Afghanistan wanasaidiwa na Allah, wewe ndie unategemea msaada wa mabwana zako wa Kimagharibi. Kwa ujinga wako tu.
Leo kuwaanika dada na mama zako ukawaacha wametunisha makalio juu, na wasio nayo Wachina wamefanya biashara ya kuwauzia makalio feki maarufu ya "mchina", unafikiri ujinga huo ulianza vipi? Ulianza kwa kujazwa wewe kwenye ubongo wako mpaka ukawa brain dead. Unafikiri dada zako wanapo nunua makalio ya Mchina hela wanatoa wapi, na wanakwenda kumdanganya nayo nani huko mitaani, ni wewe mjinga. Mwisho wa siku anayavua analala. Jifikirie.
Wewe uliytesomeshwa ujinga ukakujaa, umeshauliwa ubongo wako, hauna uwezo wa kufikiri hata kidogo. Wewe ni msukule tu. "You are a walking corpse", ubongo wako umeshakufa kwa kujazwa ujinga, huwezi kujielewa.