Tamko la Mark Pompeo (US Secretary of State) dhidi ya Paul Makonda ni aibu sana kwa Mhashamu Baba Kadinali Pengo!

Kardinali Pengo kweli ana "PENGO" katika akili yake. Yule mzee ni aibu kua kiongozi wa dini.
 
Kama wewe ni mkatoliki basi, Pole sana, Katoliki ni moja ya satanic institutions kubwa hapa Duniani Kama tu ilivyo Waislamu, ndo maana wapumbavu Kama Pengo na magaidi ya Islamic state unawaona huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndege wa mbawa moja huruka pamoja.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe na US nani mpumbavu?
Hapo ulipo umevaa madaso ya US, unapanda ndege zao, unatumia dola zao, Benk ya Dunia mnayolilia mpewe mikopo ni ya kwao, wewe ndo pumbavu usiyejitambua .
Tumieni vitu vyenu Kama ungo wa kichawi na maujinga jinga yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pengo nabii wa uongo na mpinga kristo pale hakuna mtumishi wa mungu
 
Baadhi Ya Viongozi Wa Dini Wamejaa Ukakasi Mno
Kila Siku Wengi Wao Heshma Zao Zinashuka
 
Acheni ujinga
Mbona hamuulizi
Ben sanane
Azory Gwanda
Akwiline
Mwangosi
Ally Zona
Alphonce mawazo

Achilia mbali waliopotea nakuteswa
Roma, mdude nyangali, hawa waliponea chupu chupu.
 
Yaani aue hao wote chadema wawe hawajaenda mahakamani kumshitaki kweli

Sent using Jamii Forums mobile app

Mahakama gani

Hii inayosumbua akina mbowe wakijuwa fika

Mwangosi aliuwawa
Akwiline aliuwawa
Mawazo aliuwawa

Inajuwa CAG Assad kahujumiwa

Inajuwa Lisu kahujumiwa

Inajuwa Kabendera, Tito na wenzake wanahujumiwa

Are you kidding?
 


MKuu unataka data au unataka nini ?
hivi unamjua huyo generali kweli au unasimuliwa tu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…