Tamko la Shura ya Maimamu kufuatia Jeshi la Polisi kuwashikilia Viongozi wa CHADEMA

Tamko la Shura ya Maimamu kufuatia Jeshi la Polisi kuwashikilia Viongozi wa CHADEMA

Just a piece of an advice to chadema,pambaneni na serikali na muache kupambana na uislam na waislam
THE BIG SHOW Ritz na FaizaFoxy walipotea kipindi cha JPM. Naona toka "mwenzao" arudi wamekua active sana.

Hao CHADEMA waliwatetea wazi wazi wale masheikh wa ugaidi & Ponda toka wanakamatwa. Eti leo hii mnawaita wanampinga Samia kisa Muislam? Kwani JPM naye alikua muislam?

Acheni inferiority complex isiyo na tija. As a president she's prone to mistakes which are subjected to criticism irrespective of her gender or religion.
 
Uislamu unakataza dhulma kutendewa yeyote hata kama siyo muislamu!
Tetea haki, achana na habari za "huyu muislamu mwenzangu nitamtetea kwa namna yoyote!"
Wewe kwa akili zako unadhani kama Wakiristo watamgeuka Samia sababu ya dini yake nchi ataiweza hii?

Hilo waambie wafuasi wenzako sasa kama yericko na kigogo,hao na wengine wengi wameanzisha hii movement ya kumtukana huyu president kisa tuh ni Muislam,na wamesema waz waz, unataka sisi tukae kimya??
 
Friends and Enemies,

Without a further do,

MODs wa JF muache tabia ya kuunganisha au kuweka maneno yenu kwenye maudhui ya fikra zetu,hii ni sehem ambayo tumedare to speak openly,acheni jukwaa Liwe huru.

ShURA ya maimamu,nimesoma waraka wenu wa kuwajibu jeshi la polisi kuhusu kushikiliwa kwa Freeman mbowe na wenzake kwa tuhuma za ugaidi na kujihusisha kuua viongoz,

Haraka haraka mmekuja kutoa tamko la kulaani na kutoa conclusions zenu,siyo jambo baya kulingana na uono wenu,lakin je nyinyi ni jeshi la polisi?jeshi la polisi wametoa observation yao na kila mtu yupo macho kuangalia kinachoendelea iweje mkurupuke kutolea kaul jambo ambalo hamna uhakika nalo?

Acheni kazi ya polisi kwa polisi,besides hao chadema mnaodhan mnaweza kuwatetea wametuma WAFUASI wao uchwara kama yericko nyerere,kigogo na wengine wengi kuwatukana waislam na uislam humu mitandaon kama Jf, Twitter, Instagram na kadhalika hamuoni??wanamtukana na KUMSHAMBULIA SAMIA kisa tuh ni Muislam utadhan ANAONGOZA NCHI hii kwa kuitumia sharia za kiislam,

Waachen chadema wapambane na hicho walichoamua kupambana nacho,

Just a piece of an advice to chadema,pambaneni na serikali na muache kupambana na uislam na waislam,samia Hassan SULUHU ni RAIS wa Tanzania na siyo Rais wa waislam,mukimzonga zonga eti kisa tuh ni Muislam basi tegemeeni battle ya jasho na damu, bring it on....

Naona unalazimisha kuonekana ni muislamu, ww sio muislam bali unajina la kiisilamu. Waislamu halisi wameongea, na hata wangeamua kukaa kimya bado ukweli tunaujua. Mbowe sio gaidi hata ungekuwa na chuki vipi na cdm kwenye hili hutoboi. Dhalimu Magu tulimpa ukweli wake na hatukujali jina lake la kikristo, na mama hatujali kama ni muislamu wala nini, tunampa ukweli. Ww pita kwenye misikiti yote waambie kuwa Samia anakosolewa kwakuwa ni muisilamu lakini hatumuachi akizuia katiba mpya.
 
Hilo waambie wafuasi wenzako sasa kama yericko na kigogo,hao na wengine wengi wameanzisha hii movement ya kumtukana huyu president kisa tuh ni Muislam,na wamesema waz waz, unataka sisi tukae kimya??
Hao akina Kigogo wamemtukana Magufuli sana tu.

