Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Ziondolewe Tu, Tupate AmaniWananchi hawahitaji ufafanuzi wanahitaji ziondolewe basi huo ufafanuzi hauna maana, huu wizi uliobatizwa tozo ni haramu
Tumeliwa Sana Ndugu Zangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ziondolewe Tu, Tupate AmaniWananchi hawahitaji ufafanuzi wanahitaji ziondolewe basi huo ufafanuzi hauna maana, huu wizi uliobatizwa tozo ni haramu
Tozo sio kodi na pia kodi zinazokusanywa hazisimamiwi zinaliwa na wajanja wachache walioko madarakani. Ingalikuwa kuna transparency juu ya makusanyo na matumizi na uwajibishwaji wa wezi ingekuwa safi. JPM alijitahidi kuwawajibisha wapuuzi wengiWatanzania hampendi kulipa kodi
Tamko la Serikali kuhusu ufafanuzi wa Tozo kwenye miamala ya Benki na Simu, Septemba 1, 2022
Tamko la Serikali kuhusu ufafanuzi wa Tozo kwenye miamala ya Benki na Simu, Septemba 1, 2022
Waondoe za nini mkuu,naomba serikali iweke tozo hadi kwenye vocha
Shtuka mkuu Mbowe n tapeli Kama CCM tu
Tofauti yao n vyama tu
Tusiabudu watu Bali tujenge mising imara ya nchi yenye kuweza kuwawajibisha viongoz wanapokosea
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Watanzania hampendi kulipa kodi
Kwani mkuu adi leo hujui kua siasa ni utapeli?Shtuka mkuu Mbowe n tapeli Kama CCM tu
Tofauti yao n vyama tu
Tusiabudu watu Bali tujenge mising imara ya nchi yenye kuweza kuwawajibisha viongoz wanapokosea
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Unadhani CCM wako tayari kutoa hiyo nafasi kizembe ya kuwa na taassis imara? Hasa ukizingatia Watanzania wenyewe ni waoga kudai haki yao? Bora hata Mbowe anajaribu kutingisha kiberiti.Shtuka mkuu Mbowe n tapeli Kama CCM tu
Tofauti yao n vyama tu
Tusiabudu watu Bali tujenge mising imara ya nchi yenye kuweza kuwawajibisha viongoz wanapokosea
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mbona kila bidhaa imewekewa vat na tunalipa?Watanzania hampendi kulipa kodi
SureWananchi hawahitaji ufafanuzi wanahitaji ziondolewe basi huo ufafanuzi hauna maana, huu wizi uliobatizwa tozo ni haramu
Hiyo misingi mnaijenga lini?.Shtuka mkuu Mbowe n tapeli Kama CCM tu
Tofauti yao n vyama tu
Tusiabudu watu Bali tujenge mising imara ya nchi yenye kuweza kuwawajibisha viongoz wanapokosea
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hii ni kauli ya watu waliojaa kiburi na ulevi wa madarakaUfafanuzi ulishatolewa na Mwigulu kuwa tuhamie Burundi.