Tamko la Shura ya Maimamu kufuatia Jeshi la Polisi kuwashikilia Viongozi wa CHADEMA

Tamko la Shura ya Maimamu kufuatia Jeshi la Polisi kuwashikilia Viongozi wa CHADEMA

SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

TAMKO LETU KUFUATIA JESHI LA POLISI NCHINI KUWASHIKILIA VIONGOZI WA CHADEMA

Shura ya Maimamu Tanzania tumefuatilia kwa kina tukio la Jeshi la Polisi kuwakamata viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendrleo CHADEMA. Tumejiridhisha tukio hilo ni ukandamizaji wa Demokrasia na haki za binadamu.

Tumepokea tukio hili kwa masikitiko makubwa.

Kushikiliwa kwa Viongozi hao wa CHADEMA na baadhi ya wanachama hao, kumetokea muda mchache kabla ya kufikia tarehe ya Kongamano la Kikatiba lilio andaliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kufanyika Jijini Mwanza Ukumbi wa Tourist Hotel.

Kukamatwa kwa Viongozi hao ni kiashiria tosha kuwa Jeshi la Polisi nchini lina endeleza hujuma dhidi ya wananchi kwakuwa haki ya kukusanyika na kutoa maoni ni haki ya Kikatiba. Na kuendelea kuwazui Watanzania kutotumia haki yao ni kuvunja Katiba.

Shura ya Maimamu Tanzania inalitaka Jeshi la Polisi Tanzania kuwaachia viongozi wote wa CHADEMA na wanachama wake bila masharti yoyote.

Pia tunazidi kushauri vyombo vya dola ikiwemo Jeshi la Polisi Tanzania, kutoendeleza vitendo vya ukiukwaji haki za raia na kukandamiza uhuru wa watu kujieleza. Kwani vitendo hivi vina leta taswira mbaya kwa taifa letu.

KATIBU MKUU
Shura ya Maimamu Tanzania
Leo tar 23.07.2021
0656654546

20210724_123021.jpg
 
Friends and Enemies,

Without a further do,

MODs wa JF muache tabia ya kuunganisha au kuweka maneno yenu kwenye maudhui ya fikra zetu,hii ni sehem ambayo tumedare to speak openly,acheni jukwaa Liwe huru.

ShURA ya maimamu,nimesoma waraka wenu wa kuwajibu jeshi la polisi kuhusu kushikiliwa kwa Freeman mbowe na wenzake kwa tuhuma za ugaidi na kujihusisha kuua viongoz,

Haraka haraka mmekuja kutoa tamko la kulaani na kutoa conclusions zenu,siyo jambo baya kulingana na uono wenu,lakin je nyinyi ni jeshi la polisi?jeshi la polisi wametoa observation yao na kila mtu yupo macho kuangalia kinachoendelea iweje mkurupuke kutolea kaul jambo ambalo hamna uhakika nalo?

Acheni kazi ya polisi kwa polisi,besides hao chadema mnaodhan mnaweza kuwatetea wametuma WAFUASI wao uchwara kama yericko nyerere,kigogo na wengine wengi kuwatukana waislam na uislam humu mitandaon kama Jf, Twitter, Instagram na kadhalika hamuoni??wanamtukana na KUMSHAMBULIA SAMIA kisa tuh ni Muislam utadhan ANAONGOZA NCHI hii kwa kuitumia sharia za kiislam,

Waachen chadema wapambane na hicho walichoamua kupambana nacho,

Just a piece of an advice to chadema,pambaneni na serikali na muache kupambana na uislam na waislam,samia Hassan SULUHU ni RAIS wa Tanzania na siyo Rais wa waislam,mukimzonga zonga eti kisa tuh ni Muislam basi tegemeeni battle ya jasho na damu, bring it on....
 
Tatizo sio kudai katiba bali ni matendo yake ya kimafia na kigaidi ya kufikia malengo yake ya kisiasa, huyu Mbowe ana uchu na tamaa iliyo pindukia kiasi kwamba yuko tayari hata kuuwa watu wengine ilimradi tu afikie anacho taka, hana utu wala ubinaadamu kabisaa.
 
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

TAMKO LETU KUFUATIA JESHI LA POLISI NCHINI KUWASHIKILIA VIONGOZI WA CHADEMA

Shura ya Maimamu Tanzania tumefuatilia kwa kina tukio la Jeshi la Polisi kuwakamata viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendrleo CHADEMA. Tumejiridhisha tukio hilo ni ukandamizaji wa Demokrasia na haki za binadamu.

Tumepokea tukio hili kwa masikitiko makubwa.

