Tamko la serikali kuhusu ufafanuzi wa tozo kwenye miamala ya benki na simu, Septemba 1, 2022

Tamko la serikali kuhusu ufafanuzi wa tozo kwenye miamala ya benki na simu, Septemba 1, 2022

Onxoa haraka , rudisha mifumo ya zamani.
 
Wizara ya Fedha imetoa ufafanuzi kuhusu tozo ya miamala ya simu na benki Septemba Mosi, 2022 ikiwa ni siku kadhaa tangu kuibuka kwa malalamiko kutoka kwa wadau kuhusu gharama za huduma hizo za kifedha.


Waziri wa Fedha na Mipango - Mwigulu Nchemba
Chimbuko la tozo ilikuwa ni kwaajili ya kuunganisha nguvu kama watanzania ili tuweze kutekeleza baadhi ya mahitaji ya lazima kama madarasa, nyumba za walimu, ujenzi wa vituo vya afya, ununuzi wa vifaa tiba na ujenzi wa miundo mbinu ambayo yamekuwa yakekosa fedha kutokana na ufinyu wa bajeti.

Ufinyu wa bajeti umetokana na kuongezeka na majukumu ya msingi inayofanywa na serikari. Majukumu hayo ni kama miradi mikubwa kama bwawa la Mwalimu Nyerere, reli ya kisasa na maeneo mengine ni barabara, afya, elimu bure, mikopo elimu ya juu na umeme vijijini.

Kiwango cha tozo kilipunguzwa kutoka Tsh. 10,000/- mpaka Tsh. 7,000/- baada ya kupata maoni kutoka kwa watanzania kwamba tozo zimekubalika lakini zimeanzia kwa gharama ya juu sana. Lakini hii pia ikapunguzwa tena (na kwenye maeneo mengine) kutoka Tsh. 7,000/- mpaka Tsh, 4,000/- ili kuongeza wigo wa ushiriki ambapo ndiyo ilikuwa chimbuko la kwenda kwenye tozo za benki.

Nchi hii ni yetu na kila mtu yuko huru kutoa maoni akiona mambo hayaendi vizuri. Serikali imepokea maoni na itafanyia kazi swala la kutozwa mara mbili kwa fedha zinazo kuwa benki na swala la mpangaji kukusanya kodi ya jengo na kuipeleka kwenye mamlaka ya mapato badala ya mmiliki wa jengo.

Ni lazima mtu ambaye ana mapato alipe kodi iliyo sahihi aliye na kidogo alipe kidogo na aliye na kikubwa alipe kidogo, masikini kubeba mzigo mkubwa ni kutengeneza pengo kubwa kati ya waliyonacho na wasiyonacho.

Serikali inaendele kufanya uhakiki ili iweze kuongeza wigo wa tozo na kodi ambazo zitasaidia kupunguza mzigo kwa mtu mmoja mmoja.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - Innocent Bashungwa
Tozo zimesaidia kuboresha sekta ya afya, elimu na barabara kwa kujenga vituo vya afya, madarasa na barabara vijijini na mijini, lakini pia kuongeza vifaa na watumishi.

Maswali na Majibu
Swali mwandishi DW
: Miaka ya nyuma watanzania waliaminishwa kuwa Tanzania ni tajiri na inaweza kujiendesha yeneywe bila kutegemea tozo kutoka kwa wananchi je, utajiri huu wa Tanzania uliofanya Tanzania kujiendesha yenyewe umepotelea wapi?

Jibu Mwigulu Nchemba: Utajiri wa rasilimali usipozivuna utaendelea kuwa masikini, unakuwa na utajiri ila wewe ni masikini. Bila kuwekeza kwenye shughuli za uzalishaji tutaendelea kuwa masikini.

Tozo kuongezeka ni sababu mambo yanabadilika na mahitaji yanaongezeka, ambapo na bajeti pia lazima iongekezeke. Tozo ni moja ya chanzo kinachofanikisha kufikiwa kwa mahitaji hayo ya kibajeti.

Swali mwandishi Azam Tv: Mpango wa serikali kubana matumizi umefikia wapi? Gharama za maisha kupanda licha ya serikali kutoa ruzuku kwa maadhi ya maeneo tatizo ni nini?

Jibu Mwigulu Nchemba: Jitihata zinafanyika hapa ndani kuhakikisha inapunguza ukali wa maisha lakini chanzo kama Uviko-19 na vita bado vipo hivyo gharama zitaendelea kupanda mbali na jitihada zinazofanyika.

