Taliban yatawanyisha maandamano ya Wanawake kudai haki

Taliban yatawanyisha maandamano ya Wanawake kudai haki

Ww ndio ujaelewa ila mm nilikiwa namaanisha ww ulicho maanisha.
Sijaongelea kuibiwa kwa mali bali nimeongelea kuibiwa kwa hao wanawake(kidnapped/abducted)
Kwaiyo usikwepe
Wewe unaongelea kuibiwa, mimi naongelea kuibwa. Bado hatuelewani.
Hayo maneno kidnapped na abducted uliyaona na kuyaelewa vizuri uliposoma comment?
 
Kitendo cha kusema vitabu vya dini kuwa vipo sawa muda wate na havipitwi na wakati kwenye baadhi ya mambo ni uongo

Kuna baadhi ya aya kwenye vitabu viliwakilisha mila na desturi za watu wa maeneo ambayo dini husika ilianzia na kwa nyakati zile za kizamani na hsikumaanisha kuwa ni Maelekezo wala maneno ya Mungu.

Suala la mavazi, kanzu kwa wakristu na waislamu hilo ni vazi la kawaida tuu kwa sehemu ambapo imani hizo zilianzia hazimaanishi kuwa ni amrisho la Mungu tuzae hivyo

Suala la mikate ilinayotumika kwenye biblia, suala la tende kwa waislam, divai kwa wakristu hivyo vyote ni vyakula na vinywaji vya asili vya sehemu dini hizo zilizoanzia na haimaanishi tukiviiga tutakuwa karibu na Mungu hapana , madhalani dini hizi zingeanzia Tanzania ungekuta maneno ya vyakula kama ugali, mlenda, makane nk na vinywaji kama togwa , mbege ulanzi nk

Suala la haki za mwanamke lilivyoandikwa kwenye vitabu hivi kweli ni kandamizi kabisaa hata kama atakuja mtafsiri na kusema kuna haki ni uongo, vitabu hivi kiasili viliendana na mila na desturi za jamii hizo na kwa wskati huo mwanamke alikuwa ni second degree human being na sio first kama mwanaume na wakati mwingine alionekana sio binaadamu bali kama mali ya mwanaume

Lakini kwa sasa dunia imebadilika, tayari wamejua haki zao hata wakifungiwa ndani ni sawa na kuzuia mafuriko kwa mikono kuna social media wataibuka tuu

Kutegemea vitabu vya dini viwe ndio statute za kuongoza nchi wakati havina kipengele cha ammendment kwenye nyakati hizi za technology na information ni uongo
Unaweza ukawa sahihi ni kweli dunia imebadilika na mimi naamini hata haya mahusiano ya jinsia moja ambayo tunayapinga sasa hivi kwa kutumia mitazamo ya hizi dini kwa kuona ushoga/usagaji ni mbaya au kwa kutumia mitazamo yeyote ile kupinga aina hiyo ya mahusiano ni kwamba ipo siku tutakuja kuyakubali hayo mahusiano na kuyaona ni kitu cha kawaida na ni sahihi maana ndipo dunia inaelekea huko hivyo lazima tu tuende nayo.
 
Unaweza ukawa sahihi ni kweli dunia imebadilika na mimi naamini hata haya mahusiano ya jinsia moja ambayo tunayapinga sasa hivi kwa kutumia mitazamo ya hizi dini kwa kuona ushoga/usagaji ni mbaya au kwa kutumia mitazamo yeyote ile kupinga aina hiyo ya mahusiano ni kwamba ipo siku tutakuja kuyakubali hayo mahusiano na kuyaona ni kitu cha kawaida na ni sahihi maana ndipo dunia inaelekea huko hivyo lazima tu tuende nayo.
Acha upumbavu sijazungumzia vitu ambavyo ni kinyume na nature ambavyo kiasili maķabila na jamii zozote hata za wanyama hawafanyi. Nimezungumzia suala la mavazi, chakula na heshima ya mwanamke katika jamii kama binadamu aliyekamilika na mwenye uhuru kama mwanaume
 
Hilo la kutembea uchi hakuna anayelibishia.

Hoja hapa ni wanawake ni binadamu wana haki ya kuajiriwa na wana haki ya kutoka nje na kufanya matembezi kama wafanyavyo binadamu yoyote.

Kuna sababu yoyote ya maana ya kukataza wanawake kuajiriwa or kujiajiri na kufanya kazi halali?

Inategemea kwa sheria zipi. Kwa sheria za Kimagharibi mwanamke yupo huru kufanya chochote hata kuuza mwili wake.
 
Acha upumbavu sijazungumzia vitu ambavyo ni kinyume na nature ambavyo kiasili maķabila na jamii zozote hata za wanyama hawafanyi. Nimezungumzia suala la mavazi, chakula na heshima ya mwanamke katika jamii kama binadamu aliyekamilika na mwenye uhuru kama mwanaume
Wanyama hawana akili si mfano mzuri sie binaadamu kuutumia kutoka kwao na ndio maana mnyama kumpanda mama yake ni kawaida tu, sasa kama wanyama hawafanyi hivyo si kwa sababu wana akili ya kujua kuwa hilo jambo baya na ndio maana hata mbwa wanafanya mapenzi na binaadamu ni suala la kuwazowesha tu. Ngono ni starehe sasa kusema ni kinyume na nature maana yake nini?
Ni suala la muda tu kulikubali hili jambo na hiyo misimamo ya kwamba sijui ni dhambi au kinyume na nature itabaki kuwa ni mambo ya kizamani tu.

Lazima tuwe na mawazo huru sio tunafungwa na mitazamo ya kizamani au misimamo ya dini.
 
Back
Top Bottom