Tamasha la "Single Mothers" lina agenda ya kuharibu ndoa zaidi kuliko kujenga. Lizuiliwe!

Tamasha la "Single Mothers" lina agenda ya kuharibu ndoa zaidi kuliko kujenga. Lizuiliwe!

Katika pitapita zangu huko mitaa-ndooni, nilikutana na tangazo la kuwalika "Single Mothers" kwenye event. Sio dhambi kukusanyika lakini why only Single Mothers?! Wanataka wawafundishe Nini au wajadili nini?

Kuna group la Whatsapp la Single Mothers, wanajiita Single Mothers Tanzania, hawajawahi kujadili jambo lolote la msingi zaidi ya kufundishana ujinga mtupu na kuponda Wanaume na Ndoa kwa ujumla.

Tusikubali hii sumu iendelee kuenezwa kwa speed hii, hatutaweza ila pia hatutashindwa kuokoa baadhi ya Ndoa, kumbuka wanaoumia ni Watoto.

Tusiruhusu Mwaka huu 2023 kuwe na matamasha kama haya Tena!

Wimbo: Born to Suffer by Lucky Dube
There is no such a thing like single mother,those are just women living without a man in one loof,
We merried men,pay for their bills,we feed their kids,we pay rent,we take them to holidays,and above all we https://jamii.app/JFUserGuide them any time we want,using different styles.
If single motherhood,means living with ur kids,and being ecomomically,financially dependent,that is ok,but we all know that is not the case,in this country,women are poor,and men have the financial power,so there number of women living independently without help of men,is minor.
 
There is no such a thing like single mother,those are just women living without a man in one loof,
We merried men,pay for their bills,we feed their kids,we pay rent,we take them to holidays,and above all we JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala them any time we want,using different styles.
If single motherhood,means living with ur kids,and being ecomomically,financially dependent,that is ok,but we all know that is not the case,in this country,women are poor,and men have the financial power,so there number of women living independently without help of men,is minor.
Mada ni ya kiswahili, lakini Kwa utumwa wa kifikra unaona English ndio lugha.

Uko nje ya Mada, alichoandika mtowa mada sicho ulichojibu wewe.

Mwanamke aliyezaa na mtu anayepangiwa apartment na kulipiwa bill na mwanaume huyo siyo singo mother, kwahiyo lugha yako ya kitumwa huyo anaitwa concubine.
 
Mwanamke anaeponda ndoa ikiwa ye hana hiyo ndoa basi ni mbinu ya kujifariji na upweke au kuhusiana na waume za watu,

Ndoa zina changamoto lakini hatuwezi kukataa kuwa ndipo panamuheshimisha na kumthaminisha sana mwanamke(hasa Afrika)
Only stupid women narudia Tena wanawake wajinga TU ndo ndo wanaentain huu upuuzi na kujifariji ndoa iheshimiwe na watu wote
Kutokuolewa kwetu kuolewa,talaka na kutengana kwetu Sio kigezo Cha kudharau tendo takatifu,ndoa ni nusu ya dini Kwa aliyeikamilisha

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hilo tamasha liko wapi?
La nini?
Ingekuwa function ya kufundishana mambo maana sawa,

like parenting in general,
But specifically requiring a group of single mums,
No thanks, I'll pass.
 
There is no such a thing like single mother,those are just women living without a man in one loof,
We merried men,pay for their bills,we feed their kids,we pay rent,we take them to holidays,and above all we JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala them any time we want,using different styles.
If single motherhood,means living with ur kids,and being ecomomically,financially dependent,that is ok,but we all know that is not the case,in this country,women are poor,and men have the financial power,so there number of women living independently without help of men,is minor.
Nyoooo,
We don't fπck married men,
Neither are our kids fathered by married men,
We don't entertain you,
We don't go out with you,
We don't need you.

The only married men who support us in our lives are our fathers and brothers and uncles who genuinely care about us and don't ask us to sleep with them in exchange for their help.

Hasara kwa mkeo kuolewa na cheating sadist.

Hasara kwa huyo single mother kwa kutojitambua.

Hasara kwako kwa ku behave kama mnyama mwitu,
nyani uliyechangamka
 
Katika pitapita zangu huko mitaa-ndooni, nilikutana na tangazo la kuwalika "Single Mothers" kwenye event. Sio dhambi kukusanyika lakini why only Single Mothers?! Wanataka wawafundishe Nini au wajadili nini?

Kuna group la Whatsapp la Single Mothers, wanajiita Single Mothers Tanzania, hawajawahi kujadili jambo lolote la msingi zaidi ya kufundishana ujinga mtupu na kuponda Wanaume na Ndoa kwa ujumla.

Tusikubali hii sumu iendelee kuenezwa kwa speed hii, hatutaweza ila pia hatutashindwa kuokoa baadhi ya Ndoa, kumbuka wanaoumia ni Watoto.

Tusiruhusu Mwaka huu 2023 kuwe na matamasha kama haya Tena!

Wimbo: Born to Suffer by Lucky Dube
Makongamano yanayoendelea humu ya kuwatukana single mothers unayaongeleaje mkuu? Au ni ruhusa kwa wanaume kutukana wanawake na single mothers kiujumla ila ni dhambi kwa single mothers kukaa na kupeana encouragement wenyewe kwa wenyewe? Nyie si mshasema hamtaki kuwaoa sasa bado mnawafatilia ili iweje
 
Uchungu ukiwazidi wanaanza Ushrikina na kuishia kuwa Vigagu-ra
 
Katika pitapita zangu huko mitaa-ndooni, nilikutana na tangazo la kuwalika "Single Mothers" kwenye event. Sio dhambi kukusanyika lakini why only Single Mothers?! Wanataka wawafundishe Nini au wajadili nini?

Kuna group la Whatsapp la Single Mothers, wanajiita Single Mothers Tanzania, hawajawahi kujadili jambo lolote la msingi zaidi ya kufundishana ujinga mtupu na kuponda Wanaume na Ndoa kwa ujumla.

Tusikubali hii sumu iendelee kuenezwa kwa speed hii, hatutaweza ila pia hatutashindwa kuokoa baadhi ya Ndoa, kumbuka wanaoumia ni Watoto.

Tusiruhusu Mwaka huu 2023 kuwe na matamasha kama haya Tena!

Wimbo: Born to Suffer by Lucky Dube
Wanafanyia wapi na lini ili tukajizolee ni watamu sana masingle mother
 
Kifupi ni ngumu sana mwamamke kuishi bila utegemezi wa mwanaume hata kwa ushauri tu. Asipomtegemea mwanaume kapuku atamtegemea aliyemzidi uwezo wa kifedha, elimu au mali that is nature.
Wanaume walevi wale vilabuni wanamshauri nani? Hivi huwa mnajionaje?
 
Back
Top Bottom