Tamko la Padre Kitima na changamoto ya Korona dhidi ya Usalama wa Nchi: Tunakwenda wapi baada ya hapa?

Unajua nimetokea kukupenda bure. Katika Kiswahili nadhani kuna shida ya maneno like na love! Kwa la kwanza your command of the language and your presentation. Kuhusu content we differ. But I'm sure you can always make my day. And our meeting won't be boring!

La pili you're lovable. Who doesn't wish a beautiful and intelligent daughter like you? I'm a senior citizen. Hakuna kizuri kikakosa kasoro. Diploma kwako ni kasoro. Utanielewa. Nikiwa bado shule, somo fulani nilipata 95%. Tunafanya masahihisho. Mwalimu alianzia nyuma.

Nilikuwa nakaa mbele. Akamsifia mwanafunzi fulani aliyepata 45%.Akisema amejitahidi sana na aongeze bidii. Nikajua nitanyeshewa sifa. Mwalimu alipofika kwangu akaanza kunigombeza. Akidai nilikuwa na uwezo wa kupata 100! Uwezo wako nikuwa na shahada ya uzamivu!

Kuna jambo silipendi kwako. Mabandiko yako kuhusu wabunge covid-19 na kuhusu Bagonza yalinichefua kuzidi maelezo. You stooped too low. And this's my worst worry: treading sycophantic intellectualism path. Jinamizi lililoivamia Tz bila huruma!
 
Kuna jambo silipendi kwako. Mabandiko yako kuhusu wabunge covid-19 na kuhusu Bagonza yalinichefua kuzidi maelezo. You stooped too low. And this's my worst worry: treading sycophantic intellectualism path. Jinamizi lililoivamia Tz bila huruma!
Tayari manung'uniko yako hayo nimeyajibu hapa:

 
Mawazo yako ni ya kweli.
Nami nataka kupanda daraja.
Ndoto yangu kusoma mpaka hadi kupata Masters in Development Studies.
Nasikia kozi hiyo ipo huko kwenu Dar.
Huku 'Simbawanga' kozi kama hizo hazipo.
Kozi kama hiyo ni bei gani?
Nani anaweza kufadhili kozi kama hiyo?
Huwa najiuliza maswali haya kila mara.
Huwa nawauliza marafiki kila mara.
Wote hunambia kozi hizo ni za watoto wa vigogo tu kwani sio chini ya milioni 30.
Tangu nianze kazi miaka 10+ iliyopita cumulative salary yangu haijafika hata milioni 5.
Ni shida kweli!
Wewe unawajua wafadhili?
Kama ndiyo, nipe anwani zao leo!
 
Kanisa liko sahihi
 
Tutawasiliana na kuona jinsi ya kufanikisha hiyo shauku yako!
 
Uhai wako ni mali yako, sio maslahi ya Roma, Over!
Kiuweledi hakupaswa kuongelea hali ya UVIKO, angezungumzia hali ya kiroho ya Tanzania ambayo 'kimsingi' ndio wajibu wa padre Kitima.
 
Ni heri ulifuta ulichoandika. Hakikuwa sahihi. Huelewi. Huyo sio mpotoshaji. Hajashindwa kunukuu. Amenukuu kikubwa na kukanusha. Yatosha tu kusema kuwa wewe ni mwanafunzi anayemtetea aliyetoa elimu katika andiko lililoshiba. Na mwenye mwandiko huu ni mkufunzi mwelekezi kwa mwalimuyo na sio mpotoshaji aslani.
 
Kiuweledi hakupaswa kuongelea hali ya UVIKO, angezungumzia hali ya kiroho ya Tanzania ambayo 'kimsingi' ndio wajibu wa padre Kitima.

Ukuta unaotenganisha mwili na roho ni mkubwa na impermeable kiasi gani?
 
Hoja hii imekaa vizuri.
Wanateolojia wetu mko wapi?
Leteni nondo zenu hapa tuelimike.
 
Ukuta unaotenganisha mwili na roho ni mkubwa na impermeable kiasi gani?
Ukuta haupo kabisa. Hata ufa tu ni balaa kubwa. Hivyo anayetunza kimojawapo hana budi kutunza na kingine pia. Mwili hauwezi kuwepo bila roho. Hiyo ni maiti. Roho bila mwili ni mzimu au mzuka. Kifo ni kutengana kwa mwili na roho. Padri hahudumii mizimu. Wote wanaokariri kuwa kazi ya watumishi wa Mungu ni ya kiroho tu ni misikule.
 
Huyu Padri alikuwa wapi wakati kanisa linakataa matumizi ya kondomu? Wataalamu walisema tutumie kondomu kujikinga, serikali ikasema hivyo pia, kanisa likasema hapana! Alikuwa wapi? Leo hii Corona ndo amejua maana ya wataalamu.
 
Huyu Padri alikuwa wapi wakati kanisa linakataa matumizi ya kondomu? Wataalamu walisema tutumie kondomu kujikinga, serikali ikasema hivyo pia, kanisa likasema hapana! Alikuwa wapi? Leo hii Corona ndo amejua maana ya wataalamu.
Kondomu inaashiria uzinifu asilimia 100% lakini barakoa ni kujikinga na vumbi na hewa chafu.
 
Kondomu inaashiria uzinifu asilimia 100% lakini barakoa ni kujikinga na vumbi na hewa chafu.
Kondomu anavaliwa nani? Mkeo? Kwa lengo gani? Kama ni kwa kuzuia mimba, poa. Hata hivyo zipo njia nyingine lukuki kwa lengo hilo. Kondomu si njia sahihi ya kujikinga na ukimwi. Njia sahihi ni A na B tu!
 
Padre alikiuka muongozo wa nchi kuhusu itifaki ya utoaji taarifa kuhusu ugonjwa wa UVIKO. Tiini mamlaka za nchi kwa maana nazo zimetoka kwa MUNGU WA MBINGUNI
Nakuunga mkono! Padre hana dhamana ya kutoa taarifa za ugonjwa wa corona na anajua hivyo. Huu ulikuwa ni UASI wa wazi kwa mamlaka ya nchi.
Kuasi mamlaka ya nchi ni kumwasi Mungu!! Wasome Biblia!
 
Nakuunga mkono! Padre hana dhamana ya kutoa taarifa za ugonjwa wa corona na anajua hivyo. Huu ulikuwa ni UASI wa wazi kwa mamlaka ya nchi.
Kuasi mamlaka ya nchi ni kumwasi Mungu!! Wasome Biblia!
mmmh
 
Kondomu inaashiria uzinifu asilimia 100% lakini barakoa ni kujikinga na vumbi na hewa chafu.
So what? Does it defeat science? what is the difference between uzinifu and vumbi na hewa in the hands of the laboratory? Another rubbish supporter.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…