Taliban yaagiza Watangazaji wa kike wote kwenye TV kufunika nyuso zao

Taliban yaagiza Watangazaji wa kike wote kwenye TV kufunika nyuso zao

Uongozi wa Taliban umeagiza watangazaji wote wa kike katika vituo vya runinga Nchini Afghanistan wanatakiwa kuziba sura zao wanapokuwa wakitangaza.

Vyombo vya habari vimekiri kupokea maagizo hayo kutoka katika Wizara ya Maadili na inatakiwa kutekelezwa bila kuwa na mazungumzo yoyote.

Waziri wa Habari wa Afghanistan, Akif Sadiq amekiri kuwa maagizo hiyo ni maalum kwa vituo vyote vya ndani japokuwa yamekuwa yakipingwa na watetezi wa haki za Wanawake.

Source: VOANEWS

==================

Taliban Order Afghan Female TV Presenters to Cover Faces



The ruling Taliban ordered local television channels in Afghanistan Thursday to ensure that female program presenters cover their faces while on screen, increasing curbs on women’s rights despite a global outcry.

Afghan media outlets confirmed that they had received the edict from the Ministry of Vice and Virtue, charged with interpreting and enforcing the Taliban's version of Islamic Shariah law.

The country’s Tolo News television said in a statement that ministry officials had called the new order “a final verdict and not up for discussion.” The media outlet wrote on Twitter the “new order demanded all female presenters working in all TV channels to cover their faces while presenting programs.”

Ministry spokesperson Akif Sadiq confirmed to VOA that it had directed all domestic media outlets in the Afghan capital, Kabul, to bar female staff from broadcasting unless their faces are covered.

Critics slammed the continued Taliban crackdown on women’s rights.

“In addition to violating women's rights to freedom and expression, this will also block access to information for people with impaired hearing who lip read and … people who rely on visual speech cues to help them understand people on TV,” wrote Heather Barr of Human Rights Watch on Twitter.

Since regaining power in August 2021, the interim male-only Taliban government has subjected women to a series of onerous curbs.

Afghan women have been ordered to wear head-to-toe garments covering their faces when in public. Male guardians of those not complying with the decree could be sentenced to jail for three days or more.

Most women have been told not to return to their workplace or undertake long road trips unless accompanied by a close male relative. Secondary school girls over the age of twelve have not been allowed to resume classes.

The crackdown on women’s rights has outraged Afghan activists and the international community. But the Taliban have defended the measures as in accordance with Afghan culture and Islamic tradition, a position repudiated by some Islamic law scholars who say the gender-specific dress codes are inspired only by rural Afghan norms.

Most Taliban leaders have reportedly been educated at religious seminaries in rural parts of Afghanistan and Pakistan.

Thursday’s edict comes as the United Nations special rapporteur on human rights in Afghanistan, Richard Bennett, is visiting the country, where he met with Foreign Minister Amir Khan Muttaqi and other Taliban leaders.

Bennett discussed the issue of human rights, particularly those of women.

Muttaqi’s office said in a post-meeting statement that he asked Bennett to look at the rights situation in the Muslim nation through the lens of local attitudes and customs.

“Minister Muttaqi asked Mr. Bennett to report objectively & not based on statements by media, antagonist circles & self-exiled opposition,” the Taliban foreign ministry wrote on Twitter.

Bennett’s visit coincided with the Taliban’s announcement on Tuesday that they had dissolved the Afghanistan Independent Human Rights Commission (AIHRC). The U.N. envoy criticized the move on Thursday.

“The abolition of is a massive setback,” Bennett tweeted. “An independent domestic mechanism to monitor & promote human rights & receive complaints is critical for human rights protection in Afghanistan. Following up with defacto authorities.”

"The AIHRC performed extraordinary work in extremely difficult conditions over many years, shining a spotlight on the human rights of all Afghans, including victims on all sides of the conflict,” said UN human rights chief Michelle Bachelet in a statement released Thursday. "The AIHRC has been a powerful voice for human rights and a trusted partner of UN Human Rights, and its loss will be a deeply retrograde step for all Afghans and Afghan civil society."

The Taliban have also closed several other bodies that worked for the promotion of the freedom of Afghans, including the electoral commission and the ministry for women’s affairs, since taking over Afghanistan in August.
Hivi Hawa wavaa vipedo wangekua ndo kiranja wa Dunia kama USA. Watu wangeishije kwenye hii Dunia jaman. Yaan wanawake wasingepata elimu hata kidogo

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
FaizaFoxy makaveli10 adriz hiyo Sheria ni ya lazima kwenye udini ? Au ni tamaduni za kale za waarabu ?
Hiyo sheria walifundishwa kutoka kwenye biblia. Somaa:

Mwanzo 24:
64 Rebeka akainua macho, naye alipomwona Isaka, alishuka juu ya ngamia.
65 Akamwambia mtumishi, Ni nani mtu huyu ajaye kondeni kutulaki? Mtumishi akasema, Huyu ndiye bwana wangu. Basi akatwaa shela yake akajifunika.
 
Hivi huko ahera hao mabikira watakua wanafunika nyuso zao? Ni swali lakn

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Muulize aliyeiandika Biblia maana huko ndipo kwenye mafundisho hayo, ushhidi:

Mwanzo 24:
64 Rebeka akainua macho, naye alipomwona Isaka, alishuka juu ya ngamia.
65 Akamwambia mtumishi, Ni nani mtu huyu ajaye kondeni kutulaki? Mtumishi akasema, Huyu ndiye bwana wangu. Basi akatwaa shela yake akajifunika.
 
