Taliban yatawanyisha maandamano ya Wanawake kudai haki

Taliban yatawanyisha maandamano ya Wanawake kudai haki

Ni kweli Sharia Law haiendani na wakati tulionao, hiyo ilikuwa ni ya karne ya saba sasa kuilazimisha leo ni kitu ambacho hakiwezekani na ndio maana hao waislamu wanakimbilia uzunguni kwa sababu ya hizo sheria za kijinga jinga.

Mwanamume yeyote eti kama ukiona mwanamke amevaa nguo imebana eti wewe tayari mwili unasisimka basi unatakiwa ukapimwe akili kwani huo ni ugonjwa.

Tulisoma shuleni na wanawake tena tukichangia madawati lakini mbona hatukuwa na tatizo lolote. Kuna imani zingine ni za kipuuzi sana na hazina kabisa maana.
 
Ni kweli Sharia Law haiendani na wakati tulionao, hiyo ilikuwa ni ya karne ya saba sasa kuilazimisha leo ni kitu ambacho hakiwezekani na ndio maana hao waislamu wanakimbilia uzunguni kwa sababu ya hizo sheria za kijinga jinga.

Mwanamume yeyote eti kama ukiona mwanamke amevaa nguo imebana eti wewe tayari mwili unasisimka basi unatakiwa ukapimwe akili kwani huo ni ugonjwa.

Tulisoma shuleni na wanawake tena tukichangia madawati lakini mbona hatukuwa na tatizo lolote. Kuna imani zingine ni za kipuuzi sana na hazina kabisa maana.
Mkuu ,punguza jazba kidogo.
 
Wanawake wangapi ? 100 tuu ? Ina maana Afghanistan kuna wanawake kidogo namna hii. Acheni propaganda, bana. Hao Taaliban ndio wafaa katika iyo nchi. Sio vile vijitu vichache vikiendeshwa mbio na wamarekani/wamagharibi.
 
Marekani mhuni Sana , kawaachia tatizo , wakulane wao Kwa wao ...!!!
 
Hawa wanawake mbona hawajawahi kuandamana kutaka majeshi ya Marekani yaondoke?
Wakati majeshi ya marekani yapo pale wanawake walikuwa nawapata haki sawa na wanaume, waliruhusiwa kusoma, kufanya biashara, kuajiriwa , kitembea tofauti na baada ya majeshi kuondoka
 
Hawa jamaa Mimi wananichanganya Hivi mtume wao si ndio alioa mwanamke mpambanaji na alimzidi Hadi jamaa umri na pesa?
Hizo sheria za kusema wanawake wakae nyumbani wanazitoa wapi maana naona Kama wameenda mbali Kwa kuongeza mambo Yao au Mimi ndio sijui?
 
Hawa jamaa Mimi wananichanganya Hivi mtume wao si ndio alioa mwanamke mpambanaji na alimzidi Hadi jamaa umri na pesa?
Hizo sheria za kusema wanawake wakae nyumbani wanazitoa wapi maana naona Kama wameenda mbali Kwa kuongeza mambo Yao au Mimi ndio sijui?
Hahaaaha jamaa usichimbe ndani sana sasa tuyaonge juujuu aya mambo
 
Kitendo cha kusema vitabu vya dini kuwa vipo sawa muda wate na havipitwi na wakati kwenye baadhi ya mambo ni uongo

Kuna baadhi ya aya kwenye vitabu viliwakilisha mila na desturi za watu wa maeneo ambayo dini husika ilianzia na kwa nyakati zile za kizamani na hsikumaanisha kuwa ni Maelekezo wala maneno ya Mungu.

Suala la mavazi, kanzu kwa wakristu na waislamu hilo ni vazi la kawaida tuu kwa sehemu ambapo imani hizo zilianzia hazimaanishi kuwa ni amrisho la Mungu tuzae hivyo

Suala la mikate ilinayotumika kwenye biblia, suala la tende kwa waislam, divai kwa wakristu hivyo vyote ni vyakula na vinywaji vya asili vya sehemu dini hizo zilizoanzia na haimaanishi tukiviiga tutakuwa karibu na Mungu hapana , madhalani dini hizi zingeanzia Tanzania ungekuta maneno ya vyakula kama ugali, mlenda, makane nk na vinywaji kama togwa , mbege ulanzi nk

Suala la haki za mwanamke lilivyoandikwa kwenye vitabu hivi kweli ni kandamizi kabisaa hata kama atakuja mtafsiri na kusema kuna haki ni uongo, vitabu hivi kiasili viliendana na mila na desturi za jamii hizo na kwa wskati huo mwanamke alikuwa ni second degree human being na sio first kama mwanaume na wakati mwingine alionekana sio binaadamu bali kama mali ya mwanaume

Lakini kwa sasa dunia imebadilika, tayari wamejua haki zao hata wakifungiwa ndani ni sawa na kuzuia mafuriko kwa mikono kuna social media wataibuka tuu

Kutegemea vitabu vya dini viwe ndio statute za kuongoza nchi wakati havina kipengele cha ammendment kwenye nyakati hizi za technology na information ni uongo

na kweli dini hizi zingeanzishwa tanzania biblia na Quraan zingekuwa na aya za kuhamasisha ngono na ufisadi na chuki. ndio maana mungu alichagua nchi za kuleta dini na kuchaguwa manabii katika nchi hizo . na mbona hamlalamiki mungu hakuchagua nabii yoyote au mtume yeyote mwanamke lalamikeni na hilo.
 
Ni kweli Sharia Law haiendani na wakati tulionao, hiyo ilikuwa ni ya karne ya saba sasa kuilazimisha leo ni kitu ambacho hakiwezekani na ndio maana hao waislamu wanakimbilia uzunguni kwa sababu ya hizo sheria za kijinga jinga.

Mwanamume yeyote eti kama ukiona mwanamke amevaa nguo imebana eti wewe tayari mwili unasisimka basi unatakiwa ukapimwe akili kwani huo ni ugonjwa.

Tulisoma shuleni na wanawake tena tukichangia madawati lakini mbona hatukuwa na tatizo lolote. Kuna imani zingine ni za kipuuzi sana na hazina kabisa maana.

mbona walimu mnawafunga wanawatia mimba wasichana wa shule mbona wanafunzi wa kiume mnawahukumu jela miaka 30 kwa kuwatia mimba wasichana wa shule yote kwa sababu ya kusoma pamoja mvulana na msichana .namwalimu wa kiume wanapata nyege kwa kumsomesha mtoto wa kike. au hakuna kesi hizo
 
mnataka 50/50 sawa na wanaume sijaona wanawake mnaomba kazi bandarini ya kushusha magunia mgongoni kama wanaume si mnataka 50/50. au mkaombe ushekhe msikitini muwe mnatusalisha siku ukiwa na mimba hatusali mpaka ujifungue
 
Back
Top Bottom