekani? Una undugu na Waarabu? Nauliza tu lakini
Opium ya kutengenezea HeroinNasikia kwa Sasa ndio wakulima wakuu wa miti ya cocaine duniani
Yani wewe nnamashaka na akili yakoTaliban huko Kandahar Afghanistan wamefanya gwaride la aina ya kipekee duniani, haijawahi kutokea.
Gwaride la kijeshi ambalo. Limehusisha vifaa walivyoviteka tu.
Taliban walivamiwa na majeshi ya Marekani (USA) yakishirikisha majeshi ya nchi 30 za NATO.
Taliban hawakukubali, wakaingia vitani wakipigana na mataifa 30 yanayoaminika kuwa na nguvu kubwa za kivita duniani, yakiongozwa na Marekani, vita iliyodumu kwa miaka 20 mfululizo. Jionee gwaride la kiajabu 👇🏾
Kweli hivi ndiyo vidume kiboko ya USA.
Una mafua ya Ndege WEWEHilo gwaride ndiyo sherehe rasmi ya ushindi wa Taliban toka August 2021 USA walipotoka nduki.
Kwamba Taliban walipamban wakashinda.Hilo gwaride ndiyo sherehe rasmi ya ushindi wa Taliban toka August 2021 USA walipotoka nduki.
Umempiga za chembeOndoka Canada basi ukimbilie Afghanistan.
Faiza aliishi kama digidigi enzi za John Magufuli, saa hizi amepata pa kujambiaKwamba Taliban walipamban wakashinda.
Acha udini ulio nao. Watu wanajua hyo story vizuri na nafkiri hata wewe unajua.
Acha kutudanganya hapa kisa wew ni mfia dini