Hatua mbalimbali za kubana matumizi zimechukuliwa na ufafanuzi utatolewa kadri nafasi itakavyopatikana.
Ni lazima mtu ambaye ana mapato alipe kodi iliyo sahihi aliye na kidogo alipe kidogo na aliye na kikubwa alipe kidogo, masikini kubeba mzigo mkubwa ni kutengeneza pengo kubwa kati ya waliyonacho na wasiyonacho


Punguani mkubwa wewe sasa mtu anakatwa PAYEE hela ikienda benk anakatwa tena,
Mfanyabiashara anatwa kodi ya mapato, akipeleka benk nako anakatwa, huu ni uhayawani wa phd fake
 
Nasema hivi, kumtoza mtu anapotoa fedha benk ni uwendawazimu, ni ujinga ni ukosefu wa fikra! Elewa hivyo ndugu waziri wa fedha.
 
Huyu Mwigulu apimwe akili! Nasikia hata hiyo PhD alidesa, hana akili, halafu jizi!
 
Wizara ya Fedha imetoa ufafanuzi kuhusu tozo ya miamala ya simu na benki Septemba Mosi, 2022 ikiwa ni siku kadhaa tangu kuibuka kwa malalamiko kutoka kwa wadau kuhusu gharama za huduma hizo za kifedha.


Waziri wa Fedha na Mipango - Mwigulu Nchemba
Chimbuko la tozo ilikuwa ni kwaajili ya kuunganisha nguvu kama watanzania ili tuweze kutekeleza baadhi ya mahitaji ya lazima kama madarasa, nyumba za walimu, ujenzi wa vituo vya afya, ununuzi wa vifaa tiba na ujenzi wa miundo mbinu ambayo yamekuwa yakekosa fedha kutokana na ufinyu wa bajeti.

Ufinyu wa bajeti umetokana na kuongezeka na majukumu ya msingi inayofanywa na serikari. Majukumu hayo ni kama miradi mikubwa kama bwawa la Mwalimu Nyerere, reli ya kisasa na maeneo mengine ni barabara, afya, elimu bure, mikopo elimu ya juu na umeme vijijini.

Kiwango cha tozo kilipunguzwa kutoka Tsh. 10,000/- mpaka Tsh. 7,000/- baada ya kupata maoni kutoka kwa watanzania kwamba tozo zimekubalika lakini zimeanzia kwa gharama ya juu sana. Lakini hii pia ikapunguzwa tena (na kwenye maeneo mengine) kutoka Tsh. 7,000/- mpaka Tsh, 4,000/- ili kuongeza wigo wa ushiriki ambapo ndiyo ilikuwa chimbuko la kwenda kwenye tozo za benki.

Nchi hii ni yetu na kila mtu yuko huru kutoa maoni akiona mambo hayaendi vizuri. Serikali imepokea maoni na itafanyia kazi swala la kutozwa mara mbili kwa fedha zinazo kuwa benki na swala la mpangaji kukusanya kodi ya jengo na kuipeleka kwenye mamlaka ya mapato badala ya mmiliki wa jengo.

Ni lazima mtu ambaye ana mapato alipe kodi iliyo sahihi aliye na kidogo alipe kidogo na aliye na kikubwa alipe kidogo, masikini kubeba mzigo mkubwa ni kutengeneza pengo kubwa kati ya waliyonacho na wasiyonacho.

Serikali inaendele kufanya uhakiki ili iweze kuongeza wigo wa tozo na kodi ambazo zitasaidia kupunguza mzigo kwa mtu mmoja mmoja.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - Innocent Bashungwa
Tozo zimesaidia kuboresha sekta ya afya, elimu na barabara kwa kujenga vituo vya afya, madarasa na barabara vijijini na mijini, lakini pia kuongeza vifaa na watumishi.

Maswali na Majibu
Swali mwandishi DW
: Miaka ya nyuma watanzania waliaminishwa kuwa Tanzania ni tajiri na inaweza kujiendesha yeneywe bila kutegemea tozo kutoka kwa wananchi je, utajiri huu wa Tanzania uliofanya Tanzania kujiendesha yenyewe umepotelea wapi?

