Sio kazi yao, na Wala hao TEC sio kazi yao, hiyo ni kazi ya Serikali.Upuuzi mtupu, jibuni hoja juu ya vipengele vya mkataba
Sasa TEC wanaonyesha hawana misingi madhubuti katika kuyaendea mambo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kazi yao, na Wala hao TEC sio kazi yao, hiyo ni kazi ya Serikali.Upuuzi mtupu, jibuni hoja juu ya vipengele vya mkataba
Wew huna uwezo wa kuwaelewa TecSio kazi yao, na Wala hao TEC sio kazi yao, hiyo ni kazi ya Serikali.
Sasa TEC wanaonyesha hawana misingi madhubuti katika kuyaendea mambo.
Basi wakae kimya waiachie serikali ijibu hoja za TECSio kazi yao, na Wala hao TEC sio kazi yao, hiyo ni kazi ya Serikali.
Sasa TEC wanaonyesha hawana misingi madhubuti katika kuyaendea mambo.
Mbona hueleweki. TEC hawajaongelea Uislamu, wameongelea bandari. Wewe unaongeleo Wakristo. Nani amejenga hoja na nani anashambulia wengine? Jifunzeni kitu kinaitwa "intelligent thinking".Sisi hatuangalii wametoa mara ngapi au vipi. Tunaangalia wameelezea nini na wanataka nini na kwa lengo gani ?
Hata wakiwa wanaandika Waraka kila siku, hii si hoja.
Wakristo jifunzeni kujenga hoja. Kwenye kujenga hoja bado sana.
Sio kazi ya serikali kujibu hoja za TECBasi wakae kimya waiachie serikali ijibu hoja za TEC
Sasa kama TEC hawakupinga, wao walipinga na hatapinga tena kwa sababu hawajawahi kupinga? What erroneous reasoning!Hawana hoja hawa.
Kwamba kwasababu hukupinga mikataba mibovu ilotangulia, then unakosa uhalali wa kupinga mikataba wowote mbovu???.......... Hii ni dalili ya mtu asiyejifunza kutoka a na makosa yake.
Matendo yetu ya nyuma, hu shape matendo yetu ya baadaye.
Anayepinga kwa mara ya kwanza, ya 2, 3, 4, 5,.........apinge, mradi anazo sababu za mashiko za kufanya hivyo.Sasa kama TEC hawakupinga, wao walipinga na hatapinga tena kwa sababu hawajawahi kupinga? What erroneous reasoning!
Kuwaelewa watu wajinga kitu chepesi sana, kwanza angalia uandishi wa BASUTA (Japo siwakubali, ila mnyonge mnyongeni)na WA TEC, uone kina nani wako makini katika uandishi na kujenga hoja.Wew huna uwezo wa kuwaelewa Tec
TEC ndio walipaswa wakae kimya, na BASUTA amekuja kuwakumbusha umuhimu wa kuwasikiliza viongozi.Basi wakae kimya waiachie serikali ijibu hoja za TEC
Kwani TEC wanawawakilisha kina nani ? Waraka unasomwa kwenye stendi za daladala ?Mbona hueleweki. TEC hawajaongelea Uislamu, wameongelea bandari. Wewe unaongeleo Wakristo. Nani amejenga hoja na nani anashambulia wengine? Jifunzeni kitu kinaitwa "intelligent thinking".
Wenye hoja ni ninyi mnaogombea kuchinja ?Sio kazi yao, na Wala hao TEC sio kazi yao, hiyo ni kazi ya Serikali.
Sasa TEC wanaonyesha hawana misingi madhubuti katika kuyaendea mambo.
Jikite kwenye mada.Wenye hoja ni ninyi mnaogombea kuchinja ?
Hakuna mada zaidi ya upuuzi tuJikite kwenye mada.
Hakuna mada zaidi ya upuuzi tu
Ni kazi ya nani?Sio kazi ya serikali kujibu hoja za TEC
Wakae kimya huku nchi inauzwa?TEC ndio walipaswa wakae kimya, na BASUTA amekuja kuwakumbusha umuhimu wa kuwasikiliza viongozi.
Hao TEC wanafata muongozo wa dini gani ? Nilihoji huko nyuma, Yesu aliwafundisha hivi ? Sababu naona wanapita nyayo za Wanaharakati na Wanasiasa.
Wao kama nani mpaka waongee na Hawa wengine wasiongee ? Usahihi wa mambo ni wao walitakiwa wasubiri majibu ya serikali baada ya kupeleka mashauri yao.
Waambieni Maaskofu waache ujinga wawe na akili timamu, watulie wasubiri muongozo toka serikalini.