FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #41
Wahega walisema "akili ni nywele kila mtu ana zake".Yani wewe nnamashaka na akili yako
Wewe poyoyo kweli kweli, akili si zako, za mwenzako halafu yakuingie wewe mashaka! Duh.
Wewe ukikuta mtu kaandika kitu, popote pale pambana na hoja , yeye mwaxhe kama alivyo. Kuanza kupambana na akili za mtu huko ni kushindwa, pmbanisha akili zako upanguwe hoja zake au kama umeona anachokiandika siyo cha kweli, weka wewe ukweli uujuwao.
Umeelewa kijana?