Jibu Mwigulu Nchemba: Utajiri wa rasilimali usipozivuna utaendelea kuwa masikini, unakuwa na utajiri ila wewe ni masikini. Bila kuwekeza kwenye shughuli za uzalishaji tutaendelea kuwa masikini.

Tozo kuongezeka ni sababu mambo yanabadilika na mahitaji yanaongezeka, ambapo na bajeti pia lazima iongekezeke. Tozo ni moja ya chanzo kinachofanikisha kufikiwa kwa mahitaji hayo ya kibajeti.

Swali mwandishi Azam Tv: Mpango wa serikali kubana matumizi umefikia wapi? Gharama za maisha kupanda licha ya serikali kutoa ruzuku kwa maadhi ya maeneo tatizo ni nini?

Jibu Mwigulu Nchemba: Jitihata zinafanyika hapa ndani kuhakikisha inapunguza ukali wa maisha lakini chanzo kama Uviko-19 na vita bado vipo hivyo gharama zitaendelea kupanda mbali na jitihada zinazofanyika.

Hatua mbalimbali za kubana matumizi zimechukuliwa na ufafanuzi utatolewa kadri nafasi itakavyopatikana.
Wanatuchosha mnatuchosha
 
Huyu ambaye anataka kuwa rais ni kama haelewi dunia inapoenda. IPO siku hizo tozo zitamuadhibu sana na atajuta. Anadhani anakomoa kumbe anajikomoa.
Sijui atawaambia nini watu huyu Rais wa mawe siku atataka kura.
Aliniacha hoi pale aliposema madeni ya taifa hayawahusu wananchi.
 
Miradi ya maendeleo ni muhimu zaidi kuliko tutozo. Jamani tulipe kwa amani na upendo. Lakini tuwe wakali kwa watumishi wanaofuja pesa zetu na tupinge magari ya anasa V8. Ukiona V8 usisifie bali onesha kukerwa, ukiona mtumishi mwizi usimsifie bali muogope kama wezi wengine.
Hatuna chombo mathubuti cha kusimamia kodi zetu ndio maana malalamiko ni mengi.
 
Tozo ziondoloewe! Watafute vyanzo vingine vya mapato. Hiyo miradi ya umeme na Standard gauge ijengwe kwa vyanzo vya mapato vilivyotumika tangu ilipoannzishwa. Hata ikichukua muda mrefu let's say 2025 - 2030 ni sawa tu. Wawaache wananchi waitumikiea serikali huku wakifanya maendeleo yao binafsi. Tuchukulie mfano watumishi wa serikali, mshahara unaingia benki tayari serikali imekata kodi, ukitoa unakatwa (ukibakiza hela uje utoe siku nyingine unakatwa tena), unalimpia pango unakatwa, unalipia umeme unakatwa, ukiwatumia wazazi kule kijjini unakatwa, benki nayo inakukata, mitandao ya simu nayo inakukata, ukienda kununua mahitaji ya nyumbani unakatwa kodi. Hata hii kodi ya nyumba waliweka vise versa ili kuwachanganya wananchi wakubali kuwepo kwa kodi hiyo ila iwepo kwa mwenye nyumba
Yaani hapo kwenye kodi ya nyumba ndio niliona wamekusudia kabsa kumwangamiza mfanyabiashara mpangaji, kwani isingekuwa rahisi kuwapata wapangaji wasio na biashara rasmi yaani sio rahisi kumpata mpangaji alipe hiyo kodi kama hana tin na leseni, vilevile mwenye nyumba atakwambia nataka hela yangu kamili hautaki hamisha biashara yako, ni maumivu kwa wafanyabiashara na ninadhani jina la kubatiza hiyo tozo ili mfanyabiashara alipe bila kumgusa mwenye nyumba hilo jina limekosa.
 
Halafu utakutana na mwana CCM kindaki ndaki nae yupo bize kulalamikia tozo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa nini asilalamike? Hujielewi. Aliyekuambia wanachama chochote lazima wakubaliane kila kitu ni nani?

Lonapokuja suala la kitaifa acheni upuuzi wa kuleta mambo ya uccm na uchadema.
 
Nashauri tozo ziongezwe ndio njia pekee ya kuwaamsha makondoo yaliyolala fofofo kazi kugombea jezi za Simba na Yangu, wapuuzi kabisa.

Mwigulu kamatia hapohapo mpaka mazezeta yajitambuwe.
As if kondoo wewe utakuwa spared
 
Kwa nini asilalamike? Hujielewi. Aliyekuambia wanachama chochote lazima wakubaliane kila kitu ni nani?

