Tamaduni 10 za kidini ambazo hazimo kwenye Biblia au Quran

Tamaduni 10 za kidini ambazo hazimo kwenye Biblia au Quran

Wewe ni mwamba na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa.....nakupa funguo za mbinguni, utakalolifunga duniani na mbinguni limefungwa... vivyo hivyo kwa utalolifungua duniani
 
Kwa hiyo Ni dhambi mchungaji kuoa au kuolewa
Sijasema hili mkuu. Labda nikusaidie tu kuwa, "si dhambi mchungaji kuoa au kuolewa na si dhambi mchungaji kutokuoa".

Mkuu inawezekana sijakuelewa au wewe ndio hujamuelewa Yesu.
Wewe ndiye hujamwelewa, mwili huu wafaa nini kwake. Ukiolewa ama usipoolewa Yesu hana shida na wewe.
Msikilize hapa anasemaje:

Yohana 6:63
Roho ndiyo itiayo uzima, mwili haufai kitu; maneno hayo niliyowaambia ni roho, tena ni uzima.


Maana Petro alikuwa na mke na hakumwambia amuache ili asijeakaukosa ulimwengu mpya
Safi sana. Maana yake nini? Ni hii, Ulimwengu mpya hauhusiani kabisa na mambo ya kuoa au kuolewa katika ulimwengu wa kale.
Ndio maana akasema:

Luka 20:35
lakini, wale wahesabiwao kuwa wamestahili kuupata ulimwengu ule, na kule kufufuka katika wafu, hawaoi wala hawaolewi;
 
Amwaminiye Yesu maana yake amhana dhambi.
Kweli kabisa. Ongeza na hili, amwaminiye Yesu hafi kabisa.

Yohana 8:51
Amin, amin, nawaambia, Mtu akilishika neno langu, hataona mauti milele.

Je mtu unayemwona amekufa katika ulimwengu huu utajuaje kuwa yu mzima katika ulimwengu mpya? La hasha, Mungu ajua.

Kwahiyo hao wanaamini kuwa ndugu zao ni wazima, kwani Yesu aliahidi atatupa uzima wa milele kama tukiamini.

Yohana 3:14
Na kama vile Musa alivyomwinua yule nyoka jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa;
Yohana 3:15
ili kila mtu aaminiye awe na uzima wa milele katika yeye.

Kwahiyo wewe usiye sadiki utaona na kufikri kuwa ni maiti, bali waaminio watasadiki kuwa ndugu yao yu mzima katika Kristo. Hivyo wakimuombea au wakimwomba awaombee ni sawa na kwamba wanazungumza na baba(Kristo) aliye ndani ya yule uonae wewe kuwa ni maiti.
 
Ukijua kutofautisha haya mambo ndio utajua kuna
Quran
Hadith za mtume
Suna
 
Kweli kabisa. Ongeza na hili, amwaminiye Yesu hafi kabisa.

Yohana 8:51
Amin, amin, nawaambia, Mtu akilishika neno langu, hataona mauti milele.

Je mtu unayemwona amekufa katika ulimwengu huu utajuaje kuwa yu mzima katika ulimwengu mpya? La hasha, Mungu ajua.

Kwahiyo hao wanaamini kuwa ndugu zao ni wazima, kwani Yesu aliahidi atatupa uzima wa milele kama tukiamini.

Yohana 3:14
Na kama vile Musa alivyomwinua yule nyoka jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa;
Yohana 3:15
ili kila mtu aaminiye awe na uzima wa milele katika yeye.

Kwahiyo wewe usiye sadiki utaona na kufikri kuwa ni maiti, bali waaminio watasadiki kuwa ndugu yao yu mzima katika Kristo. Hivyo wakimuombea au wakimwomba awaombee ni sawa na kwamba wanazungumza na baba(Kristo) aliye ndani ya yule uonae wewe kuwa ni maiti.
Umechanganya uongo na ukweli.

Ile mauti huwa ni kama mtu aliyelala usingizi hajui chochote. Amepymzika akisubiri ufufuo wa siku za mwisho aamshwe ale uzima wa milele.

Huwezi kuongea au kupiga story na maiti au mtu aliyelala mkaelewa.

Ndio maana Yesu alimuamsha Lazaro, alikuwa amelala hakuwa mzima milele.

Alimuamsha mtoto wa Jairo. Maana alikuwa amelala.

Ni dhambi kuomba wafu.
Kuongea na waliokufa/lala walifanya watu baada ya kumuasi Mungu. Mfano mfalme Sauli. Ni uganga na ushirikina.
Ni chukizo.
 
