TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
UJUHA😕😕😕😕😕😕😕😕Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) likielezea kuhusu makubaliano ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari."BASUTA haturidhishwi na 'undumilakuwili' na ukosefu wa uadilifu wa wapingaji wa mkataba ambao walifumbia macho mikataba mingi ya hovyo huko nyuma katika sekta mbalimbali ikiwemo madini na hawakutaka ifutwe lakini wako tayari kwa gharama yoyote kuhakikisha mkataba huu unafutwa na unakufa.
Bora yako kidogo kama unakuja halafu hauji kwa point yako naweza kukuelewaMikataba ya nyuma haikuvujishwa ila huu wa DP ndio ulivujishwa. Tuelewe Hilo kwanza. Ndio maana ulikuwa umesainiwa tayari.
Mbona umepost huu ujinga nusu nusu . Ngoja nikusaidie kuuleta hapa wote.Helo Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) Wameshutumu Vikali kile wamepita Undumilakuwili na Ukosefu wa Uadilifu Kwa Wanaopinga mkataba wa Bandari kwa kile wameita kugumbia macho Mikataba ya hovyo iliyowahi ingiwa hapo kabla.
---
Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) likielezea kuhusu makubaliano ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari."
BASUTA haturidhishwi na 'undumilakuwili' na ukosefu wa uadilifu wa wapingaji wa mkataba ambao walifumbia macho mikataba mingi ya hovyo huko nyuma katika sekta mbalimbali ikiwemo madini na hawakutaka ifutwe lakini wako tayari kwa gharama yoyote kuhakikisha mkataba huu unafutwa na unakufa".
My Take
TEC wamechokonoa vingi.
Mbona umepost huu ujinga nusu nusu . Ngoja nikusaidie kuuleta hapa wote.Helo Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) Wameshutumu Vikali kile wamepita Undumilakuwili na Ukosefu wa Uadilifu Kwa Wanaopinga mkataba wa Bandari kwa kile wameita kugumbia macho Mikataba ya hovyo iliyowahi ingiwa hapo kabla.
---
Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) likielezea kuhusu makubaliano ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari."
BASUTA haturidhishwi na 'undumilakuwili' na ukosefu wa uadilifu wa wapingaji wa mkataba ambao walifumbia macho mikataba mingi ya hovyo huko nyuma katika sekta mbalimbali ikiwemo madini na hawakutaka ifutwe lakini wako tayari kwa gharama yoyote kuhakikisha mkataba huu unafutwa na unakufa".
My Take
TEC wamechokonoa vingi.
Hao jamaa Basuta nahisi wameishia wote darasa la piliHoja za TEC ambazo hawakubaliani nazo ziko wapi? Argument should be based on facts. Nachoona ni personal attack towards TEC.
Hapa sijaongelea mkataba kwani hapo juu mm nimeongelea mkatba kumbe hata kusoma haujanisoma na kama umenisoma basi hujanielewa soma tena hoja yangu vizuri usiwe unakurupukaBasi hapa ndio unajibu hoja za dp world 😂😂😂😂😂🚮🚮
Hawa ndo TEC sasa, akili kubwa, Waarabu walifundisha uchawi matokeo yakr ndo haya Wavaa kobazi!!!Helo Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) Wameshutumu Vikali kile wamepita Undumilakuwili na Ukosefu wa Uadilifu Kwa Wanaopinga mkataba wa Bandari kwa kile wameita kugumbia macho Mikataba ya hovyo iliyowahi ingiwa hapo kabla.
---
Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) likielezea kuhusu makubaliano ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari."
BASUTA haturidhishwi na 'undumilakuwili' na ukosefu wa uadilifu wa wapingaji wa mkataba ambao walifumbia macho mikataba mingi ya hovyo huko nyuma katika sekta mbalimbali ikiwemo madini na hawakutaka ifutwe lakini wako tayari kwa gharama yoyote kuhakikisha mkataba huu unafutwa na unakufa".
