Taliban yaagiza Watangazaji wa kike wote kwenye TV kufunika nyuso zao

Hayo ni mambo ya kawaida kwa Waislamu, acheni kushupalia mambo yasiwahusu.

Mnawatakia nini wanawake wa ki Afghanistan muwaone? Si katazame makalio ya dada na mama zako cornee bar Siza? Au Ohio? Au Buguruni, Rosana siku hizi?
Ina umejichanganya mpaka ukareply Kwa ID Yako nyingine! FaizaFoxy
 
Wewe hata maana ya "faragha" huielewi. Faragha ni kujianika mbele ya ulimwengu huku unahutubia?

Ujuha mwengine ni mzigo, wewe kwanza zuia maovu ya kwako hapa kabla hujayaingilia ya watu wasiokuhusu ndee wala sikm

Wewe hata maana ya "faragha" huielewi. Faragha ni kujianika mbele ya ulimwengu huku unahutubia?

Ujuha mwengine ni mzigo, wewe kwanza zuia maovu ya kwako hapa kabla hujayaingilia ya watu wasiokuhusu ndee wala sikio.
Mimi nimekuwekea maandiko uliyonukuu na kutoa maelezo ya upotoshaji wala neno faragha halipo kwenye maandiko husika.

Wewe jikite kwenye maandiko ya kitabu unachokiamini na uachane na kitabu usichokiamini kwa sababu matokeo yake ndio unaleta huo upotoshaji.
 
Kwa wasomaji wa habari?
 
Hivi huko akhera wale bikra 72 nao watajifunika? Au itakuwa mambo wazi wazi tu?
 
Mimi ni mwafrika najivunia uafrika na utamaduni wake,yeyote anayejipuuza ikiwa ni mwafrika kwa kisingizio chochote huyo ni mtumwa tu anahemkwa na tamaa za kimwili na kushindwa kuji-control huyo ni sawa na ng'ombe,mbwa...akili zao ziko sawasawa.Kama unaamini mwanamke ana matundu 7 ya KUMSTAREHESHA mwanaume kwanini usijisitiri?
 
Hata sikuelewi uichoandika ummemaanisha nini.

Wewe huna matundu? Yapo kumstarehesha nani?
 
Hata sikuelewi uichoandika ummemaanisha nini.

Wewe huna matundu? Yapo kumstarehesha nani?
Mtafute sheikh atakuambia hayo matundu saba maana akili zenu ni ngono tu au vile vitabu vyenu visaidizi umechagua vya kuviamini,pole sana mngazija naona athari za utumwa zimekukaa kwelikweli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…