Kushikiliwa kwa Viongozi hao wa CHADEMA na baadhi ya wanachama hao, kumetokea muda mchache kabla ya kufikia tarehe ya Kongamano la Kikatiba lilio andaliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kufanyika Jijini Mwanza Ukumbi wa Tourist Hotel.

Kukamatwa kwa Viongozi hao ni kiashiria tosha kuwa Jeshi la Polisi nchini lina endeleza hujuma dhidi ya wananchi kwakuwa haki ya kukusanyika na kutoa maoni ni haki ya Kikatiba. Na kuendelea kuwazui Watanzania kutotumia haki yao ni kuvunja Katiba.

Shura ya Maimamu Tanzania inalitaka Jeshi la Polisi Tanzania kuwaachia viongozi wote wa CHADEMA na wanachama wake bila masharti yoyote.

Pia tunazidi kushauri vyombo vya dola ikiwemo Jeshi la Polisi Tanzania, kutoendeleza vitendo vya ukiukwaji haki za raia na kukandamiza uhuru wa watu kujieleza. Kwani vitendo hivi vina leta taswira mbaya kwa taifa letu.

KATIBU MKUU
Shura ya Maimamu Tanzania
Leo tar 23.07.2021
0656654546
Tatizo sio kudai katiba bali ni matendo yake ya kimafia na kigaidi ya kufikia malengo yake ya kisiasa, huyu Mbowe ana uchu na tamaa iliyo pindukia kiasi kwamba yuko tayari hata kuuwa watu wengine ilimradi tu afikie anacho taka, hana utu wala ubinaadamu kabisaa.
 
Friends and Enemies,without a further do,MODs wa JF muache tabia ya kuunganisha au kuweka maneno yenu kwenye maudhui ya fikra zetu,hii ni sehem ambayo tumedare to speak openly,acheni jukwaa Liwe huru.

ShURA ya maimamu,nimesoma waraka wenu wa kuwajibu jeshi la polisi kuhusu kushikiliwa kwa Freeman mbowe na wenzake kwa tuhuma za ugaidi na kujihusisha kuua viongoz,

Haraka haraka mmekuja kutoa tamko la kulaani na kutoa conclusions zenu,siyo jambo baya kulingana na uono wenu,lakin je nyinyi ni jeshi la polisi?jeshi la polisi wametoa observation yao na kila mtu yupo macho kuangalia kinachoendelea iweje mkurupuke kutolea kaul jambo ambalo hamna uhakika nalo?

Acheni kazi ya polisi kwa polisi,besides hao chadema mnaodhan mnaweza kuwatetea wametuma WAFUASI wao uchwara kama yericko nyerere,kigogo na wengine wengi kuwatukana waislam na uislam humu mitandaon kama Jf, Twitter, Instagram na kadhalika hamuoni??wanamtukana na KUMSHAMBULIA SAMIA kisa tuh ni Muislam utadhan ANAONGOZA NCHI hii kwa kuitumia sharia za kiislam,

Waachen chadema wapambane na hicho walichoamua kupambana nacho,

Just a piece of an advice to chadema,pambaneni na serikali na muache kupambana na uislam na waislam,samia Hassan SULUHU ni RAIS wa Tanzania na siyo Rais wa waislam,mukimzonga zonga eti kisa tuh ni Muislam basi tegemeeni battle ya jasho na damu, bring it on....
Hawa wanafungamana na mashekhe wa uamusho so wapo kigaidi Sana wangekuwa BAKWATA ndio serkali ingesikiliza

USSR
 
Friends and Enemies,without a further do,MODs wa JF muache tabia ya kuunganisha au kuweka maneno yenu kwenye maudhui ya fikra zetu,hii ni sehem ambayo tumedare to speak openly,acheni jukwaa Liwe huru.

ShURA ya maimamu,nimesoma waraka wenu wa kuwajibu jeshi la polisi kuhusu kushikiliwa kwa Freeman mbowe na wenzake kwa tuhuma za ugaidi na kujihusisha kuua viongoz,

Haraka haraka mmekuja kutoa tamko la kulaani na kutoa conclusions zenu,siyo jambo baya kulingana na uono wenu,lakin je nyinyi ni jeshi la polisi?jeshi la polisi wametoa observation yao na kila mtu yupo macho kuangalia kinachoendelea iweje mkurupuke kutolea kaul jambo ambalo hamna uhakika nalo?