Haya mambo ya Maraisi kupingwa, kusemwa vibaya yataendelea kuwepo milele tu, hawatukanwi sababu ya dini yao wanatuknawa kwa sababu ni wafanya maamuzi yanayogusa maisha ya watu kwa hiyo lazima watapokea reaction yoyote
 
Naona unalazimisha kuonekana ni muislamu, ww sio muislam bali unajina la kiisilamu. Waislamu halisi wameongea, na hata wangeamua kukaa kimya bado ukweli tunaujua. Mbowe sio gaidi hata ungekuwa na chuki vipi na cdm kwenye hili hutoboi. Dhalimu Magu tulimpa ukweli wake na hatukujali jina lake la kikristo, na mama hatujali kama ni muislamu wala nini, tunampa ukweli. Ww pita kwenye misikiti yote waambie kuwa Samia anakosolewa kwakuwa ni muisilamu lakini hatumuachi akizuia katiba mpya.

Besides,

Mimi sijasema mbowe ni gaidi,ni polisi wanasema ana tuhuma za ugaidi!!

Waulize wafuasi wenzenu kina yericko uislam wa mama samia unaingiaje hapo? Hawawez kujenga hoja yao bila kuuhusisha uislam?
 
Hao akina Kigogo wamemtukana Magufuli sana tu.

Haya mambo ya Maraisi kupingwa, kusemwa vibaya yataendelea kuwepo milele tu, hawatukanwi sababu ya dini yao wanatuknawa kwa sababu ni wafanya maamuzi yanayogusa maisha ya watu kwa hiyo lazima watapokea reaction yoyote

Sawa,walimtukana lakin hawakusisha na iman yake,na hicho ndicho ninachokisimamia
 
Hao akina Kigogo wamemtukana Magufuli sana tu.

Haya mambo ya Maraisi kupingwa, kusemwa vibaya yataendelea kuwepo milele tu, hawatukanwi sababu ya dini yao wanatuknawa kwa sababu ni wafanya maamuzi yanayogusa maisha ya watu kwa hiyo lazima watapokea reaction yoyote
Mkuu nakupa heshima zote,wewe ni Muilsamu safi huna Unaa. Kipindi cha Ditketa Jiwe tulikuwa wote humu kumpinga bila kujali imani yake. Na sasa tutaendelea kumpinga Mama bila kujali Jinsi wala Dini yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kundi lenu la wajinga naona leo mmeitana kuendeleza upuuzi wenu kama kawaida, wenzio wamekuja na uzi wa kipuuzi hapa wamelishwa shubiri mods wakawafichia aibu wakaondoa ule uzi.

Simply nyie mnawakalisha kikundi cha walemavu wa hoja mliozoea kuegemea kwenye kivuli cha udini ili kuficha ujinga uliojaza vichwa vyenu, mmejijengea reputation ya wapuuzi wa jf.
 
Mods msifute hizi nyuzi mnaficha nini wafuasi wa Chadema wao ndiyo wameamua kupambana na Waislam waacheni.
 
Waislamu wanahangaika kutete chama cha watu wa kasakazini. Wenye chuki mbaya na Waislamu.
Mimi nashangaa sana sijui wamerogwa na mitishamba ya chadema?
Wasemaji na washauri wenyewe ndio hawa vichwa maji kina @yerichonyerere na bi mdogo wake Kigogo.
Hawa bulldozer ndio alikuwa anajua namna ya kuwatia adabu.
Sasa wameanza kuharibu amani tena huko mwanza.
Hawa ni kuwafungia tu jumla.
 
Mkuu usihangaike kujibishana na huyo mpuuzi mdini wa kiwango cha ujinga. Wakati Chadema na wafuasi wake walipokuwa wanasumbuana na kuukataa Udikteta wa Jiwe Kayafa ambaye ni Mkristu mwenzao hawa wakaina The Big Show, Ritz walikuwa wamejificha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi wapo mbelembele na nyuzi zao za kebehi na bezo.
 
Hao akina Kigogo wamemtukana Magufuli sana tu.

Haya mambo ya Maraisi kupingwa, kusemwa vibaya yataendelea kuwepo milele tu, hawatukanwi sababu ya dini yao wanatuknawa kwa sababu ni wafanya maamuzi yanayogusa maisha ya watu kwa hiyo lazima watapokea reaction yoyote
Walimtukana kama hivi? Usiwe punguani kujifanya uoni matusi ya wafuasi wenzako wa Chadema dhidi ya Waislam

20210724_123021.jpg
 
Kundi lenu la wajinga naona leo mmeitana kuendeleza upuuzi wenu kama kawaida, wenzio wamekuja na uzi wa kipuuzi hapa wamelishwa shubiri mods wakawafichia aibu wakaondoa ule uzi.

