Ni kweli Sharia Law haiendani na wakati tulionao, hiyo ilikuwa ni ya karne ya saba sasa kuilazimisha leo ni kitu ambacho hakiwezekani na ndio maana hao waislamu wanakimbilia uzunguni kwa sababu ya hizo sheria za kijinga jinga.
Mwanamume yeyote eti kama ukiona mwanamke amevaa nguo imebana eti wewe tayari mwili unasisimka basi unatakiwa ukapimwe akili kwani huo ni ugonjwa.
Tulisoma shuleni na wanawake tena tukichangia madawati lakini mbona hatukuwa na tatizo lolote. Kuna imani zingine ni za kipuuzi sana na hazina kabisa maana.
Mwanamume yeyote eti kama ukiona mwanamke amevaa nguo imebana eti wewe tayari mwili unasisimka basi unatakiwa ukapimwe akili kwani huo ni ugonjwa.
Tulisoma shuleni na wanawake tena tukichangia madawati lakini mbona hatukuwa na tatizo lolote. Kuna imani zingine ni za kipuuzi sana na hazina kabisa maana.