Acheni kazi ya polisi kwa polisi,besides hao chadema mnaodhan mnaweza kuwatetea wametuma WAFUASI wao uchwara kama yericko nyerere,kigogo na wengine wengi kuwatukana waislam na uislam humu mitandaon kama Jf, Twitter, Instagram na kadhalika hamuoni??wanamtukana na KUMSHAMBULIA SAMIA kisa tuh ni Muislam utadhan ANAONGOZA NCHI hii kwa kuitumia sharia za kiislam,

Waachen chadema wapambane na hicho walichoamua kupambana nacho,

Just a piece of an advice to chadema,pambaneni na serikali na muache kupambana na uislam na waislam,samia Hassan SULUHU ni RAIS wa Tanzania na siyo Rais wa waislam,mukimzonga zonga eti kisa tuh ni Muislam basi tegemeeni battle ya jasho na damu, bring it on....
Shura ya maimamu ni magaidi Kama magaidi wengine wanateteana

USSR
 
Friends and Enemies,

Without a further do,

MODs wa JF muache tabia ya kuunganisha au kuweka maneno yenu kwenye maudhui ya fikra zetu,hii ni sehem ambayo tumedare to speak openly,acheni jukwaa Liwe huru.

ShURA ya maimamu,nimesoma waraka wenu wa kuwajibu jeshi la polisi kuhusu kushikiliwa kwa Freeman mbowe na wenzake kwa tuhuma za ugaidi na kujihusisha kuua viongoz,

Haraka haraka mmekuja kutoa tamko la kulaani na kutoa conclusions zenu,siyo jambo baya kulingana na uono wenu,lakin je nyinyi ni jeshi la polisi?jeshi la polisi wametoa observation yao na kila mtu yupo macho kuangalia kinachoendelea iweje mkurupuke kutolea kaul jambo ambalo hamna uhakika nalo?

Acheni kazi ya polisi kwa polisi,besides hao chadema mnaodhan mnaweza kuwatetea wametuma WAFUASI wao uchwara kama yericko nyerere,kigogo na wengine wengi kuwatukana waislam na uislam humu mitandaon kama Jf, Twitter, Instagram na kadhalika hamuoni??wanamtukana na KUMSHAMBULIA SAMIA kisa tuh ni Muislam utadhan ANAONGOZA NCHI hii kwa kuitumia sharia za kiislam,

Waachen chadema wapambane na hicho walichoamua kupambana nacho,

Just a piece of an advice to chadema,pambaneni na serikali na muache kupambana na uislam na waislam,samia Hassan SULUHU ni RAIS wa Tanzania na siyo Rais wa waislam,mukimzonga zonga eti kisa tuh ni Muislam basi tegemeeni battle ya jasho na damu, bring it on....
Walipokuwa wanawatetea masheikh wa uamsho mbona uliungana nao, mbona hukuwauliza kuwa wao ni polisi?

Acha kuingiza udini kwenye mambo ya kitaifa.

Siyo kwa sababu Samia ni muislamu mwenzio basi unamtetea tu hata kama anafanya udhalimu, mimi pia ni muislamu lakini anachotenda Samia siyo haki. Yeye aliapa kutawala kwa mujibu wa katiba, sasa ni nani anampa haki ya kuzuia mikutano ya siasa iliyoko kikatiba?
 
Walipokuwa wanawatetea masheikh wa uamsho mbona uliungana nao, mbona hukuwauliza kuwa wao ni polisi?
Mkuu usihangaike kujibishana na huyo mpuuzi mdini wa kiwango cha ujinga. Wakati Chadema na wafuasi wake walipokuwa wanasumbuana na kuukataa Udikteta wa Jiwe Kayafa ambaye ni Mkristu mwenzao hawa wakaina The Big Show, Ritz walikuwa wamejificha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema na wafuasi wao wapambane na serikali bila kuusisha uislam,nchi hii haiongozwi kwa sharia za kiislam,watambue hilo
 
Weka ushahid
Uislamu unakataza dhulma kutendewa yeyote hata kama siyo muislamu!
Tetea haki, achana na habari za "huyu muislamu mwenzangu nitamtetea kwa namna yoyote!"
Wewe kwa akili zako unadhani kama Wakiristo watamgeuka Samia sababu ya dini yake nchi ataiweza hii?
 
Mkuu usihangaike kujibishana na huyo mpuuzi mdini wa kiwango cha ujinga. Wakati Chadema na wafuasi wake walipokuwa wanasumbuana na kuukataa Udikteta wa Jiwe Kayafa ambaye ni Mkristu mwenzao hawa wakaina The Big Show, Ritz walikuwa wamejificha.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mpuuz ni wewe,chadema na wapuuz wengine ambao mnaodhan kuwa sisi tupo kulamba miguu ya wanasiasa, pambaneni na siasa zenu Ila msihusishe udini katika kutafuta huruma kwa wananchi,
 
Back
Top Bottom