Simply nyie mnawakalisha kikundi cha walemavu wa hoja mliozoea kuegemea kwenye kivuli cha udini ili kuficha ujinga uliojaza vichwa vyenu, mmejijengea reputation ya wapuuzi wa jf.
Wewe waite Waslam matusi yote siyo wa kwanza kufanya hivyo Waislam wanahusika vipi kwa kukamatwa Mbowe mpaka muwatukane hivyo?
 
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

TAMKO LETU KUFUATIA JESHI LA POLISI NCHINI KUWASHIKILIA VIONGOZI WA CHADEMA

Shura ya Maimamu Tanzania tumefuatilia kwa kina tukio la Jeshi la Polisi kuwakamata viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendrleo CHADEMA. Tumejiridhisha tukio hilo ni ukandamizaji wa Demokrasia na haki za binadamu.

Tumepokea tukio hili kwa masikitiko makubwa.

Kushikiliwa kwa Viongozi hao wa CHADEMA na baadhi ya wanachama hao, kumetokea muda mchache kabla ya kufikia tarehe ya Kongamano la Kikatiba lilio andaliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kufanyika Jijini Mwanza Ukumbi wa Tourist Hotel.

Kukamatwa kwa Viongozi hao ni kiashiria tosha kuwa Jeshi la Polisi nchini lina endeleza hujuma dhidi ya wananchi kwakuwa haki ya kukusanyika na kutoa maoni ni haki ya Kikatiba. Na kuendelea kuwazui Watanzania kutotumia haki yao ni kuvunja Katiba.

Shura ya Maimamu Tanzania inalitaka Jeshi la Polisi Tanzania kuwaachia viongozi wote wa CHADEMA na wanachama wake bila masharti yoyote.

Pia tunazidi kushauri vyombo vya dola ikiwemo Jeshi la Polisi Tanzania, kutoendeleza vitendo vya ukiukwaji haki za raia na kukandamiza uhuru wa watu kujieleza. Kwani vitendo hivi vina leta taswira mbaya kwa taifa letu.

KATIBU MKUU
Shura ya Maimamu Tanzania
Leo tar 23.07.2021
0656654546
Walitoa tamko wazee wa uamsho walipoachiwa?
 
Kama wafuasi wa Chadema mnatukana Waislam halafu mnataka Katiba mpya kwa style hiyo labda katiba iwe ya Kanisa.
 
THE BIG SHOW Ritz na FaizaFoxy walipotea kipindi cha JPM. Naona toka "mwenzao" arudi wamekua active sana.

Hao CHADEMA waliwatetea wazi wazi wale masheikh wa ugaidi & Ponda toka wanakamatwa. Eti leo hii mnawaita wanampinga Samia kisa Muislam? Kwani JPM naye alikua muislam?

Acheni inferiority complex isiyo na tija. As a president she's prone to mistakes which are subjected to criticism irrespective of her gender or religion.

Acha kuwa mpuuz,by the time Magufuli anakuwa criticized alihusishwa na ukristo wake??

Usijitoe ufaham,tunajua mlipooegemea
 
Kundi lenu la wajinga naona leo mmeitana kuendeleza upuuzi wenu kama kawaida, wenzio wamekuja na uzi wa kipuuzi hapa wamelishwa shubiri mods wakawafichia aibu wakaondoa ule uzi.

Simply nyie mnawakalisha kikundi cha walemavu wa hoja mliozoea kuegemea kwenye kivuli cha udini ili kuficha ujinga uliojaza vichwa vyenu, mmejijengea reputation ya wapuuzi wa jf.
Katiba mpya mnayotaka ni ipi.?
Mnalazimisha ugalatia iwe katiba au!
Mtulishe viti moto na mbege kama wakimbizi sio?
Hicho chama chenu ni nuksi.
Haiwezekani mkatuletea agenda za kumwaga damu tukae kimya.
Mbowe hafai kabisa kuongoza hata mtaa wacha nchi
 
Back
Top Bottom