Mkuu ,punguza jazba kidogo.Ni kweli Sharia Law haiendani na wakati tulionao, hiyo ilikuwa ni ya karne ya saba sasa kuilazimisha leo ni kitu ambacho hakiwezekani na ndio maana hao waislamu wanakimbilia uzunguni kwa sababu ya hizo sheria za kijinga jinga.
Mwanamume yeyote eti kama ukiona mwanamke amevaa nguo imebana eti wewe tayari mwili unasisimka basi unatakiwa ukapimwe akili kwani huo ni ugonjwa.
Tulisoma shuleni na wanawake tena tukichangia madawati lakini mbona hatukuwa na tatizo lolote. Kuna imani zingine ni za kipuuzi sana na hazina kabisa maana.
Miaka 20 pale siyo bure- wataelewana tuMarekani mhuni Sana , kawaachia tatizo , wakulane wao Kwa wao ...!!!
Huenda hayo majeshi hayakuwa kikwazo kwao kupata haki zao.Hawa wanawake mbona hawajawahi kuandamana kutaka majeshi ya Marekani yaondoke?
Hakuna shida wakiandamana, ndiyo demokrasia hiyo.Huenda hayo majeshi hayakuwa kikwazo kwao kupata haki zao.
Hao Wa-pashtuni hawana demokrasia mkuu wao wana 'sharia' tu.Hakuna shida wakiandamana, ndiyo demokrasia hiyo.
Wakati majeshi ya marekani yapo pale wanawake walikuwa nawapata haki sawa na wanaume, waliruhusiwa kusoma, kufanya biashara, kuajiriwa , kitembea tofauti na baada ya majeshi kuondokaHawa wanawake mbona hawajawahi kuandamana kutaka majeshi ya Marekani yaondoke?
Hao wamarekani walikuwa msaada mkubwa kwao,kimwili na kiroho, hasa kimwili.Hawa wanawake mbona hawajawahi kuandamana kutaka majeshi ya Marekani yaondoke?
Sio jazba ni ukweli tu nauelezea.Mkuu ,punguza jazba kidogo.
Hahaaaha jamaa usichimbe ndani sana sasa tuyaonge juujuu aya mamboHawa jamaa Mimi wananichanganya Hivi mtume wao si ndio alioa mwanamke mpambanaji na alimzidi Hadi jamaa umri na pesa?
Hizo sheria za kusema wanawake wakae nyumbani wanazitoa wapi maana naona Kama wameenda mbali Kwa kuongeza mambo Yao au Mimi ndio sijui?
haaaahaaa tutachimbua mambo ya Franco Luambo Makiadi lile song la Mariyoooooooo!Hahaaaha jamaa usichimbe ndani sana sasa tuyaonge juujuu aya mambo
Waarabu ni race ya watu wajinga Zaidi duniani
Kitendo cha kusema vitabu vya dini kuwa vipo sawa muda wate na havipitwi na wakati kwenye baadhi ya mambo ni uongo
Kuna baadhi ya aya kwenye vitabu viliwakilisha mila na desturi za watu wa maeneo ambayo dini husika ilianzia na kwa nyakati zile za kizamani na hsikumaanisha kuwa ni Maelekezo wala maneno ya Mungu.
Suala la mavazi, kanzu kwa wakristu na waislamu hilo ni vazi la kawaida tuu kwa sehemu ambapo imani hizo zilianzia hazimaanishi kuwa ni amrisho la Mungu tuzae hivyo
Suala la mikate ilinayotumika kwenye biblia, suala la tende kwa waislam, divai kwa wakristu hivyo vyote ni vyakula na vinywaji vya asili vya sehemu dini hizo zilizoanzia na haimaanishi tukiviiga tutakuwa karibu na Mungu hapana , madhalani dini hizi zingeanzia Tanzania ungekuta maneno ya vyakula kama ugali, mlenda, makane nk na vinywaji kama togwa , mbege ulanzi nk
Suala la haki za mwanamke lilivyoandikwa kwenye vitabu hivi kweli ni kandamizi kabisaa hata kama atakuja mtafsiri na kusema kuna haki ni uongo, vitabu hivi kiasili viliendana na mila na desturi za jamii hizo na kwa wskati huo mwanamke alikuwa ni second degree human being na sio first kama mwanaume na wakati mwingine alionekana sio binaadamu bali kama mali ya mwanaume
Lakini kwa sasa dunia imebadilika, tayari wamejua haki zao hata wakifungiwa ndani ni sawa na kuzuia mafuriko kwa mikono kuna social media wataibuka tuu
Kutegemea vitabu vya dini viwe ndio statute za kuongoza nchi wakati havina kipengele cha ammendment kwenye nyakati hizi za technology na information ni uongo
Ni kweli Sharia Law haiendani na wakati tulionao, hiyo ilikuwa ni ya karne ya saba sasa kuilazimisha leo ni kitu ambacho hakiwezekani na ndio maana hao waislamu wanakimbilia uzunguni kwa sababu ya hizo sheria za kijinga jinga.
Mwanamume yeyote eti kama ukiona mwanamke amevaa nguo imebana eti wewe tayari mwili unasisimka basi unatakiwa ukapimwe akili kwani huo ni ugonjwa.
Tulisoma shuleni na wanawake tena tukichangia madawati lakini mbona hatukuwa na tatizo lolote. Kuna imani zingine ni za kipuuzi sana na hazina kabisa maana.