My Take
TEC wamechokonoa vingi.
Ni aibu ya karneViongozi wa kiislamu huwa wanaaibisha sana mda mwingine
Wakristo mnajiona mnaakili lakini hata nyinyi ni wale wale hamna lolote
Katika karne ya 21 bado unaamini kuwa kuna mtu alizaliwa bila ya baba au kafa na kufufuka huu sio ujuha kweli
Yaan nyinyi ndio mnajiona mnaakili na kama mngekuwa mnaakili maraisi wakatoliki wamepita bado nchi yetu ipo pale pale wamefanya lipi ?
Wanachopinga BASUTA sio kutetea mkataba bali wanachooji hapo kuwa miaka yote walikuwa wapi kupinga mikataba mibovu kwanini leo waje au kuna masalahi walikiwa wanafaidika na lengo la hao BASUTA ni kutaka kukomesha hii tabia kama kazi ya Katholiki kupinga maovu ya nchi basi wapinge yoteAcha kuwalisha mawazo yako, hawajasema hivyo ulivyosema wamesema watajibu hoja kwa hoja,Wakristo mnajiona mnaakili lakini hata nyinyi ni wale wale hamna lolote
Katika karne ya 21 bado unaamini kuwa kuna mtu alizaliwa bila ya baba au kafa na kufufuka huu sio ujuha kweli
Yaan nyinyi ndio mnajiona mnaakili na kama mngekuwa mnaakili maraisi wakatoliki wamepita bado nchi yetu ipo pale pale wamefanya lipi ?
Wanachopinga BASUTA sio kutetea mkataba bali wanachooji hapo kuwa miaka yote walikuwa wapi kupinga mikataba mibovu kwanini leo waje au kuna masalahi walikiwa wanafaidika na lengo la hao BASUTA ni kutaka kukomesha hii tabia kama kazi ya Katholiki kupinga maovu ya nchi basi wapinge yote
Wana jf wanachambua je hizo ndizo hoza kweli au ni kushtumu na kulalamika juu ya TEC? Na hapa ndipo wanauona uwezo wa kufikiri na kuchambua mambo yenye maslahi kwa taifa.
Haya yalikuwepo hata kipindi Cha mwinyi,hakuna jipyaAliyeuvujisha unajua dini yake?
Unafikiri sisi hatuwadharau kuabudu binaadam aliyezaliwa na mwanamke!?Hamna akili na ndio maana tunawadharau.
Akili kubwa Kiaje bwana,this is all about history ,hatuishi tena kwenye vifungo vya historia ila Tunajifunza kwao.Hawa ndo TEC sasa, akili kubwa, Waarabu walifundisha uchawi matokeo yakr ndo haya Wavaa kobazi!!!
Wanakera kujifanya wao wana akili kuliko wenzao wakati hii nchi aliwahi kuongoza raisi mkatoliki akafanya madudu kwa mikataba mibovu alibinafsisha vitu vingi miaka 2003 lkn mbona walikuwa kimya hawakutoa waraka wa kupinga na nchi yetu mbona hatukuwa na maisha mazuri ikiwa wao wana akili badala yake maisha yale yale tuAcha
Tatizo la RC ni kufanya kazi za kijasusi au kitawala kuliko kuhubiri habari za wokovu kwenda mbinguni.Roma itabaki kuwa Roma!
Roma haikujengwa kwa siku Moja...
Rome Didn't Fail!!!
Enyi wagalatia msio na akili ni nani aliye waroga?Huu waraka ndio unawakilisha brain halisi za waislam.
Bado kesho watashangaa na kuulizana kwa nini wenzetu upande wa pili wanachosema kinakuwa na nguvu!?
Mngekuwa akili kubwa mngeongoza nyie nchi,Small brains akili hazitoshi hata kuvukia barabara.
Upeo unaishia kwenye tende na harua.
Msipojua kuongoza lazima akili kubwa ziwaongoze.