Tamko la Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Dar es Salaam (DCPC) kumtaka Freeman Mbowe kuomba radhi

Tamko la Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Dar es Salaam (DCPC) kumtaka Freeman Mbowe kuomba radhi

Sijaisoma lkn TBC wanapaswa kifuatwa kufuatwa studioni kwao na kupigwa. Huyo anaye watetea anatumika kama kondomu
Wafuate!

Mgombea wenu aliwashauri muandamane nchi nzima, mnaandamania wapi mbona sioni?
 
Tena wakome waachane na chadema washakuwa huru lini au ule uhuni wa TBC wanafikiri hatukuutlfuatilia. Wanafiki waende huko mbona umaarufu wa Lissu ndio unaoongezeka bila vyombo vyao
 
Kamanda Mbowe, mzee wa kubadili gea angani, usiogope hizo kelele za vyura! hata mgombea wako wa urais ameishasikika mara kadhaa akiwapa makavu "wahariri"....kama vipi tutaendelea kuruka hewani kupitia citizen na Kameme tv za Kenya maana wao wapo huru! Hahahaha!
 
yes ndiyo maana mpaka leo Azory Gwanda amepotezwa kwa kosa la kufatilia matukio ya Kibiti.
Siwezi lisemea hilo la Azory kwakuwa silijui,ila kiukweli kabisa akuna serikali duniani isiyo uwa,iwe kwa utaratibu ama nje ya utaratibu.
 
Yaliyokuwa yanafanywa na TBC1 yalikuwa mazuri?
walikuwa wanafanya nini mkuu? hebu elezea maana unaweza ukawa hata hujui kinachoendelea ila umecoment tu kama wanao dai katiba ibadirishwe lakini ukiwauliza wabadirishe ibara gani hawajui
 
y
Cdm hatuna cha kupoteza kwenye hili. Na hao hao makanjanja wajiandae siku mh Lissu akisha apishwa.
aani mnajidanganya kwakweli hivi mnakuwaga serious kusema lissu atashinda au mnafurahisha tu watu?
 
Kwani kawaomba mlipoti habari zake?
Zaidi ya miezi 6 Chadema wanalalamika TBC kurusha habari za upande mmoja,sasa walipoanza kurekebisha makosa na kuja kuanza kurusha habari za Chadema sasa mnawafanyia vurugu,mnataka kupora na camera,yani sijui msaidiweje.
 
Zaidi ya miezi 6 Chadema wanalalamika TBC kurusha habari za upande mmoja,sasa walipoanza kurekebisha makosa na kuja kuanza kurusha habari za Chadema sasa mnawafanyia vurugu,mnataka kupora na camera,yani sijui msaidiweje.
yaani washukuru hawakufanyiwa fujo na wahuni wenzao wa chadema yaani huo mkutano ungefumuliwa vibaya
 
Back
Top Bottom