Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunnah Tanzania (BASUTA) kuhusu mkataba baina ya Tanzania na DP World

Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunnah Tanzania (BASUTA) kuhusu mkataba baina ya Tanzania na DP World

Kwanza niulize hivi kuwa sheikh unasoma kabisa elimu ya duniani kama hawa mababa wa kuelewa TEC maana kwa tamko la waislam ni kama hawana elimu yoyote ya kufafanua vitu kielimu na kwa kutumia akili with common sense,,,, Dah mnaaibisha sana hivi nchi ni yetu sote na si waislam wala wakristo wote wanaipinga sasa ww sijui ansaar kama umemegewa kidogo pole.....
Ikimpeneza Mungu awachukue na hawa
 
Kinacho nishangaza

Mbona kipindi umoja wa maskofu KATOLIKI unatoa waraka wa kupinga kubinaifishwa kwa Bandari walitoa waraka bila kuwataja masheikh au Ansaar sunah au KKKT ,TAG ,
ipi ajenda baadhi ya madhehebu waraka unatoka unawataja kanisa la katoliki walitoa fact with their evidence zikionesha mkataba unakasoro

Kwanini hizi waraka zingine zinakuja na masimango kuonekana kwamba TEC Wanapinga uwekezaji hizi ni akili fupi sana

Kama taifa tukiendelea hivi mwishowe tutasigana dini kwa dini kwa manufaa ya wanasiasa hasa chama tawala na ndio hapo wanasiasa watarufahi lakini kumbe hawajui wanaharibu zaidi

Maswali ninayojiuliza kwangu ni haya

Serikali ikisifiwa na watu wa madhehebu kuhusu jambo fulani au kuhudhuria baadhi ya events za serikali uwo sio udini lakini wakipinga wanaonekana wadini na hawataki maendeleo hilo ni bomu Linatengenezwa ambalo karibuni watashindwa lizima

Tucheze na vitu vyote lakini sio imani za watu
 
Waraka wa kupuuzi na uiso na weledi wala akili;
1. Haujachambua mkataba wenyewe na kuonyesha vifungu bora vya wao kupongeza zaidi ya kuandika utumbo mtupu!
2. Umeandikwa kihuni kwani badala kujenga hoja unashambulia waliotoa hoja zao na hautoi hoja kabisa!
Bora wangekaa kimya ili heshioma yao ibaki ILA kwa waraka huu umeonyesha namna walivyo finyu
 
hii inadhihirisha na wao wanauona mkabata huu nao ni wa hovyo kama mengine ya huko nyuma. ila kwa vile Umesainiwa na wenzao ktk imaani wameona badala ya kukosoa mapungufu ya mkataba wakaamua kukosoa wasioendana na mwenzao katika imani. Kama Taifa tuna safari ndefu sana.
 
Waraka unao nyesha ni jinsi gani tec ni zaidi ya wabinafsi na wanajifanya bila wao Tanzania haikaliki. Wanajifanya wakina kibwetere! Wao ndio sauti kuu katika maslahi Yao wanakuwa mbogo.! Na hawataki tanzania kuendelea na kupata manufaa ya muda mrefu. Na hapo wamepandikiza chuki Hadi humu kwenye forum Kuna wang**** wanaacha kujadili mkataba na kujadili dini ya wanao taka kuwezekeza.

Tumeshachukua wawekezaji wazungu kutoka Kona zote za Dunia ila ndio hao Kila siku wanatufungulia kesi kimataifa na tanzania tunalimwa fines.

Chuki na roho mbaya ni kitu kibaya sana ndugu zangu

Hawa ma**** wameenda mbali zaidi na kusema eti mkataba hawautaki !! Shame on you ol

Mnataka kupanda watu kichwani mnajitia umuhimu katika vitu msivyo usika navyo
 
Waraka unao nyesha ni jinsi gani tec ni zaidi ya wabinafsi na wanajifanya bila wao Tanzania haikaliki. Wanajifanya wakina kibwetere! Wao ndio sauti kuu katika maslahi Yao wanakuwa mbogo.! Na hawataki tanzania kuendelea na kupata manufaa ya muda mrefu. Na hapo wamepandikiza chuki Hadi humu kwenye forum Kuna wang**** wanaacha kujadili mkataba na kujadili dini ya wanao taka kuwezekeza.

