Taliban yatawanyisha maandamano ya Wanawake kudai haki

Huyo mke alimuoa kipindi bado anahaso kutafuta life..ila alipo tusua Na kupata followers akamuongezea wake wengine 8 akaanza kulala Na Kila mtu aliyemuona mzuri mtaani Na watumwa wake/housegirl aliwabaka Sana...baadaye ndo akaondoa mambo ya haki sawa
 
[emoji23][emoji23]Wewe utakuwa hujaenda hata shule
 
Mbona Biblia Kuna mtume wa kike
 
Unawaza kwa kutumia kiungo gani cha mwili? Nani kakudanganya hayo madhambi uliyoyataja huko uarabuni na izrael zilipochipikia dini hizo hazipo? nani kakudanganya kuwa huko mi mbinguni na sii duniani? Nimezungumzia mambo ya kitamaduni ikiwemo chakula ,mavazi, vinjwaji na nafasi ya mwanamke katka jamii
 
Nitajie imani/dini/tamaduni moja wapo ya kiafrika inayo hamasisha ngono na ufisadi na chuki.
 
Muddy alitengeneza mazezeta wenzake ndio wanatusumbua humu duniani kwa sasa..refer hamza mzee wa mjegejo...muddy aliaaniwe sana kwa kutuharibia vizazi duniani.

#MaendeleoHayanaChama
 

Watembee nje wenyewe bila ulinzi, halafu wakiibwa nani aanze kuhangaika kuwatafuta.
 
Kwa hiyo wasiposoma ndio hawatashika hizo mimba..!!
 
Watembee nje wenyewe bila ulinzi, halafu wakiibwa nani aanze kuhangaika kuwatafuta.
Hoja ya kitoto sana hii. Wakina nani watakao waiba? Kwann waibiwe? Kipi kinachopelekea wao kuibiwa? Je wakifichwa ndani ndio hawaibiwi?

Ubakaji, uzalilishaji wa kingono upo tu atakama wakifungiwa ndani maana wazalilishaji ndio hao hao wanao wafungia ndani wanawake
 
Vitabu vya dini huandikwa kufit mazingira na nyakati. Ndio maana Quran ilitumia miaka 23 hadi kukamilika na ilikuwa ikitoa maagizo kadri mambo yanavyojitokeza. Hivyo vitabu vya dini, ni kweli hupitwa na wakati.
 
Mungu hakuleta dini. Na hakuna jamii ambayo haikuwa na dini.
 
Vitabu vya dini huandikwa kufit mazingira na nyakati. Ndio maana Quran ilitumia miaka 23 hadi kukamilika na ilikuwa ikitoa maagizo kadri mambo yanavyojitokeza. Hivyo vitabu vya dini, ni kweli hupitwa na wakati.
Watu wengi wanaishi maisha ya kisasa kabisa tofauti na maisha ya kijima ambavyo vitabu hivyo vinaelekeza yamebaki maigizo ya kujionyesha kwenye swala na mavazi tuu
 
Watu wengi wanaishi maisha ya kisasa kabisa tofauti na maisha ya kijima ambavyo vitabu hivyo vinaelekeza yamebaki maigizo ya kujionyesha kwenye swala na mavazi tuu
Kimsingi kadri siku sayansi na teknolojia inavyozidi kukua, dini hizi zinapoteza maana kwenye maisha ya watu! Pengine tutegemee mitume wapya, watakaoendana na hali ya sasa ya dunia.
 

Bro, hapo ni hoja 2 tofauti. Mimi naongelea kuibwa wenyewe. Halafu wewe unaongelea kuibiwa, sijui mali zao. Hivyo kajipange, uje tena ili tuwe na uelewa wa pamoja.
 
Bro, hapo ni hoja 2 tofauti. Mimi naongelea kuibwa wenyewe. Halafu wewe unaongelea kuibiwa, sijui mali zao. Hivyo kajipange, uje tena ili tuwe na uelewa wa pamoja.
Ww ndio ujaelewa ila mm nilikiwa namaanisha ww ulicho maanisha.
Sijaongelea kuibiwa kwa mali bali nimeongelea kuibiwa kwa hao wanawake(kidnapped/abducted)
Kwaiyo usikwepe
 
Ww ndio ujaelewa ila mm nilikiwa namaanisha ww ulicho maanisha.
Sijaongelea kuibiwa kwa mali bali nimeongelea kuibiwa kwa hao wanawake(kidnapped/abducted)
Kwaiyo usikwepe

Wewe unaongelea kuibiwa, mimi naongelea kuibwa. Bado hatuelewani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…