Lady niece
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 953
- 414
imeandikwa yeyote akayelitaja au kumsema vibaya roho wa Mungu ajue hatasamehewa
hivyo kidogo hapo rangi ya blue rekebisha mkuu
hivyo kidogo hapo rangi ya blue rekebisha mkuu
Hata hivyo ufalme wetu sio wa dunia hii, sasa hii katiba ni ya Kaisari. Mwachieni Kaisari.
Mungu tupe hekima katika hili. Sijui wakipitisha, marufuku watu kunena kwa lugha, itakuwaje.