Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinachofuata ni Marekani kuanza kuuza) kupeleka spea za Silaha lukuki walizotelekeza huko na kunyakuliwa na Wataliban.Yasemekana USA waliazimwa nchi kuijenga na kuweka miundombinu.... thuma kuwarejeshea wenye haki (wazawa wananchi) !!
Achana na Fox news propoganda, kila security expert pamoja na Michael Mullen anasema Taliban walikuwa warudi kuwa watawala wa Afghanistan kipindi chochote majeshi ya NATO yangeicha serikali corrupt ya Afghan ambayo haikuwahi ku win mioyo ya wananchi wa kawaida wala kujenga morali kwa wanajeshi wake.Haijalishi!
Kuna mangapi ya Trump ambayo Biden aliyafuta baada ya kuingia madarakani?
Hii blunder Biden anawajibika moja kwa moja.
Hakulazimishwa na mtu ayaondoe majeshi yake kwa namna alivyoyaondoa.
Kajifunze maana na umuhimu "soft powers".Pamoja na marekani kuwa na homeless wengi,Marekani huchangia 55% ya mashirika mbalimbali ya umoja wa mataifa karibu dola trilion 1.5. Kwanini isingetumia hiyo pesa kuwajengea nyumba watu wake. Endelea kushangaa na hilo.
Nawe achana na CNN propaganda!Achana na Fox news propoganda, kila security expert pamoja na Michael Mullen anasema Taliban walikuwa warudi kuwa watawala wa Afghanistan kipindi chochote majeshi ya NATO yangeicha serikali corrupt ya Afghan ambayo haikuwahi ku win mioyo ya wananchi wa kawaida wala kujenga morali kwa wanajeshi wake.
msiseme wameteka, semeni kuwa wameachiwa baada ya kuichakaza nchi yao na kutoonekana kama kuna maslahi tena ya marekani na wamagharibi. jueni westerners walienda kule tangu enzi za osama bin laden nafikiri na walikuwa wanahofu wataondokaje baada ya kutimiza malengo yao. taliban wakichukua nchi au wasichukue Marekani wanaathirika vipi kwa sasa?Aibu sana kwa Marekani!
Rais Biden hata haelewi anachokifanya.
I admire their determinationWataleban wanafurahisha sana. Jamaa hata nguo za kijesh hawana...daaah hawa tu determination yao siyo ya dunia hii
Asojua yuwajua anajuaNdugu yangu hili swala la Human geography linatatiza watu wengi sn DUNIANI kwahiyo kwa TANZANIA wala usishangae kuona watu wanasema WA-AFGHAN ni waarabu ni kuwaelekeza tu.
Nakingine nakupa WATANZANIA WALIO WENGI NCHI ikiwa ina waislam wengi wao huifahamu kama WAARABU hujawahi kuona wasomali wanawaita hawa waarabu.
Nimeona video... ni vijana wadogo wengi tu..Naona hapa kideo ndege inatembea airport raia wameizingira kibao wanatembea nayo na wengine wameidandia kama daladala.....
Usimzingizie Babu wa watu, huu ulikuwa mpango wa Trump kuondoka Kabul, Ujerumani walishaondoka, kumbuka pia Mengi yaliongelewa kuhusu kuondoka kwa Marekani na washirika wake Kabul, Trump hakujali, Biedn ameingia wakati Exit inaendelea na Trump alishasema kuwa Taliban wameisha wote, Hawa wametoka wapi? Je Kabul haikuwa na Jeshi?Aibu sana kwa Marekani!
Rais Biden hata haelewi anachokifanya.
Kabisa! kabisa!Taleban walikua wanafadhiliwa na marekani na wamarekani kuna sehemu anaweza kufadhili waasi na serikali ili afaidike baaadae sasa ili kuelewa haya mambo inabidi usiwe shabiki wa upande wowote na kuelewa jinsi mashirika ya kijajsusi duniani yanavofanya kazi ya kuvuruga amani ya dunia kwa maslahi yao inabidi uwe na uelewa wa hali ya juu
Naskia kuna miradi USA alikuwa anaimendea , Serikali ya Afghanistan wakawapa wachina , Marekani akawaambia Taleban changamkien fursa si tunaamsha 😂😀 sa sijui ni kweli au Stori za kwenye kahawaNani anayewapa Taliban silaha ni haohao marekani na washirika wake Marekani huwa hawana urafiki wa kudumu
Usimzingizie Babu wa watu, huu ulikuwa mpango wa Trump kuondoka Kabul, Ujerumani walishaondoka, kumbuka pia Mengi yaliongelewa kuhusu kuondoka kwa Marekani na washirika wake Kabul, Trump hakujali, Biedn ameingia wakati Exit inaendelea na Trump alishasema kuwa Taliban wameisha wote, Hawa wametoka wapi? Je Kabul haikuwa na Jeshi?
Miaka yote US iliyokaa Kabul wameshindwa kutengeneza jeshi imara? Walikuwa wanafanya nini?
Kumlaumu mtu wa Miezi 8 sio sawa.
Punguza chuki wewe,,, Kwani aliyemfuata mwenzie nani pale Afghanistan? Huyo unaemuita mfuga midevu au muidhinisha mashoga mmarekani?Hii mifuga midevu imejaa tope kichwan
Muongo wewe!
Biden ndo alitangaza kuondoka Afghanistan!