msukuma fekero
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 2,285
- 2,969
Jibu swali wewe kilaza Acha ngonjeraKuna mambo tunapenda sana kushabikia. Tunatakiwa kufikiria zaidi ya hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu swali wewe kilaza Acha ngonjeraKuna mambo tunapenda sana kushabikia. Tunatakiwa kufikiria zaidi ya hapo
Naweza kuwa naongea na m7 humu.Jibu swali wewe kilaza Acha ngonjera
Kama wewe ni mkatoliki basi, Pole sana, Katoliki ni moja ya satanic institutions kubwa hapa Duniani Kama tu ilivyo Waislamu, ndo maana wapumbavu Kama Pengo na magaidi ya Islamic state unawaona huko.Ni hivi karibuni tu Paul Makonda akiwa amewaita viongozi mbalimbali wa dini pale Julius Nyerere Convection Center kuwafundisha na kuwahabarisha kuhusu " maajabu" aliyofanya Mheshimiwa Rais Dr.John Pombe Joseph Magufuli kwa kipindi cha miaka 4.
Mhashamu Baba Kadinali Pengo alisikika akisema Makonda ni mmoja wa viongozi majasiri wanaofaa kuwa warithi wa Magufuli hapo baadaye!
Mhashamu Baba Kadinali Pengo alitoa hiyo "reckless statement " bila kuzingatia mwenendo wa Makonda katika kipindi hiki cha Serikali ya Awamu ya 5 na hisia za jamii pana juu yake!
Leo mtu tuliyeambiwa na Mhashamu Baba Kadinali Pengo kuwa anafaa kuwa mrithi wa Magufuli ,Marekani wana m- Brand kama mtu asiyependa kuishi kwa watu wengine, yaani kwa maneno rahisi ni sawa na kusema ni "Muuaji" !
Mimi kama Mkatoliki napata wasiwasi isijekuwa baadhi ya Viongozi wetu wa Dini hapa Nchini hawana tofauti na Viongozi wa Dini pale Uganda waliomkumbusha Rais Yoweri Kaguta Museveni kuwa hakuzaliwa 1943 bali alikosea alizaliwa 1947 ili tu apate uhalali wa kugombea Urais comes 2021!
Kwa hiyo kumzuia Haki za watu kuishi hawajasema au umetoka kukazwa hukumbuki chochotekwa hiyo ndo sababu walizosema US. usiwe unaandika kama mjinga . Jaribu kuwa na fikra kdg
Unajua maana ya kuzuia haki ya watu kuishi wewe? unaweza kuwa umetoka kuregezwaKwa hiyo kumzuia Haki za watu kuishi hawajasema au umetoka kukazwa hukumbuki chochote
Ndege wa mbawa moja huruka pamoja.Ni hivi karibuni tu Paul Makonda akiwa amewaita viongozi mbalimbali wa dini pale Julius Nyerere Convection Center kuwafundisha na kuwahabarisha kuhusu " maajabu" aliyofanya Mheshimiwa Rais Dr.John Pombe Joseph Magufuli kwa kipindi cha miaka 4.
Mhashamu Baba Kadinali Pengo alisikika akisema Makonda ni mmoja wa viongozi majasiri wanaofaa kuwa warithi wa Magufuli hapo baadaye!
Mhashamu Baba Kadinali Pengo alitoa hiyo "reckless statement " bila kuzingatia mwenendo wa Makonda katika kipindi hiki cha Serikali ya Awamu ya 5 na hisia za jamii pana juu yake!
Leo mtu tuliyeambiwa na Mhashamu Baba Kadinali Pengo kuwa anafaa kuwa mrithi wa Magufuli ,Marekani wana m- Brand kama mtu asiyependa kuishi kwa watu wengine, yaani kwa maneno rahisi ni sawa na kusema ni "Muuaji" !
Mimi kama Mkatoliki napata wasiwasi isijekuwa baadhi ya Viongozi wetu wa Dini hapa Nchini hawana tofauti na Viongozi wa Dini pale Uganda waliomkumbusha Rais Yoweri Kaguta Museveni kuwa hakuzaliwa 1943 bali alikosea alizaliwa 1947 ili tu apate uhalali wa kugombea Urais comes 2021!
