Tamko la serikali kuhusu ufafanuzi wa tozo kwenye miamala ya benki na simu, Septemba 1, 2022

Mnakopa pesa za Kujenga vyoo, Hakuna miradi inayoendelea zaidi ya Maigizo ya filamu, mkiulizwa mnasema Tunaendeleza miradi. WTF??? Ndani ya mwaka mmekopa zaidi ya trilioni 3 hakuna cha maana kilichofanyika zaidi ya kuleteana stori za abunuasi.
 
Jamaa wanashindana kubadilisha magari ya V8 kila siku
 
Nchi imejaa majangili tupu
 
Nashauri tozo ziongezwe ndio njia pekee ya kuwaamsha makondoo yaliyolala fofofo kazi kugombea jezi za Simba na Yangu, wapuuzi kabisa.

Mwigulu kamatia hapohapo mpaka mazezeta yajitambuwe.
[emoji3064][emoji15][emoji15][emoji15]
 
Tozo za bank na kwenye miamala ya simu ni DOUBLE TAXATION..Period!
Anasema tozo siyo kodi ya kisheria! Kama nimemsikiza vizuri, bali mchango kwa wote kwa ajili ya kukamilisha ya mambo ya msingi.
 
Jamaa mzito sana kwenye siasa zetu, kama vile walikuwa wanamsubiri, na alivyokuja kwa style ya kuwalaumu watanzania kwa uoga, naona presha ndio imewapanda.haswa kuogopa watanzania wasije kuamka.
Mbowe ni master wa siasa, kachomoa battery jana wote wametoka pangoni
 

Kabla ya kuanzidhwa kwaTozo kwenye miamala ya Benki na Simu serikali ya Tanzania ilikuwa inaendeshwaje au ilikuwa inpata wapi vyanzo vya mapato? Madarasa yalikuwa yamajengwa tenabila tozo​

 

Kabla ya kuanzidhwa kwaTozo kwenye miamala ya Benki na Simu serikali ya Tanzania ilikuwa inaendeshwaje au ilikuwa inpata wapi vyanzo vya mapato? Madarasa yalikuwa yamajengwa tenabila tozo​

Na mishahara hewa juu ililipwa bila tozo.
 
Mwigulu amesema Serikali imepokea maoni ya Vyama vya Wafanyakazi, Wataalam Binafsi wa Masuala ya Kodi pamoja na Tafiti mbalimbali ikiwemo ya TWAWEZA kuhusu kutozwa Mara Mbili kwenye miamala ya Benki na Simu na itatoa uamuzi hivi karibuni.

Ameeleza kuwa Serikali imejiridhisha kuwa kuna baadhi ya taasisi zilianza ukataji wa Tozo Julai 15, lakini risiti zilizosambaa mitandaoni zilionesha makusanyo yalianza Julai 1,2022 hivyo itakutana na taasisi hizo ili kushauriana namna ya kufanya.

Kuhusu suala la Kodi ya Jengo, Waziri emeeleza kuwa anayepaswa kulipa kodi ya kupangisha ni yule aliyepata mapato ya kupangisha sasa kuhusu kugeuka kuwa mkusanyaji wa kodi hiyo ni hoja ambayo serikali imeipokea na itaifanyia kazi na kuitolea tamko.
 
Safi sana jembe letu Lameck. Uzuri wananchi wa Iramba wao hawalipi tozo hivyo watatuletea tena hili jembe 2025. Wizara ya fedha ukiondoa Mramba, haikuwahi kupata waziri mwingine anayependa wananchi kama huyu.
 
kwa nini wananchi waumie hivi na tozo? tuambieni, rasilimali ya madini inachangia nini? tuelezeni, msiumize wananchi.
 
kwa nini wananchi waumie hivi na tozo? tuambieni, rasilimali ya madini inachangia nini? tuelezeni, msiumize wananchi.
 
Hapo lazima akwepe maana na yeye ni mnufaika mkubwa
 
Mnakopa pesa za Kujenga vyoo, Hakuna miradi inayoendelea zaidi ya Maigizo ya filamu, mkiulizwa mnasema Tunaendeleza miradi. WTF??? Ndani ya mwaka mmekopa zaidi ya trilioni 3 hakuna cha maana kilichofanyika zaidi ya kuleteana stori za abunuasi.
wanakopa kununua V8 na kulipana posho nono
 
Mapesa yoote hayo waliyokopa hayatoshi kuimalizia miradi??

Kwanini wanachezea wananchi namna hii.
 
Eti ufafanuzi nilishangaa sana jana watu wakishiba hawawajui wenye njaa...
 
Tozo ziondoloewe! Watafute vyanzo vingine vya mapato. Hiyo miradi ya umeme na Standard gauge ijengwe kwa vyanzo vya mapato vilivyotumika tangu ilipoannzishwa. Hata ikichukua muda mrefu let's say 2025 - 2030 ni sawa tu. Wawaache wananchi waitumikiea serikali huku wakifanya maendeleo yao binafsi. Tuchukulie mfano watumishi wa serikali, mshahara unaingia benki tayari serikali imekata kodi, ukitoa unakatwa (ukibakiza hela uje utoe siku nyingine unakatwa tena), unalimpia pango unakatwa, unalipia umeme unakatwa, ukiwatumia wazazi kule kijjini unakatwa, benki nayo inakukata, mitandao ya simu nayo inakukata, ukienda kununua mahitaji ya nyumbani unakatwa kodi. Hata hii kodi ya nyumba waliweka vise versa ili kuwachanganya wananchi wakubali kuwepo kwa kodi hiyo ila iwepo kwa mwenye nyumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…