Umechanganya uongo na ukweli.

Ile mauti huwa ni kama mtu aliyelala usingizi hajui chochote. Amepymzika akisubiri ufufuo wa siku za mwisho aamshwe ale uzima wa milele.

Huwezi kuongea au kupiga story na maiti au mtu aliyelala mkaelewa.

Ndio maana Yesu alimuamsha Lazaro, alikuwa amelala hakuwa mzima milele.

Alimuamsha mtoto wa Jairo. Maana alikuwa amelala.

Ni dhambi kuomba wafu.
Kuongea na waliokufa/lala walifanya watu baada ya kumuasi Mungu. Mfano mfalme Sauli. Ni uganga na ushirikina.
Ni chukizo.
Haya maneno umeongea wewe lakini si Yesu. Sijaona mahala umeweka evidence ya Yesu kuongea. Bali danadana zote kusubiri ufufuo, kupumzika ni maneno yako mkuu.

Hebu angalia Yesu anasema nini:
Yohana 11:26
naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je! Unayasadiki hayo?

Yohana 8:51
Amin, amin, nawaambia, Mtu akilishika neno langu, hataona mauti milele.


Nami nakuuliza je unasadiki?

Kama unachagua kukataa haya maneno sawa, bali hayo maneno ndiye Kristo na ni uzima.

Yohana 8:25
Basi wakamwambia, U nani wewe? Yesu akawaambia, Hasa neno lilo hilo ninalowaambia.
 
Haya maneno umeongea wewe lakini si Yesu. Sijaona mahala umeweka evidence ya Yesu kuongea. Bali danadana zote kusubiri ufufuo, kupumzika ni maneno yako mkuu.

Hebu angalia Yesu anasema nini:
Yohana 11:26
naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je! Unayasadiki hayo?

Yohana 8:51
Amin, amin, nawaambia, Mtu akilishika neno langu, hataona mauti milele.


Nami nakuuliza je unasadiki?

Kama unachagua kukataa haya maneno sawa, bali hayo maneno ndiye Kristo na ni uzima.

Yohana 8:25
Basi wakamwambia, U nani wewe? Yesu akawaambia, Hasa neno lilo hilo ninalowaambia.
Lazaro
Yohana 11:11
Aliyasema hayo; kisha, baada ya hayo, akawaambia, Rafiki yetu, Lazaro, amelala; lakini ninakwenda nipate kumwamsha.

Binti yairo
Luka 8:52
Na watu wote walikuwa wakilia na kumwombolezea; akasema, Msilie, hakufa huyu, bali amelala usingizi tu.


Yesu akija.

1 Wathesalonike 4:15
Kwa kuwa twawaambieni haya kwa neno la Bwana, kwamba sisi tulio hai, tutakaosalia hata wakati wa kuja kwake Bwana, hakika hatutawatangulia wao waliokwisha kulala mauti.


Muelewe Yesu nyuzi 360.

Kwa sababu uhauhakika wa kuamshwa ukilala katika umauti ndio maana hicho kipindi unahesabika kama mtu mwenye uzima wa milele alitepumziza akisubiri kuamshwa aendelee kula raha ya milele.

Sio mtu aliyemafichoni ambaye unaweza kumuomba maiti huyo dua akakusikia. Kwaza toba na msahama ni kazi ya Mungu asiyelala sio maiti.

Unganisha haya maarifa mawili na uliyonayo utakua sana katika ukristo wako.

Asante mimi sitakuwa na nyingeza zaidi ya haya.
Kila la kheri
 
Lazaro
Yohana 11:11
Aliyasema hayo; kisha, baada ya hayo, akawaambia, Rafiki yetu, Lazaro, amelala; lakini ninakwenda nipate kumwamsha.

Binti yairo
Luka 8:52
Na watu wote walikuwa wakilia na kumwombolezea; akasema, Msilie, hakufa huyu, bali amelala usingizi tu.


Yesu akija.

1 Wathesalonike 4:15
Kwa kuwa twawaambieni haya kwa neno la Bwana, kwamba sisi tulio hai, tutakaosalia hata wakati wa kuja kwake Bwana, hakika hatutawatangulia wao waliokwisha kulala mauti.


Muelewe Yesu nyuzi 360.

Kwa sababu uhauhakika wa kuamshwa ukilala katika umauti ndio maana hicho kipindi unahesabika kama mtu mwenye uzima wa milele alitepumziza akisubiri kuamshwa aendelee kula raha ya milele.

Sio mtu aliyemafichoni ambaye unaweza kumuomba maiti huyo dua akakusikia. Kwaza toba na msahama ni kazi ya Mungu asiyelala sio maiti.

