Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunnah Tanzania (BASUTA) kuhusu mkataba baina ya Tanzania na DP World

Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunnah Tanzania (BASUTA) kuhusu mkataba baina ya Tanzania na DP World

Mtu anaunga nmkono mkataba lakini hana ubavu wa kunukuu hata kifungu kimoja cha mkataba ili kujenga hoja ya kuukubali!! Hebu tupeni CV yake huyu!! Tusije tukamhukumu kumbe tukawa tumemwonea kwa mujibu wa elimu yake!!
Hawajasoma mkataba wala hawajasoma waraka wa TEC, kwahiyo hawawezi kunukuu kifungu chochote. Wao wanchojua tu TEC wamepinga mkataba wa DP world
 
Hii nchi sio ya kikristo kwa Tec muwe kwanza mnaelewa hili mnapoa toa ushauri muwe kwanza mnafikiria na sio kila mnalotaka ni lazima lifanyike mamlaka yenu yanaishia huko kanisani tu
Japo kuwa makataba una mapungu lakn na unatakiwa urekebishwe na nyinyi Wakristo mna mapungufu mambo ya viongozi wa dini kuingilia kazi serikali sio nzuri mnazalisha tatizo kwa ufinyu wa akili zenu na zilivyokuwa na matope hamlioni hili tatizo tukiendekeza sana viongozi wa dini mwisho watupanda vichwani wakati kuna serikali
Ya Mungu mpeni Mungu na Ya kaisari mpeni kaisari
TEC wametoa maoni yao
 
"BASUTA haturidhishwi na 'undumilakuwili' na ukosefu wa uadilifu wa wapingaji wa mkataba ambao walifumbia macho mikataba mingi ya hovyo huko nyuma katika sekta mbalimbali ikiwemo madini na hawakutaka ifutwe lakini wako tayari kwa gharama yoyote kuhakikisha mkataba huu unafutwa na unakufa."...Heee what a stupid remark.
 
Ukitaka kujua brain zao halisi muangalie Prof Nguli na former CAG prof Assad au the Fullbright professor ambaye rekodi yake UDSM haijawahi kuvunjwa Prof Lipumba..bado sijamtaja Dr Dau one of the very bright former student pale UDSM ... ndo utajua wakoje...
Hapo namuona Prof Assad na huwa hana mambo udini
Only 3 out of 20 Millions!!??
Hahaha! Wewe mchokozi.
 
"BASUTA haturidhishwi na 'undumilakuwili' na ukosefu wa uadilifu wa wapingaji wa mkataba ambao walifumbia macho mikataba mingi ya hovyo huko nyuma katika sekta mbalimbali ikiwemo madini na hawakutaka ifutwe lakini wako tayari kwa gharama yoyote kuhakikisha mkataba huu unafutwa na unakufa."...Heee what a stupid remark.
Kuna msemo kwamba 'nyoka huuma afikiapo'. Yaani, they can't go beyond that.
 
"BASUTA haturidhishwi na 'undumilakuwili' na ukosefu wa uadilifu wa wapingaji wa mkataba ambao walifumbia macho mikataba mingi ya hovyo huko nyuma katika sekta mbalimbali ikiwemo madini na hawakutaka ifutwe lakini wako tayari kwa gharama yoyote kuhakikisha mkataba huu unafutwa na unakufa."...Heee what a stupid remark.

Mtaishia kutukana tu
 
Kuna msemo kwamba 'nyoka huuma afikiapo'. Yaani, they can't go beyond that.
1693049211804.png
 
Tafadhali naomba CV ya kiongozi mkuu wa BASUTA!! Naona hana hata ubavu wa kuainisha jina lake kwenye waraka wao!!
 
Katika suala la DP world ndio limekuja kuonyesha asilimia kubwa ya Wakristo hawana akili
Mimi nilitegemea hapa ndipo pa kuibana seriakali ibadilishe katiba kwa kiongozi kuhusu suala la mikataba yaan mikataba inabidi iye ya wazi na pia kiongozi atakaeingia mkataba mbovu inabidi ashtakiwe na afungwe na apokonywe mali zake

Jaribu kufikiria jambo moja kama katiba ipo hivi inamaana mikataba isipovujishwa tutakuwa hatujui na wataendelea kuingia mikataba mibovu na Pia viongozi wa dini endapo hawajiona je watatoa waraka saa ngapi na mpaka lini viongozi wa dini watatuwa wanatusemea wakati uwezo wa kubadilisha katiba tunao ili tuwape adhabu viongozi wa serikali wasiokuwa na uaminifu