Yaan wewe ndo kafiri mkubwa. Tatzo lako hii dini umeipokea ukubwan. Mbona bibi yako huko kijijin hafuniki uso

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
sasa wewe unajifanya unanijua wakati hujui lolote kuhusu mimi ?

iko hivi Taliban wanachokifanya wanafuata amri za Mwenyezi Mungu na inshaAllah atawalipa malipo mema.

Tanzania ni Nchi ya kikafir kwa hio hakuna sheria inambana mtu ila kama Taliban uwezo wanao acha watekeleze .

Nyie mnaumia nini ?
 
Wewe unajua maana ya kutembea uchi au unafikiri mwanamke kujifunika mwili wote ndio kuingia mbinguni.

Sasa mwanaume mbona naye asijifunike mwili wote ili naye aingie mbinguni kama kwa kufanya hivyo ndio unaingia mbinguni. Imani zingine lazima uwe tu zezeta ndio ufuate. Very hopeless.
iko hivi Taliban wanachokifanya wanafuata amri za Mwenyezi Mungu na inshaAllah atawalipa malipo mema.

Tanzania ni Nchi ya kikafir kwa hio hakuna sheria inambana mtu ila kama Taliban uwezo wanao acha watekeleze .

Nyie mnaumia nini ?

mbinguni ndio wapi ?
 
Wakati huo upo zako manzese unakula mihogo.

Nchi unayowaza akili mwako kwenda kuishi ni marekani na ulaya.

Huwezi sikia mnawaza au mnaenda afgan kuishi..unafiki tu umewajaa.

#MaendeleoHayanaChama
usijifanye uko sana akilini mwangu tuliza kinyeo

iko hivi Taliban wanachokifanya wanafuata amri za Mwenyezi Mungu na inshaAllah atawalipa malipo mema.

Tanzania ni Nchi ya kikafir kwa hio hakuna sheria inambana mtu ila kama Taliban uwezo wanao acha watekeleze .

Nyie mnaumia nini ?
 
Hiyo sheria walifundishwa kutoka kwenye biblia. Somaa:

Mwanzo 24:
64 Rebeka akainua macho, naye alipomwona Isaka, alishuka juu ya ngamia.
65 Akamwambia mtumishi, Ni nani mtu huyu ajaye kondeni kutulaki? Mtumishi akasema, Huyu ndiye bwana wangu. Basi akatwaa shela yake akajifunika.
Una uhakika alijifunika hiyo shela mpaka usoni ?
 
Jambo jema acha wajifunike kwa kua waafghan wanahitaji kisikia habari sio kuona sura

Halafu pia haya mambo mbona ni ya kawaida tu kwa waislam yanakuzwaga tu sijui ni kwa maslahi ya nani

Kwani hamuonagi hata hapa bongo wanawake wa kiislam wakifunika nyuso zao?
Bongo Wanavaa hijabu kama hangaya lakini taliban wanataka wavae kininja yaonekane macho tuu yaani hata mikono na miguu isionekane kabisa
Wakivaa kama hangaya wanaonekana bado wapo uchi.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
iko hivi Taliban wanachokifanya wanafuata amri za Mwenyezi Mungu na inshaAllah atawalipa malipo mema.

Tanzania ni Nchi ya kikafir kwa hio hakuna sheria inambana mtu ila kama Taliban uwezo wanao acha watekeleze .

Nyie mnaumia nini ?

mbinguni ndio wapi ?
Sio kweli maanake wanawake wengi wa huko Afghanistan wanapinga hizo sheria za kikatili dhidi ya wanawake.

Uzuri sisi Mungu wetu hajatuambia tufuate hizo sheria za kipuuzi kwani dhambi iko rohoni na sio mwilini au kwenye mavazi.

Nashangaa mjinga anayesema eti Tanzania ni nchi ya kikafiri wakati ndipo anapoishi na ukitaka kumpeleka huko Afghanistan anaweza akajinyonga.
 
nyie makafir hamuwezi elewa nini kinaendelea huko nyie tulieni hivo hivo acha Wake zenu waendelee kutembea uchi mitaani ...
Jinga moja lililo letewa dini kutoka uarabuni na bwana mwarabu fighter linacomment udwanz wake hapa......kafikiri Kwanza kuwaita wenzanko KAFIR............nakuona ulivojitilisha huruma baada ya kumaliza kupiga puli
 
Bongo Wanavaa hijabu kama hangaya lakini taliban wanataka wavae kininja yaonekane macho tuu yaani hata mikono na miguu isionekane kabisa
Wakivaa kama hangaya wanaonekana bado wapo uchi.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
US ndio wa kulaumiwa kakaa miaka 20 kafanya nini cha maana? yeye ndio kawatoa na yeye ndio kasababisha wamerudi, hivyo basi kwa kuwa ndio wenye madaraka waheshimiwe kama nchi huru
 
Wakati huo upo zako manzese unakula mihogo.

Nchi unayowaza akili mwako kwenda kuishi ni marekani na ulaya.

Huwezi sikia mnawaza au mnaenda afgan kuishi..unafiki tu umewajaa.

#MaendeleoHayanaChama
[emoji23][emoji23][emoji23]aisee tulishakataza kupigana na vitu vizito kichwani kama hivi

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
 
Hata mbinguni tu hamna mambo ya kijinga kama hayo. Nashangaa mwili wa mtu mwingine unakuhusuje wewe. Bure kabisa.
Umejuaje kama mbinguni hakuna hayo mambo.

Uliwahi kufa halafu ukaenda mbinguni halafu ukafufuka?

Walipigana vita na kushinda kwa Mataifa yote makubwa hapa duniani.

Hivyo wanaa haki ya kuamua namna ya kujitawala
 
Back
Top Bottom