Lonapokuja suala la kitaifa acheni upuuzi wa kuleta mambo ya uccm na uchadema.
Unalalamika nini wakati viongozi 90% wanatokana na ccm? Huko kusema jambo la kitaifa ni kujifanya uko nao lkn mkikutana kwenye vikao vya chama mnakubaliana pamoja,
Mfano m'bunge anachangia hoja akitoa lawana zote kwa serikali na kudai bajeti ya hovyo lkn mwisho wake wa kuchangia utaskia NAUNGO MKONO HOJA [emoji23][emoji23][emoji23]
 
𝐊𝐰𝐚𝐧𝐢 𝐳𝐢𝐥𝐞 𝐩𝐞𝐬𝐚 𝐳𝐚 𝐦𝐢𝐤𝐨𝐩𝐨 𝐳𝐚 𝐮𝐯𝐢𝐤𝐨 𝐬𝐢 𝐧𝐝𝐢𝐨 𝐰𝐚𝐥𝐢𝐬𝐞𝐦𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐣𝐞𝐧𝐠𝐚 𝐬𝐡𝐮𝐥𝐞 𝐡𝐨𝐬𝐩𝐢𝐭𝐚𝐥𝐢 𝐧𝐚 𝐦𝐢𝐮𝐧𝐝𝐨𝐦𝐛𝐢𝐧𝐮 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐬𝐚𝐬𝐚 𝐡𝐢𝐳𝐢 𝐳𝐚 𝐭𝐨𝐳𝐨 𝐳𝐢𝐧𝐚𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚 𝐤𝐚𝐳𝐢 𝐠𝐚𝐧𝐢? 𝐲𝐚𝐚𝐧𝐢 𝐭𝐮𝐧𝐚𝐩𝐨𝐫𝐰𝐚 𝐩𝐞𝐬𝐚 𝐳𝐞𝐭𝐮 𝐤𝐢𝐬𝐨𝐦𝐢 𝐬𝐮𝐚𝐥𝐚 𝐥𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐞𝐤𝐰𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐭𝐨𝐳𝐨 𝐥𝐢𝐦𝐞𝐭𝐮𝐰𝐞𝐤𝐚 𝐦𝐛𝐚𝐥𝐢 𝐦𝐧𝐨 𝐧𝐚 𝐬𝐞𝐫𝐢𝐤𝐚𝐥𝐢 𝐢𝐦𝐞𝐣𝐞𝐧𝐠𝐚 𝐜𝐡𝐮𝐤𝐢 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚𝐜𝐡𝐮𝐤𝐢𝐚 𝐯𝐢𝐨𝐧𝐠𝐨𝐳𝐢 𝐰𝐞𝐭𝐮 𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐩𝐨𝐭𝐞𝐳𝐚 𝐢𝐦𝐚𝐧𝐢 𝐭𝐞𝐧𝐚 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚𝐚𝐦𝐢𝐧𝐢 𝐰𝐚𝐩𝐨 𝐤𝐰𝐚 𝐚𝐣𝐢𝐥𝐢 𝐲𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐧𝐜𝐡𝐢 𝐚𝐮 𝐦𝐚𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐲𝐚𝐨.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
𝐊𝐢𝐭𝐮 𝐤𝐢𝐧𝐚𝐜𝐡𝐨𝐬𝐚𝐛𝐚𝐛𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐦𝐚𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐤𝐮𝐚 𝐦𝐚𝐠𝐮𝐦𝐮.

(1)𝐌𝐭𝐮 𝐦𝐦𝐨𝐣𝐚 𝐤𝐮𝐚 𝐧𝐚 𝐜𝐡𝐞𝐨 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢 𝐲𝐚 𝐤𝐢𝐦𝐨𝐣𝐚 𝐰𝐚𝐤𝐚𝐭𝐢 𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐮 𝐰𝐚𝐧𝐚 𝐮𝐰𝐞𝐥𝐞𝐝𝐢 𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚 𝐤𝐤𝐚𝐳𝐢 𝐡𝐢𝐳𝐨 𝐡𝐚𝐰𝐚𝐳𝐢𝐩𝐚𝐭𝐢