Ili la DP World pia limekuja kuonyesha Wakristo wengi hawana uwezo wa kufikiria wanafikiria hapa na hawafikiri na kesho maana kama unafikiria kesho unatakiwa ujiulize kama siku mkatba isipovujishwa kama wa DP je tutajuaje mapungufu ya mkataba na je tuweke kitu gani kukomesha hili

Elimu zenu mlizosoma ni za kupata kazi ili muendeshe maisha yenu msijifanye mnaa akili sana kama mngekuwa na akili sana maraisi Wakristo wamepita wengi ila nchi ipo vile vile

wee umeuona nchi gani kuna serikali halafu eti viongozi wa dini wanatoa muongozo jinsi ya kuendesha serikali hii akili au matope na hii inatokea kwa nchi yenye mazuzu wengi kama Tanzania tu

Katiba kama China hapo ukiiba seriakli unanyongwa au kufungwa jela kwanini na sisi tusiweke katiba kama hii kuliko kutegemea viongozi wa dini na tutawategemea mpk lini Badilikeni hatutaki viongozi wa dini kuiongoza serikali
"YA MUNGU MPENI MUNGU NA YA KAISARI MPENI KAISARI" Marko 12:17
Kwa hiyo wewe shida zako maishani zimesababishwa na Wakristo?Jinga kweli!😁😁😁
 
Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) likielezea kuhusu makubaliano ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari."BASUTA haturidhishwi na 'undumilakuwili' na ukosefu wa uadilifu wa wapingaji wa mkataba ambao walifumbia macho mikataba mingi ya hovyo huko nyuma katika sekta mbalimbali ikiwemo madini na hawakutaka ifutwe lakini wako tayari kwa gharama yoyote kuhakikisha mkataba huu unafutwa na unakufa.
Hawana hoja hawa.
Kwamba kwasababu hukupinga mikataba mibovu ilotangulia, then unakosa uhalali wa kupinga mikataba wowote mbovu???.......... Hii ni dalili ya mtu asiyejifunza kutoka a na makosa yake.
Matendo yetu ya nyuma, hu shape matendo yetu ya baadaye.
 
Hili laweza kuwa wale wale Walafi wa Rasilimali za Umma walio ndani ya Serikali wameandaa huu Waraka Mchongo na Kisha kuwapatia hawa jamaa watoe kama tamko lao.
 
Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) likielezea kuhusu makubaliano ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari."BASUTA haturidhishwi na 'undumilakuwili' na ukosefu wa uadilifu wa wapingaji wa mkataba ambao walifumbia macho mikataba mingi ya hovyo huko nyuma katika sekta mbalimbali ikiwemo madini na hawakutaka ifutwe lakini wako tayari kwa gharama yoyote kuhakikisha mkataba huu unafutwa na unakufa.
Nilifikiri Answar Sunna wanavaa suruali fupi kwa makosa, kumbe wanastahili kwa kuwa suriali fupi zinawakilisha ufupi wa akili zao. Nonsense tupu kwenye hilo takko
 
Kwani wenyewe hoja yao ni mkataba kuvunjwa which hicho kitu hakiwezekani. Kama maboresho walishajibiwa yatafanyika.Hoja zao ni maoni kama maoni ya wengine sio masharti
Hakiwezekani kivip wakati mkataba unatuumiza sisi hayo marekebisho yaliyofanyika yako wapi bwana mwinyi?
 
Maana yake ikiwa ni nini? Kwani ni mwaka huu tu TEC wameanza kutoa awaraka? Si kila mara wanasema wanachoamua kukisema? Kwao hao wanajifanya wanakemea unafiki, ni TEC tu ndio wameona ni wanafiki? Sasa kila atakayekuwa anachangia kitu aanze kushambuliwa itasaidia nini? Bure kabisa!
Sisi hatuangalii wametoa mara ngapi au vipi. Tunaangalia wameelezea nini na wanataka nini na kwa lengo gani ?

Hata wakiwa wanaandika Waraka kila siku, hii si hoja.

Wakristo jifunzeni kujenga hoja. Kwenye kujenga hoja bado sana.
 
Back
Top Bottom