MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
IPO siku tutakimbiana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna katiba ya wananchi hapo ni wahuni tu. Waislam wameingiaje hapo sijui.
Sijaona tamko chama kama chadema,hao ni wachangiaji kama wewe kwa hisia za udini ili kuchochea.Muwe makini kuleta udiniChadema na wafuasi wao wapambane na serikali bila kuusisha uislam,nchi hii haiongozwi kwa sharia za kiislam,watambue hilo
Kuna press release yoyote ambayo CHADEMA imemkosoa Mama Samia sababu ya dini yake? Au post za member wa JF ndio inageuka official party position?Acha kuwa mpuuz,by the time Magufuli anakuwa criticized alihusishwa na ukristo wake??
Usijitoe ufaham,tunajua mlipooegemea
Kuna press release yoyote ambayo CHADEMA imemkosoa Mama Samia sababu ya dini yake? Au post za member wa JF ndio inageuka official party position?
No wonder mliporwa gesi na korosho.... CCM ilishajua mna reasoning ndogo sana.
Huyu punguani kweli yaani kina Yerico siyo Chadema?Look how stupid you are,
Unataka had watoe press release??
Kwan wao ni wapuuz?wanachokiongea wafuasi wao ndiyo kinachotoka kwao,kama sivyo wawaonye kutoa huo uharo wao,
Wafuasi wa Chadema pambane na serikali msipambane na Waislam waambieni kabisa hao mabwana zenu kina kigogo. Mtaanzisha vita vipya.
Wapuuzi sana wanashikiwa akili na yule pimbi sijui kigogo anajificha kama nguchiro huku anatukana Waislam.Katiba mpya mnayotaka ni ipi.?
Mnalazimisha ugalatia iwe katiba au!
Mtulishe viti moto na mbege kama wakimbizi sio?
Hicho chama chenu ni nuksi.
Haiwezekani mkatuletea agenda za kumwaga damu tukae kimya.
Mbowe hafai kabisa kuongoza hata mtaa wacha nchi
Walimtukana kama hivi? Usiwe punguani kujifanya uoni matusi ya wafuasi wenzako wa Chadema dhidi ya Waislam
View attachment 1866140
Wapuuzi sana wanashikiwa akili na yule pimbi sijui kigogo anajificha kama nguchiro huku anatukana Waislam.
Ebu pitia vizuri hili bandiko lao ambalo walikuwa wanawashambulia Waislam.Chadema ni chama mfu kwa sasa,
By the time Magufuli anawanyoosha tukajua watakuja kutuliza akili na kuja na fikra pevu,kumbe bado wako vile vile na propaganda zao za udini... wapuuz Sana
Kuna mapunguani humu sisi tunaowajibu wanatuita wadini. Lakini walichofanya wenzao ni sahihi sababu kinawafurahisha.Wapuuz kbs,watu wao wenyewe wamerukwa na akili kama mdude,yericko,kigogo yaani hao ndiyo kioo Chao huko kwenye social media,chama kimekuwa Cha kihuni...
Eti wanadai katiba,ya kwao tuh ndan ya chama imewashinda wanywa mbege hawa
Sasa kwani Yericko na Kigogo wana vyeo gani ndani ya CHADEMA?Walimtukana kama hivi? Usiwe punguani kujifanya uoni matusi ya wafuasi wenzako wa Chadema dhidi ya Waislam
View attachment 1866140
Wafuasi gani? Yaani comment ya fake account ndio ionywe na Mnyika?? Are you serious?Look how stupid you are,
Unataka had watoe press release??
Kwan wao ni wapuuz?wanachokiongea wafuasi wao ndiyo kinachotoka kwao,kama sivyo wawaonye kutoa huo uharo wao,
Walisha pewa posho, na wamezinguana baadhi yao! Tozo tulipe sisi migao kwenye mikutano ya makundi, si sawa!Ndiyo namna ya kuwafikishia hao watawala hiyo yakhe.
Kwani BAKWATA, CCT, TEK na wengine nao japo wanasema je?
Sasa kwani Yericko na Kigogo wana vyeo gani ndani ya CHADEMA?
Hayo ni maoni yao yaliyopotoka, Sasa na wewe kama unataka kuwa mdini kama wao basi na wewe utakuwa huna tofauti nao