Tamasha la "Single Mothers" lina agenda ya kuharibu ndoa zaidi kuliko kujenga. Lizuiliwe!

Hamna lolote sio heshima mnayotafuta kwenye ndoa...mnataka tuu kuhudumiwa mule hela zetu. Hapa sasa ni mwendo wa mizagamuano baada ya hapo kila mtu akasake hela zake.
Kumbe nawe ni wa hovyo[emoji16]
 
Na inaumiza si utani,ukifikiria anakutumia tu na kukuachia ya sabuni,,,,,then mipango anaenda panga na mkewe huko[emoji16]

Wanaumia haswaaa.
Yani unafanywa kama kipozeo, na tena unasuguliwa haswa panaishilia lakini mkewe ndo anapewa heshima zote, inauma acha tu
 
#KATAANDOA
 
Siku hizi ndoa ni kati ya mwanamke na "pesa za mwanaume" sio ndoa kati ya mwanamke na mwanaume tena. Utasikia mabinti wakisema ”mimi siwezi kuolewa na mwanaume asie na gari"😂😂🤣🤣
 
Siku hizi ndoa ni kati ya mwanamke na "pesa za mwanaume" sio ndoa kati ya mwanamke na mwanaume tena. Utasikia mabinti wakisema ”mimi siwezi kuolewa na mwanaume asie na gari"😂😂🤣🤣
Tatizo linaanzia hapo
 
Inauma lkn basi tu hatuishi kujifariji kisa mia mia za vocha,

Wanawake tuna shida
Kauli kuu huwa ni ninsingekuwa nimeoa ningekuoa ndo kashaoa sasa hasira inahamia kuponda ndoa,, ni mwanamke gani asieitaka ndoa,, anyooshe mkono😅😅
 
Wanaenda kutiana moyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…