Ww ndio ujaelewa ila mm nilikiwa namaanisha ww ulicho maanisha.
Sijaongelea kuibiwa kwa mali bali nimeongelea kuibiwa kwa hao wanawake(kidnapped/abducted)
Kwaiyo usikwepe
Hayo maneno kidnapped na abducted uliyaona na kuyaelewa vizuri uliposoma comment?Wewe unaongelea kuibiwa, mimi naongelea kuibwa. Bado hatuelewani.
Hayo maneno kidnapped na abducted uliyaona na kuyaelewa vizuri uliposoma comment?
Sawa kama uliyaona uliyaelewa? Maana ndio yaliyokuwa na maana unayoimaanishaNdiyo nimeyaona.
Sawa kama uliyaona uliyaelewa? Maana ndio yaliyokuwa na maana unayoimaanisha
Wakiibiwa na nani?Watembee nje wenyewe bila ulinzi, halafu wakiibwa nani aanze kuhangaika kuwatafuta.
Wakiibiwa na nani?
Unaweza ukawa sahihi ni kweli dunia imebadilika na mimi naamini hata haya mahusiano ya jinsia moja ambayo tunayapinga sasa hivi kwa kutumia mitazamo ya hizi dini kwa kuona ushoga/usagaji ni mbaya au kwa kutumia mitazamo yeyote ile kupinga aina hiyo ya mahusiano ni kwamba ipo siku tutakuja kuyakubali hayo mahusiano na kuyaona ni kitu cha kawaida na ni sahihi maana ndipo dunia inaelekea huko hivyo lazima tu tuende nayo.Kitendo cha kusema vitabu vya dini kuwa vipo sawa muda wate na havipitwi na wakati kwenye baadhi ya mambo ni uongo
Kuna baadhi ya aya kwenye vitabu viliwakilisha mila na desturi za watu wa maeneo ambayo dini husika ilianzia na kwa nyakati zile za kizamani na hsikumaanisha kuwa ni Maelekezo wala maneno ya Mungu.
Suala la mavazi, kanzu kwa wakristu na waislamu hilo ni vazi la kawaida tuu kwa sehemu ambapo imani hizo zilianzia hazimaanishi kuwa ni amrisho la Mungu tuzae hivyo
Suala la mikate ilinayotumika kwenye biblia, suala la tende kwa waislam, divai kwa wakristu hivyo vyote ni vyakula na vinywaji vya asili vya sehemu dini hizo zilizoanzia na haimaanishi tukiviiga tutakuwa karibu na Mungu hapana , madhalani dini hizi zingeanzia Tanzania ungekuta maneno ya vyakula kama ugali, mlenda, makane nk na vinywaji kama togwa , mbege ulanzi nk
Suala la haki za mwanamke lilivyoandikwa kwenye vitabu hivi kweli ni kandamizi kabisaa hata kama atakuja mtafsiri na kusema kuna haki ni uongo, vitabu hivi kiasili viliendana na mila na desturi za jamii hizo na kwa wskati huo mwanamke alikuwa ni second degree human being na sio first kama mwanaume na wakati mwingine alionekana sio binaadamu bali kama mali ya mwanaume
Lakini kwa sasa dunia imebadilika, tayari wamejua haki zao hata wakifungiwa ndani ni sawa na kuzuia mafuriko kwa mikono kuna social media wataibuka tuu
Kutegemea vitabu vya dini viwe ndio statute za kuongoza nchi wakati havina kipengele cha ammendment kwenye nyakati hizi za technology na information ni uongo
Acha upumbavu sijazungumzia vitu ambavyo ni kinyume na nature ambavyo kiasili maķabila na jamii zozote hata za wanyama hawafanyi. Nimezungumzia suala la mavazi, chakula na heshima ya mwanamke katika jamii kama binadamu aliyekamilika na mwenye uhuru kama mwanaumeUnaweza ukawa sahihi ni kweli dunia imebadilika na mimi naamini hata haya mahusiano ya jinsia moja ambayo tunayapinga sasa hivi kwa kutumia mitazamo ya hizi dini kwa kuona ushoga/usagaji ni mbaya au kwa kutumia mitazamo yeyote ile kupinga aina hiyo ya mahusiano ni kwamba ipo siku tutakuja kuyakubali hayo mahusiano na kuyaona ni kitu cha kawaida na ni sahihi maana ndipo dunia inaelekea huko hivyo lazima tu tuende nayo.
Hilo la kutembea uchi hakuna anayelibishia.
Hoja hapa ni wanawake ni binadamu wana haki ya kuajiriwa na wana haki ya kutoka nje na kufanya matembezi kama wafanyavyo binadamu yoyote.
Kuna sababu yoyote ya maana ya kukataza wanawake kuajiriwa or kujiajiri na kufanya kazi halali?
Wanyama hawana akili si mfano mzuri sie binaadamu kuutumia kutoka kwao na ndio maana mnyama kumpanda mama yake ni kawaida tu, sasa kama wanyama hawafanyi hivyo si kwa sababu wana akili ya kujua kuwa hilo jambo baya na ndio maana hata mbwa wanafanya mapenzi na binaadamu ni suala la kuwazowesha tu. Ngono ni starehe sasa kusema ni kinyume na nature maana yake nini?Acha upumbavu sijazungumzia vitu ambavyo ni kinyume na nature ambavyo kiasili maķabila na jamii zozote hata za wanyama hawafanyi. Nimezungumzia suala la mavazi, chakula na heshima ya mwanamke katika jamii kama binadamu aliyekamilika na mwenye uhuru kama mwanaume