Taliban, kiboko ya USA wafanya gwaride la kuonesha vifaa walivyomteka USA baada ya kumtandika mpaka akatoka mbio

Hahahaaa ulishaishi Somali, Lebanon, Syria na Sasa Pakistan Hadi kupata tenda...wewe mgonjwa kichwani
Sikwenda mzee,,huko story zao zinatisha Pakstan na Afghanistan kupitia njia ya kuanzia Karachi mpaka manzar el sharif sio mchezo.. Lakini watoto wa kinondoni wamejilipua sana kule
 
Tazama jela walizokuwa wanateswa Taliban na mabwana zenu 👇🏾

 
Safi sana.
Marekani hainaga askari imara
Supapawa anawezaje kukimbia na kuacha silaha nyingi namna hiyo.
 
Kwamba Taliban walipamban wakashinda.

Acha udini ulio nao. Watu wanajua hyo story vizuri na nafkiri hata wewe unajua.
Acha kutudanganya hapa kisa wew ni mfia dini
Huyu Bi Mkora anashangaza hajui kuwa hivyo vifaa vilitelekezwa na havikutekwa kwenye uwanja wa mapambano
 
Nasikia kwa Sasa ndio wakulima wakuu wa miti ya cocaine duniani
Kweli kabisa, nimefa ta tafiti ndogo ya mtandaoni, nikakuta hiki:

Papaver somniferum, the opium poppy, has been used medicinally for over 5000 years. When the unripe seed capsule is incised a milky fluid runs out and when dried this constitutes opium (Greek opus = juice). This contains three important alkaloids—morphine, codeine, and papaverine.



bNidawa inayohitajija sana kaa tiba za hospitali zinazopatikana kwenye poppy Plant.


Ni wewe mwenyewe kukitaka. Kuufanya madawa yakulevya.


Mfano wa miwa hapa kwetu, miwa ndiyo chanzo kikuu cha sukari na sukari ndiyo chanzo kikuu cha alcohol.

Kazi ni kwako, siyo mmea au anaepanda mmea.
 
Safi sana.
Marekani hainaga askari imara
Supapawa anawezaje kukimbia na kuacha silaha nyingi namna hiyo.
Marekani nguvu zake zipo angani na manowari za kivita. Ikifikia kwenye uso kwa uso, waoga sana.

Wametoka nduki.
 
Wakianza kumdunda Iran usiseme USA ndo anapigana , hamchelew maana nyiny ni ndumi la kuwili [emoji23] [emoji23] leo waliteka kesho mtasema USA aliacha makusudi ili vitumike kumdunda Iran
 
Dini ililetwa kwa upanga , inajengaje undugu?
 
Kama mnavyorudishia kwa kuvamia shule na kuchinja watoto huko naijeria sijui watoto waliwafanya nn ! au mlipovakia kitaya na kuchinja na kuchoma moto nyumba za raia sijui wale raia waliwafanya nn
 
... unawasikiliza sana uongo wa USA kwa kutaka dunia iwaunge mkono?
Hujambo binti yangu?.

USA ni moja ya nchi ambayo ni njozi ya kila mtu kufika pale, unakuta mtu anatukana sana wazungu na mbwembwe nyingine kama hizi lakini deep mind ni State.

Mzungu akimbiwi hata kama unamtukana au kumuona kashindwa vita ila siyo mjinga kwa kiasi kikubwa unachoweza kujisherehesha mbele ya watu.

Haya mengine is just show off as kila sekunde inayopita teknolojia inageuka papo kwa hapo. ¥
 
Si wote ni dini ya mnyaanzi? Kama wanashiriki kwa vyovyote ,waliwahi kuja bongo na kuwaona mateja wanavyotesa familia zao?
 
Taliban ni Waisrael waliopotea Pashtun one of the lost tribe of Israel... Kusurvive kwao kuna maana yake sio Uislam hu wa Sheitan ni Promises from Abraham na Yahweh
 

Waislam wa uarabuni ndo waislam safi nyinyi wa huku Afrika ni wailsam uchwara.

Nimeshuhudia most cases waislam wa Afrika wananyanyasika kweny nchi za uarabuni

Rejea. yemen na oman

U CANT FOOL EVERYONE UMESIKIA BIBI?
 
Ila muarabu hautambui huo undugu kwa mtu mweusi hata kama ni muislamu hii imekaaje??

Ni sisi tunajipendekeza kwao au sisi tunaijua vizuri dini kuliko wao??? Kama tunaijua dini kuliko wao tunawasaidiaje nawao wawaze kama sisi kuwa muislam ndugu yake muislam?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…