Taliban yatawanyisha maandamano ya Wanawake kudai haki

Taliban yatawanyisha maandamano ya Wanawake kudai haki

Hawa jamaa Mimi wananichanganya Hivi mtume wao si ndio alioa mwanamke mpambanaji na alimzidi Hadi jamaa umri na pesa?
Hizo sheria za kusema wanawake wakae nyumbani wanazitoa wapi maana naona Kama wameenda mbali Kwa kuongeza mambo Yao au Mimi ndio sijui?
Huyo mke alimuoa kipindi bado anahaso kutafuta life..ila alipo tusua Na kupata followers akamuongezea wake wengine 8 akaanza kulala Na Kila mtu aliyemuona mzuri mtaani Na watumwa wake/housegirl aliwabaka Sana...baadaye ndo akaondoa mambo ya haki sawa
 
mbona walimu mnawafunga wanawatia mimba wasichana wa shule mbona wanafunzi wa kiume mnawahukumu jela miaka 30 kwa kuwatia mimba wasichana wa shule yote kwa sababu ya kusoma pamoja mvulana na msichana .namwalimu wa kiume wanapata nyege kwa kumsomesha mtoto wa kike. au hakuna kesi hizo
[emoji23][emoji23]Wewe utakuwa hujaenda hata shule
 
na kweli dini hizi zingeanzishwa tanzania biblia na Quraan zingekuwa na aya za kuhamasisha ngono na ufisadi na chuki. ndio maana mungu alichagua nchi za kuleta dini na kuchaguwa manabii katika nchi hizo . na mbona hamlalamiki mungu hakuchagua nabii yoyote au mtume yeyote mwanamke lalamikeni na hilo.
Mbona Biblia Kuna mtume wa kike
 
na kweli dini hizi zingeanzishwa tanzania biblia na Quraan zingekuwa na aya za kuhamasisha ngono na ufisadi na chuki. ndio maana mungu alichagua nchi za kuleta dini na kuchaguwa manabii katika nchi hizo . na mbona hamlalamiki mungu hakuchagua nabii yoyote au mtume yeyote mwanamke lalamikeni na hilo.
Unawaza kwa kutumia kiungo gani cha mwili? Nani kakudanganya hayo madhambi uliyoyataja huko uarabuni na izrael zilipochipikia dini hizo hazipo? nani kakudanganya kuwa huko mi mbinguni na sii duniani? Nimezungumzia mambo ya kitamaduni ikiwemo chakula ,mavazi, vinjwaji na nafasi ya mwanamke katka jamii
 
na kweli dini hizi zingeanzishwa tanzania biblia na Quraan zingekuwa na aya za kuhamasisha ngono na ufisadi na chuki. ndio maana mungu alichagua nchi za kuleta dini na kuchaguwa manabii katika nchi hizo . na mbona hamlalamiki mungu hakuchagua nabii yoyote au mtume yeyote mwanamke lalamikeni na hilo.
Nitajie imani/dini/tamaduni moja wapo ya kiafrika inayo hamasisha ngono na ufisadi na chuki.
 
Muddy alitengeneza mazezeta wenzake ndio wanatusumbua humu duniani kwa sasa..refer hamza mzee wa mjegejo...muddy aliaaniwe sana kwa kutuharibia vizazi duniani.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hilo la kutembea uchi hakuna anayelibishia.

Hoja hapa ni wanawake ni binadamu wana haki ya kuajiriwa na wana haki ya kutoka nje na kufanya matembezi kama wafanyavyo binadamu yoyote.

Kuna sababu yoyote ya maana ya kukataza wanawake kuajiriwa or kujiajiri na kufanya kazi halali?

Watembee nje wenyewe bila ulinzi, halafu wakiibwa nani aanze kuhangaika kuwatafuta.
 
mbona walimu mnawafunga wanawatia mimba wasichana wa shule mbona wanafunzi wa kiume mnawahukumu jela miaka 30 kwa kuwatia mimba wasichana wa shule yote kwa sababu ya kusoma pamoja mvulana na msichana .namwalimu wa kiume wanapata nyege kwa kumsomesha mtoto wa kike. au hakuna kesi hizo
Kwa hiyo wasiposoma ndio hawatashika hizo mimba..!!
 
Watembee nje wenyewe bila ulinzi, halafu wakiibwa nani aanze kuhangaika kuwatafuta.
Hoja ya kitoto sana hii. Wakina nani watakao waiba? Kwann waibiwe? Kipi kinachopelekea wao kuibiwa? Je wakifichwa ndani ndio hawaibiwi?

Ubakaji, uzalilishaji wa kingono upo tu atakama wakifungiwa ndani maana wazalilishaji ndio hao hao wanao wafungia ndani wanawake
 
Kitendo cha kusema vitabu vya dini kuwa vipo sawa muda wate na havipitwi na wakati kwenye baadhi ya mambo ni uongo

Kuna baadhi ya aya kwenye vitabu viliwakilisha mila na desturi za watu wa maeneo ambayo dini husika ilianzia na kwa nyakati zile za kizamani na hsikumaanisha kuwa ni Maelekezo wala maneno ya Mungu.

