Taliban wavamia Iran na kuteka eneo

Wale washia na jihadists wako wapi njooni mtetee imani ya mnyaazi mungu.
 
Daah USA ni hatariiii na nusu akili kubwa sana ile ana wa keep busy wengine yeye anakua supplier wa silaha

Yaan usipo kuwa mjanja unajikuta umetumbukia kwenye vita kipumbavu sana
 
Hii habarii nimeioma jana aljazeera ila hawakusema wametaka eneow walisems mapigano baina ta pande mbili yanaendelea

Hii video haithibitishi kuwa ndio kilichotokea hivi karibuni .

Source Tiktok ni kweli mtu kuamini asilimia zote ?
wataliban wamechukua mpaka post ya iran watu watatu wamekufa ...we unasema ni ugomvi wa kenya na uganda?
 
Umefanya research kabla ya kukosoa cha walipfuatilia ? Hiyo ndo hoja yang elimu yako iwe ufunguo wako sio kifungo chako
 
Umefanya research kabla ya kukosoa cha walipfuatilia ? Hiyo ndo hoja yang elimu yako iwe ufunguo wako sio kifungo chako
Research ni taarifa ya Aljazeera haikusema tension umefikia levo hiyo ya vifaru kukimbizana kama vita kubwa .
 
wataliban wamechukua mpaka post ya iran watu watatu wamekufa ...we unasema ni ugomvi wa kenya na uganda?
Taliban ndio walianza kuwashambulia wlainzi wa mpaka wa Iran hiyo jumamosi na kuua walinzi 3 na ndipo wakanza shambuliana. Ni mashambulizi ya mpakani na chanzo ni chanzo cha maji kila mmoja anadai cha kwake.
Usitie chumvi kwenye taarifa zilete kama zilivyo.
 

Huelewi kinachoendelea ndio maana unasema wameingia mkataba na china kana kwamba Huawei inatoka waapi? Speed waliokuwa nayo iko waapi? Unajua nchi ngapi walikuwa wasa sign installation ya 5G? Unajua ukwasi kias gan angeingiza kama first installer wa hii tech? Baada ya mkwala walikosa mpaka chip pro, mpaka bank yao ya kichina ambayo walikuwa na contract nayo waliwaambia kabisa hatuwez shirikiana manake hatutak mzozano na uncle sam leta facts acha mambo ya mihemuko
 
Research ni taarifa ya Aljazeera haikusema tension umefikia levo hiyo ya vifaru kukimbizana kama vita kubwa .
Taarifa hiyo hiyo ya aljazeera ikipostiwa tik tok inageuka kuwa ya uongo ?
 
Ndyo maana nakwambia usichokijua usikimbilie kukiandika kishabiki shida mnaweka mapenzi mbele kuliko uhalisia.
Huawei tenda zao nyingi zilipungua hasa kutoka bara LA ulaya na marekani hadi mapato yao yakapungua miaka miwili ya mwanzo wa vile vikwazo ila mwaka huu kampuni imeingiza faida baada ya kubadili mwelekeo wa biashara zao kampuni ambayo ilikatiria kufilisika kabisa ni ZTE ambayo ilipigwa vikwazo pamoja na HUAWEI
 
Inaanzaga mdogomdogo
 
Unajifariji!..makubaliano maalum ndo wakimbie vile!!?..Iran na Taliban huwa haziivi tu,hii ni kabla ya Sept 11..huo mgogoro hapo ni WA maji
Ulikuwa unaangalia wkt wanaondoka au ulisimuliwa?

Sisi tulioangalia usa hakukimbia Tena walibebewa na mabegi kabisa na Taliban na kusindikizwa mpaka airport.

Taliban kuachiwa nchi ni mpango mkakati ule na matokeo yameshaanza kuonekana.
 
Ulikuwa unaangalia wkt wanaondoka au ulisimuliwa?

Sisi tulioangalia usa hakukimbia Tena walibebewa na mabegi kabisa na Taliban na kusindikizwa mpaka airport.

Taliban kuachiwa nchi ni mpango mkakati ule na matokeo yameshaanza kuonekana.
Uliangalia peke yako?..ilikua exclusive kwako tu!?.. marekani anaweza muachia Taliban silaha na nyenzo za usafiri!?..kule ni kukomboa,rais wa Afghanistan ghafla tu alidandia chopper na kusepa,wanajeshi wa Afghanistan walikua wakikimbia na kuvua gwanda,urusi naye alikimbia hivyohivyo akaacha silaha
 
Sirah alizoacha usa kule Afghanistan sio silaha complex kiasi Cha kumuwazisha lkn pia ujue hata silaha hizo kuachwa pale ni mkakati tu.

Talibani Ni ma agent tu wa cia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…