Tumeshachukua wawekezaji wazungu kutoka Kona zote za Dunia ila ndio hao Kila siku wanatufungulia kesi kimataifa na tanzania tunalimwa fines.

Chuki na roho mbaya ni kitu kibaya sana ndugu zangu

Hawa ma**** wameenda mbali zaidi na kusema eti mkataba hawautaki !! Shame on you ol

Mnataka kupanda watu kichwani mnajitia umuhimu katika vitu msivyo usika navyo
Acha matusi jibu hoja.

View: https://www.instagram.com/p/CwXc1u-s1Tl/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
 
Tatizo la TEC ni kutoamini kwenye mawazo mbadala,kujiona wao ndo kila kitu hapa wamegonga mwamba ,mwarabu ni kama maji kwa zama hizi haiwezekani kwa namna yeyote.
Tec hawana tatizo na waarabu acha kupotosha, ila tatizo ni vipengele kwenye hiyo mou baina ya Tz na Dubai (Dp world)....

wanaojenga bwawa la Nyerere ni waarabu ila Tec haijawatolea tamko.
 
Tec hawana tatizo na waarabu acha kupotosha, ila tatizo ni vipengele kwenye hiyo mou baina ya Tz na Dubai (Dp world)....

wanaojenga bwawa la Nyerere ni waarabu ila Tec haijawatolea tamko.
Hawataki Waarabu Kwa hofu ya kwamba wataeneza sana dini shindani Yao
 
Uongo tu huu, Kama ingekuwa kweli wangeanza na wamisri wanaojenga bwawa la Nyerere au wale wa UAE waliopo Loliondo
Wamisri na dini wapi na wapi? Pia UAE ni mkubwa kiuchumi kuliko Egypt
Screenshot_20230825-154657.jpg
 
Mbona hao UAE wapo Loliondo pia, Ccm mnatumia mbinu chafu mno kuzima mjadala....mtashinda ila watanzania wataumia kwa huu mkataba mbovu.
Kwani huoni hata huko Loliondo RC Hawataki wawepo ingawa Kuna Wazungu wako huko miaka na miaka?
 
Duuu Kama ni kweli,Basi Elimu ni muhimu...
Elimu gani muhimu ?

Wakristo jifunzeni kujenga hoja na kukosoa au kujibu hoja.

Hao BASUTA wajitahidi sana kuandika, ukiangalia mpangilio wa uandishi wa Waraka huo na ule wa Maaskofu wa TEC, utaona wazi kabisa umakini uko wapi.

Niliwauliza katika mjadala fulani humu humu ndani, ya kuwa Wakatoliki dini yao inawafundisha vipi kuyaendelea mambo kama haya, jibu sikupewa.

Lakini hamjajibu hoja mpaka muda huu kutokana na hicho walichokiandika BASUTA. Ukisoma hilo tamko, BASUTA hawajawatetea serikali, bali wamehimiza jambo hilo liachwe kwa wahusika wasubiri majibu. Lakini mwanzo mwisho Wakristo kwenye huu uzi wanasifia akili kubwa mara elimu elimu, lakini kujibu hoja hawajibu.

Walichofanya Maaskofu, ni kitu kiovu na hakifati mafundisho yoyote ya dini toka kwa Mola muumba, ndio maana niliwaambia zile ni falsafa na siasa.

BASUTA wamewakumbusha Wakristo kuwa waadilifu, ila shida BASUTA nao hawajajua ya kuwa uadilifu si sifa ya WAKRSITO.
 
Wamejibu Hoja?.
Hiyo mikataba mingine ilikuwa leaked kama huu?
Haijawa leaked ila watu wanajua ukweli kuhusu hiyo mikataba. Sasa shida ni kuwa leaked au kujulikana kile kilichomo kwenye mikataba ?

Tumia akili.
 
Back
Top Bottom