Suala la mavazi, kanzu kwa wakristu na waislamu hilo ni vazi la kawaida tuu kwa sehemu ambapo imani hizo zilianzia hazimaanishi kuwa ni amrisho la Mungu tuzae hivyo

Suala la mikate ilinayotumika kwenye biblia, suala la tende kwa waislam, divai kwa wakristu hivyo vyote ni vyakula na vinywaji vya asili vya sehemu dini hizo zilizoanzia na haimaanishi tukiviiga tutakuwa karibu na Mungu hapana , madhalani dini hizi zingeanzia Tanzania ungekuta maneno ya vyakula kama ugali, mlenda, makane nk na vinywaji kama togwa , mbege ulanzi nk

Suala la haki za mwanamke lilivyoandikwa kwenye vitabu hivi kweli ni kandamizi kabisaa hata kama atakuja mtafsiri na kusema kuna haki ni uongo, vitabu hivi kiasili viliendana na mila na desturi za jamii hizo na kwa wskati huo mwanamke alikuwa ni second degree human being na sio first kama mwanaume na wakati mwingine alionekana sio binaadamu bali kama mali ya mwanaume

Lakini kwa sasa dunia imebadilika, tayari wamejua haki zao hata wakifungiwa ndani ni sawa na kuzuia mafuriko kwa mikono kuna social media wataibuka tuu

Kutegemea vitabu vya dini viwe ndio statute za kuongoza nchi wakati havina kipengele cha ammendment kwenye nyakati hizi za technology na information ni uongo
Vitabu vya dini huandikwa kufit mazingira na nyakati. Ndio maana Quran ilitumia miaka 23 hadi kukamilika na ilikuwa ikitoa maagizo kadri mambo yanavyojitokeza. Hivyo vitabu vya dini, ni kweli hupitwa na wakati.
 
na kweli dini hizi zingeanzishwa tanzania biblia na Quraan zingekuwa na aya za kuhamasisha ngono na ufisadi na chuki. ndio maana mungu alichagua nchi za kuleta dini na kuchaguwa manabii katika nchi hizo . na mbona hamlalamiki mungu hakuchagua nabii yoyote au mtume yeyote mwanamke lalamikeni na hilo.
Mungu hakuleta dini. Na hakuna jamii ambayo haikuwa na dini.
 
Vitabu vya dini huandikwa kufit mazingira na nyakati. Ndio maana Quran ilitumia miaka 23 hadi kukamilika na ilikuwa ikitoa maagizo kadri mambo yanavyojitokeza. Hivyo vitabu vya dini, ni kweli hupitwa na wakati.
Watu wengi wanaishi maisha ya kisasa kabisa tofauti na maisha ya kijima ambavyo vitabu hivyo vinaelekeza yamebaki maigizo ya kujionyesha kwenye swala na mavazi tuu
 
Watu wengi wanaishi maisha ya kisasa kabisa tofauti na maisha ya kijima ambavyo vitabu hivyo vinaelekeza yamebaki maigizo ya kujionyesha kwenye swala na mavazi tuu
Kimsingi kadri siku sayansi na teknolojia inavyozidi kukua, dini hizi zinapoteza maana kwenye maisha ya watu! Pengine tutegemee mitume wapya, watakaoendana na hali ya sasa ya dunia.
 
Hoja ya kitoto sana hii. Wakina nani watakao waiba? Kwann waibiwe? Kipi kinachopelekea wao kuibiwa? Je wakifichwa ndani ndio hawaibiwi?

Ubakaji, uzalilishaji wa kingono upo tu atakama wakifungiwa ndani maana wazalilishaji ndio hao hao wanao wafungia ndani wanawake

Bro, hapo ni hoja 2 tofauti. Mimi naongelea kuibwa wenyewe. Halafu wewe unaongelea kuibiwa, sijui mali zao. Hivyo kajipange, uje tena ili tuwe na uelewa wa pamoja.
 
Bro, hapo ni hoja 2 tofauti. Mimi naongelea kuibwa wenyewe. Halafu wewe unaongelea kuibiwa, sijui mali zao. Hivyo kajipange, uje tena ili tuwe na uelewa wa pamoja.
Ww ndio ujaelewa ila mm nilikiwa namaanisha ww ulicho maanisha.
Sijaongelea kuibiwa kwa mali bali nimeongelea kuibiwa kwa hao wanawake(kidnapped/abducted)
Kwaiyo usikwepe
 
Ww ndio ujaelewa ila mm nilikiwa namaanisha ww ulicho maanisha.
Sijaongelea kuibiwa kwa mali bali nimeongelea kuibiwa kwa hao wanawake(kidnapped/abducted)
Kwaiyo usikwepe

Wewe unaongelea kuibiwa, mimi naongelea kuibwa. Bado hatuelewani.
 
Back
Top Bottom