Tamasha la "Single Mothers" lina agenda ya kuharibu ndoa zaidi kuliko kujenga. Lizuiliwe!

Tamasha la "Single Mothers" lina agenda ya kuharibu ndoa zaidi kuliko kujenga. Lizuiliwe!

Katika pitapita zangu huko mitaa-ndooni, nilikutana na tangazo la kuwalika "Single Mothers" kwenye event. Sio dhambi kukusanyika lakini why only Single Mothers?! Wanataka wawafundishe Nini au wajadili nini?

Kuna group la Whatsapp la Single Mothers, wanajiita Single Mothers Tanzania, hawajawahi kujadili jambo lolote la msingi zaidi ya kufundishana ujinga mtupu na kuponda Wanaume na Ndoa kwa ujumla.

Tusikubali hii sumu iendelee kuenezwa kwa speed hii, hatutaweza ila pia hatutashindwa kuokoa baadhi ya Ndoa, kumbuka wanaoumia ni Watoto.

Tusiruhusu Mwaka huu 2023 kuwe na matamasha kama haya Tena!

Wimbo: Born to Suffer by Lucky Dube
sijakupata vizuri unasema wanagroup lao la kufundishana ujinga?
Inamaana wewe ni member wa hilo group hivyo unajua wanayo yajadili?

Binafsi nawaona wale ni watu tu kama watu wengine; baadhi wamefiwa na waume, wengine wamezalishwa na kutelekezwa, wengine wamepewa talaka nk
Sasa wakishirikishana changamoto na kusaidiana sijaona tatizo hapo. Kimsingi wengi hawapendi kuendelea kuwa single mother/ wanatafuta waume, sasa sijui tatizo Liko wapi?
 
Back
Top Bottom