Unganisha haya maarifa mawili na uliyonayo utakua sana katika ukristo wako.

Asante mimi sitakuwa na nyingeza zaidi ya haya.
Kila la kheri
Chenga nyingi sana ambazo bado hazina maana. Hata hivo umekubali pia kuwa katika kristo hakuna kifo. Kwa sababu hujaleta maneno ya Yesu anayosema kuna Kifo katika Yeye.

Swali dogo.

Je katika kristo tunakufa?
Bila shaka Nimekupa majibu aliyotoa Yesu.

Yesu aliifia mauti(tulikufa pamoja naye) tukafufuka pamoja naye na uzima wa milele ukaanza kwa watu wote baada ya kufufuka pamoja naye na utakuepo hata milele.

Tatizo lako ni pale unaposubiri uzima mwingine tofauti na Neno la Mungu ambaye ni Yesu.
Yohana 11:23
Yesu akamwambia, Ndugu yako atafufuka.

Yohana 11:24
Martha akamwambia, Najua ya kuwa atafufuka katika ufufuo siku ya mwisho.

Yohana 11:25
Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi;

Pointi: Mimi(Neno) ndio huo Ufufuo na Uzima, unasubiri ufufuo gani ewe Martha? Au ewe matunduizi?
 
Lazaro
Yohana 11:11
Aliyasema hayo; kisha, baada ya hayo, akawaambia, Rafiki yetu, Lazaro, amelala; lakini ninakwenda nipate kumwamsha.

Binti yairo
Luka 8:52
Na watu wote walikuwa wakilia na kumwombolezea; akasema, Msilie, hakufa huyu, bali amelala usingizi tu.


Yesu akija.

1 Wathesalonike 4:15
Kwa kuwa twawaambieni haya kwa neno la Bwana, kwamba sisi tulio hai, tutakaosalia hata wakati wa kuja kwake Bwana, hakika hatutawatangulia wao waliokwisha kulala mauti.


Muelewe Yesu nyuzi 360.

Kwa sababu uhauhakika wa kuamshwa ukilala katika umauti ndio maana hicho kipindi unahesabika kama mtu mwenye uzima wa milele alitepumziza akisubiri kuamshwa aendelee kula raha ya milele.

Sio mtu aliyemafichoni ambaye unaweza kumuomba maiti huyo dua akakusikia. Kwaza toba na msahama ni kazi ya Mungu asiyelala sio maiti.

Unganisha haya maarifa mawili na uliyonayo utakua sana katika ukristo wako.

Asante mimi sitakuwa na nyingeza zaidi ya haya.
Kila la kheri
Hapo hujanionesha ni wapi YESU amesema waaminio wanakufa.

In short kubali kuwa katika kristo hakuna kifo. Nakukataa haya si kunikatalia mimi bali ni kumkataa Kristo mwenyewe ambaye ni Uzima.

Yohana 8:51
Amin, amin, nawaambia, Mtu akilishika neno langu, hataona mauti milele.

mtu mwenye uzima wa milele alitepumziza akisubiri kuamshwa aendelee kula raha ya milele.
Mtu mwenye uzima wa milele aliyepumzika nimeanza kumsikia kwako kwa Yesu hayupo.

Yesu anasema:
Yohana 10:10
Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele.

Huo uzima wa kulala kwanza au kupumzika kwanza ndio uje sijui umeutoa wapi
 
Hizi hazimo kwenye Biblia.
1: Sikukuu za Krismass na Easter.

2: Kunena kwa Lugha ambazo mnenaji na wasikilizaji wote hawaelewani.

3: Maombezi kwa maiti ili isamehewe dhambi alizofanya akiwa hai.

4: Sabato ya Jumapili.

5: Mchungaji au askofu wa kike. Katika biblia mchungaji ni Mume wa mke mmoja sio mke wa Mume mmoja.

HAYAMO KWENYE QURAN

1: Ishmail kuwa Bora kuliko Isaka.

2: Waislam Kufanya miujiza wakati mtume hakuwahi kufanya muujiza wowote ndani ya quran.

3:Kuvaa suruali ambazo hazifiki chini.
Zile Suruali fupifupi.

4: Wanawake na wanaume kuchangamana wakati wa ibada ya hijja kwenye kaaba (ibada ya heshima kabisa) wakati huku misikitini hawachangamani.

5: Wanawake kuwa maimam na kuongoza ibada zanye mchanganyiko wa jinsia zote.

Nini maoni yako.
Hizi dini ni za kimkakati tu, hazina ukweli wowote.
 
Back
Top Bottom