Wewe na US nani mpumbavu?Kwani kila anachosema USA ni sahihi? Marekani anaangalia maslahi yake popote pale, kiukweli dunia hii kuna wauwaji wengi na wakubwa kuliko mnavyofikiria, mbona huyo mmarekani hamkemei Israel anavyoua wapalestina? Lazima mkubali hapa suala kubwa ni la ushoga, wameshindwa kuleta vilainishi vyao vya kuendeleza ushoga wanadai Makonda ni muuaji, they are shitholes kabisa, wameharibu Libya, Iraq, Syria na mataifa mengine kwa maslahi yao na huko kote kuna wauaji wakubwa mbona hawajawazuia, pumbavu sana hawa Marekani, wanadhani dunia hii ni yao? Juzi wamemuua Generali wa Iran na Trump katangaza hadharani kuwa ndie aliyeamuru auwawe kwa tuhuma zisizothibitishwa, sasa nani muuaji hapa, pumbavu zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Great Satan?
Pengo nabii wa uongo na mpinga kristo pale hakuna mtumishi wa munguNi hivi karibuni tu Paul Makonda akiwa amewaita viongozi mbalimbali wa dini pale Julius Nyerere Convection Center kuwafundisha na kuwahabarisha kuhusu " maajabu" aliyofanya Mheshimiwa Rais Dr.John Pombe Joseph Magufuli kwa kipindi cha miaka 4.
Mhashamu Baba Kadinali Pengo alisikika akisema Makonda ni mmoja wa viongozi majasiri wanaofaa kuwa warithi wa Magufuli hapo baadaye!
Mhashamu Baba Kadinali Pengo alitoa hiyo "reckless statement " bila kuzingatia mwenendo wa Makonda katika kipindi hiki cha Serikali ya Awamu ya 5 na hisia za jamii pana juu yake!
Leo mtu tuliyeambiwa na Mhashamu Baba Kadinali Pengo kuwa anafaa kuwa mrithi wa Magufuli ,Marekani wana m- Brand kama mtu asiyependa kuishi kwa watu wengine, yaani kwa maneno rahisi ni sawa na kusema ni "Muuaji" !
Mimi kama Mkatoliki napata wasiwasi isijekuwa baadhi ya Viongozi wetu wa Dini hapa Nchini hawana tofauti na Viongozi wa Dini pale Uganda waliomkumbusha Rais Yoweri Kaguta Museveni kuwa hakuzaliwa 1943 bali alikosea alizaliwa 1947 ili tu apate uhalali wa kugombea Urais comes 2021!
Yaani aue hao wote chadema wawe hawajaenda mahakamani kumshitaki kweliAcheni ujinga
Mbona hamuulizi
Ben sanane
Azory Gwanda
Akwiline
Mwangosi
Ally Zona
Alphonce mawazo
Achilia mbali waliopotea nakuteswa
Mkuu hiki kichina ulichoandika hatujaelewaPengo nabii wa uonga na mpinga kriato pale hakuna mtumishi wa mungu
Roma, mdude nyangali, hawa waliponea chupu chupu.Acheni ujinga
Mbona hamuulizi
Ben sanane
Azory Gwanda
Akwiline
Mwangosi
Ally Zona
Alphonce mawazo
Achilia mbali waliopotea nakuteswa
Mkuu nina hasira na pengo we acha tuMkuu hiki kichina ulichoandika hatujaelewa
Chukizo la uharibifu.Yule mzee ni najisi
kuanzia pale nilimuona wa hovyo kabisaTangia huyu mzee alivyo wasaliti maaskofu wenzake Gwajima akajitosa kumwambia ukweli milimdharau sana. ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani aue hao wote chadema wawe hawajaenda mahakamani kumshitaki kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kila anachosema USA ni sahihi? Marekani anaangalia maslahi yake popote pale, kiukweli dunia hii kuna wauwaji wengi na wakubwa kuliko mnavyofikiria, mbona huyo mmarekani hamkemei Israel anavyoua wapalestina? Lazima mkubali hapa suala kubwa ni la ushoga, wameshindwa kuleta vilainishi vyao vya kuendeleza ushoga wanadai Makonda ni muuaji, they are shitholes kabisa, wameharibu Libya, Iraq, Syria na mataifa mengine kwa maslahi yao na huko kote kuna wauaji wakubwa mbona hawajawazuia, pumbavu sana hawa Marekani, wanadhani dunia hii ni yao? Juzi wamemuua Generali wa Iran na Trump katangaza hadharani kuwa ndie aliyeamuru auwawe kwa tuhuma zisizothibitishwa, sasa nani muuaji hapa, pumbavu zao.
Sent using Jamii Forums mobile app