(2)𝐌𝐢𝐬𝐡𝐚𝐡𝐚𝐫𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐲𝐨𝐢𝐩𝐚𝐭𝐚 𝐛𝐚𝐚𝐝𝐡𝐢 𝐲𝐚 𝐯𝐢𝐨𝐧𝐠𝐨𝐳𝐢 𝐧𝐢 𝐦𝐢𝐤𝐮𝐛𝐰𝐚 𝐦𝐧𝐨 𝐤𝐮𝐥𝐢𝐤𝐨 𝐡𝐚𝐭𝐚 𝐡𝐚𝐥𝐢 𝐲𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐧𝐜𝐡𝐢 𝐰𝐚𝐤𝐞 𝐢𝐧𝐠𝐞𝐩𝐮𝐧𝐠𝐮𝐳𝐰𝐚 𝐢𝐥𝐢 𝐢𝐬𝐚𝐢𝐝𝐢𝐞 𝐤𝐭𝐤 𝐡𝐮𝐝𝐮𝐦𝐚 𝐳𝐚 𝐤𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐤𝐰𝐞𝐥𝐢 𝐧𝐢𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚𝐬𝐚𝐢𝐝𝐢𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐧𝐜𝐡𝐢.

(3)𝐊𝐚𝐦𝐚 𝐤𝐢𝐨𝐧𝐠𝐨𝐳𝐢 𝐮𝐦𝐞𝐚𝐦𝐮𝐚 𝐤𝐮𝐚 𝐤𝐢𝐨𝐧𝐠𝐨𝐳𝐢 𝐛𝐚𝐬𝐢 𝐬𝐢𝐦𝐚𝐦𝐢𝐚 𝐮𝐨𝐧𝐠𝐨𝐳𝐢 𝐭𝐮 𝐬𝐢𝐨 𝐮𝐧𝐚𝐤𝐮𝐚 𝐤𝐢𝐨𝐧𝐠𝐨𝐳𝐢 𝐚𝐥𝐚𝐟𝐮 𝐮𝐧𝐚𝐤𝐮𝐚 𝐦𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚 𝐛𝐢𝐚𝐬𝐡𝐚𝐫𝐚 𝐡𝐚𝐩𝐨 𝐤𝐮𝐭𝐚𝐤𝐮𝐚 𝐧𝐚 𝐧𝐚𝐦𝐧𝐚 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐣𝐢𝐥𝐢𝐧𝐝𝐚 𝐮𝐚𝐧𝐠𝐚𝐥𝐢𝐞 𝐦𝐚𝐬𝐥𝐚𝐡𝐢 𝐲𝐚𝐤𝐨 𝐧𝐚 𝐬𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐧𝐜𝐡𝐢.

(4)𝐓𝐨𝐳𝐨 𝐳𝐢𝐧𝐚𝐮𝐦𝐢𝐳𝐚 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐚𝐧𝐳𝐢𝐚 𝐤𝐭𝐤 𝐬𝐢𝐦𝐮 𝐮𝐦𝐞𝐦𝐞 𝐦𝐩𝐚𝐤𝐚 𝐛𝐞𝐧𝐤 𝐩𝐞𝐬𝐚 𝐳𝐢𝐧𝐚𝐤𝐮𝐬𝐚𝐧𝐲𝐰𝐚 𝐤𝐢𝐛𝐚𝐨 𝐭𝐮 𝐥𝐚𝐤𝐢𝐧𝐢 𝐭𝐮𝐧𝐚𝐢𝐬𝐡𝐢𝐚 𝐤𝐮𝐬𝐢𝐤𝐢𝐚 𝐭𝐮 𝐤𝐭𝐤 𝐯𝐲𝐨𝐦𝐛𝐨 𝐯𝐲𝐚 𝐡𝐚𝐛𝐚𝐫𝐢 𝐥𝐚𝐤𝐢𝐧𝐢 𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐛𝐚𝐚𝐝𝐡𝐢 𝐲𝐚 𝐦𝐚𝐞𝐧𝐞𝐨 𝐲𝐚𝐧𝐚𝐬𝐢𝐤𝐢𝐭𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐦𝐧𝐨 𝐮𝐭𝐚𝐟𝐢𝐤𝐢𝐫𝐢 𝐡𝐚𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐬𝐞𝐫𝐢𝐤𝐚𝐥𝐢.𝐇𝐮𝐨 𝐧𝐢 𝐦𝐭𝐚𝐳𝐚𝐦𝐨 𝐰𝐚𝐧𝐠𝐮 𝐭𝐮


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom