Mkuu akilaumiwa mwanao kwa tabia mbaya,moja kwa moja lawama zinaangukia kwa mzazi wa mtoto,hapo namba moja ndio anabeba mzigoKwa hili polisi wanalaumiwa bure, ujumbe huu ungeelekezwa kwa watawala direct.
ShUghuli zao ni pamoja na hizi! Kuhubiri na kutetea haki coz bila haki hakuna amaniNyie Shura ya Maimamu tulieni fanyeni shughuli zenu kwa mujibu wa katiba yenu. Acheni serikali kupitia jeshi la polisi wafanye shughuli zao hakuna mtu anauawa ni sheria ndio itatumika. Rais aliapa kuilinda katiba na sheria zake zote. We unajuaje km kongamano la katiba ilikuwa geresha tu na kuna mambo yamejificha nyuma ya pazia?
Hawa watu wana mikono mirefu wanafanya kazi hata wakati we unakoroma au unam-do mwenza wako. Hatuchelewi kuja kuilaumu serikali yakitokea yakutokea na tena nyie na mnaofananao ndio mtakuwa wa kwanza kuinyoshea kidole serikali kuwa 'hamjawahi kuona serikali dhaifu km hii kwani hawana vyombo vya usalama'?
Tuna imani na serikali yetu. CHADEMA wameshakosa mwelekeo tangia 2015 wanataka kutumia njia haramu na huruma ya wananchi.
Unamjibia mdini mwenzio? watu mna Rais, waziri mkuu, jaji mkuu, mkuu wa TISS bado mnalalamika udini? Hvi mtaridhika lini?
Wakati CHADEMA inawapigania kina ponda na Masheikh wa zenji sikuona mkiwasifia. Lissu kwenye kampeni zote alikua anapiga kelele watolewe, Eti leo hii mnajifanya kuwapangia Maimamu cha kuandika??
Embiciles
Yeriko na kigogo ni nani hapo CHADEMA hadi uchukue matamshi yao kama official party statement? Kwahiyo Lukuvi aliposema Zenji itakua dola ya kiislam siku ikiwa huru ulikua msimamo wa chama??
Kusini mtaendelea kuburuza mkia kwenye kila kitu mtabaki kulaumu udini tu.
Msimamo wa mtu mmoja asiye kiongozi wa chama hauwezi kuhusishwa na chama kizima. Yeriko sijui kigogo au Fatma Karume sio viongozi wa CHADEMA so maoni yao ni individual so huwezi yahusisha na chama kizima ni mistake.
Miaka yote msimamo wa CHADEMA ni Zanzibar huru, Haki kwa wote bila kubaguana kidini au kikabila. So hawawezi tumia kete ya udini kutafuta kura. Till then mambo ya Twitter yatenganishwe na official party position.
Waache wafanye, nimewaona wakijaribu. Pengine hawafahamu Waislamu kiundani ni akina nani!
Watawahoji kipindi cha awamu iliyopita mbona matendo yake hayajanisibishwa na dini yake bali ni yeye mwenyewe.
Iweje huyo mumnasibishe na dini yake? Wataulizwa tu mna chuki na Uislam? Na ikishafika hii hatua wasidhani hata akina Sheikh Ponda watawaunga mkono.
Wengine wamefika mbali wamekashifu wazanzibar (japo mi ni wa bara).
Waache waje!
Huyu dada Yericko Nyerere ni kiumbe wa chama kipi kama sio hicho cha wanywa Mbege?Kuna press release yoyote ambayo CHADEMA imemkosoa Mama Samia sababu ya dini yake? Au post za member wa JF ndio inageuka official party position?
No wonder mliporwa gesi na korosho.... CCM ilishajua mna reasoning ndogo sana.
Sasa kwani Yericko na Kigogo wana vyeo gani ndani ya CHADEMA?
Hayo ni maoni yao yaliyopotoka, Sasa na wewe kama unataka kuwa mdini kama wao basi na wewe utakuwa huna tofauti nao
Watoto wa zinaa ndio kawaida yao.Wapuuzi sana wanashikiwa akili na yule pimbi sijui kigogo anajificha kama nguchiro huku anatukana Waislam.
Watoto wa zinaa ndio kawaida yao.
Wakitaka kutukana wanajificha .
Yule dada Yericho iko siku alikunywa mapuya akapotea njia wakamuokota kule buza, kalazwa kwa mganga wa kienyeji wiki 2 kina mama wengine wa chadema wakadai Katekwa.
Wakiambiwa mapuya nuksi wanaandamana .
Dah uislamu Tanzania unazidi kupata heshima mungu awabariki Sana shura ya maimamu.SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
TAMKO LETU KUFUATIA JESHI LA POLISI NCHINI KUWASHIKILIA VIONGOZI WA CHADEMA
Shura ya Maimamu Tanzania tumefuatilia kwa kina tukio la Jeshi la Polisi kuwakamata viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendrleo CHADEMA. Tumejiridhisha tukio hilo ni ukandamizaji wa Demokrasia na haki za binadamu.
Tumepokea tukio hili kwa masikitiko makubwa.
Kushikiliwa kwa Viongozi hao wa CHADEMA na baadhi ya wanachama hao, kumetokea muda mchache kabla ya kufikia tarehe ya Kongamano la Kikatiba lilio andaliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kufanyika Jijini Mwanza Ukumbi wa Tourist Hotel.
Kukamatwa kwa Viongozi hao ni kiashiria tosha kuwa Jeshi la Polisi nchini lina endeleza hujuma dhidi ya wananchi kwakuwa haki ya kukusanyika na kutoa maoni ni haki ya Kikatiba. Na kuendelea kuwazui Watanzania kutotumia haki yao ni kuvunja Katiba.
Shura ya Maimamu Tanzania inalitaka Jeshi la Polisi Tanzania kuwaachia viongozi wote wa CHADEMA na wanachama wake bila masharti yoyote.
Pia tunazidi kushauri vyombo vya dola ikiwemo Jeshi la Polisi Tanzania, kutoendeleza vitendo vya ukiukwaji haki za raia na kukandamiza uhuru wa watu kujieleza. Kwani vitendo hivi vina leta taswira mbaya kwa taifa letu.
KATIBU MKUU
Shura ya Maimamu Tanzania
Leo tar 23.07.2021
0656654546
Serikali ilishakosa credibility enzi za jpm Sasa mnamkosesha mama credibility pia kimsingi hamuaminiki maana tayari mna madoa 183 ya kubambikia watu kesi na hii ni takwimu zenu vipi takwimu ambazo ni za haki na c zenu je takwimu c zitafika maelfu? Je bado mnataka kuaminika?Nyie Shura ya Maimamu tulieni fanyeni shughuli zenu kwa mujibu wa katiba yenu. Acheni serikali kupitia jeshi la polisi wafanye shughuli zao hakuna mtu anauawa ni sheria ndio itatumika. Rais aliapa kuilinda katiba na sheria zake zote. We unajuaje km kongamano la katiba ilikuwa geresha tu na kuna mambo yamejificha nyuma ya pazia?
Hawa watu wana mikono mirefu wanafanya kazi hata wakati we unakoroma au unam-do mwenza wako. Hatuchelewi kuja kuilaumu serikali yakitokea yakutokea na tena nyie na mnaofananao ndio mtakuwa wa kwanza kuinyoshea kidole serikali kuwa 'hamjawahi kuona serikali dhaifu km hii kwani hawana vyombo vya usalama'?
Tuna imani na serikali yetu. CHADEMA wameshakosa mwelekeo tangia 2015 wanataka kutumia njia haramu na huruma ya wananchi.
Huyu dada Yericko Nyerere ni kiumbe wa chama kipi kama sio hicho cha wanywa Mbege?
Sasa ulitaka wachapishe kwenye mzalendo na Sura ya mbowe ndio ukubali kuwa limetoka chadema?
Hamna pesa za kuchapisha chuki zenu ndio sababu mnawatumia hawa wapima mbege kina Kigogo kuropoka ovyo
Ukweli mtupuSHURA YA MAIMAMU TANZANIA
TAMKO LETU KUFUATIA JESHI LA POLISI NCHINI KUWASHIKILIA VIONGOZI WA CHADEMA
Shura ya Maimamu Tanzania tumefuatilia kwa kina tukio la Jeshi la Polisi kuwakamata viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendrleo CHADEMA. Tumejiridhisha tukio hilo ni ukandamizaji wa Demokrasia na haki za binadamu.
Tumepokea tukio hili kwa masikitiko makubwa.
Kushikiliwa kwa Viongozi hao wa CHADEMA na baadhi ya wanachama hao, kumetokea muda mchache kabla ya kufikia tarehe ya Kongamano la Kikatiba lilio andaliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kufanyika Jijini Mwanza Ukumbi wa Tourist Hotel.
Kukamatwa kwa Viongozi hao ni kiashiria tosha kuwa Jeshi la Polisi nchini lina endeleza hujuma dhidi ya wananchi kwakuwa haki ya kukusanyika na kutoa maoni ni haki ya Kikatiba. Na kuendelea kuwazui Watanzania kutotumia haki yao ni kuvunja Katiba.
Shura ya Maimamu Tanzania inalitaka Jeshi la Polisi Tanzania kuwaachia viongozi wote wa CHADEMA na wanachama wake bila masharti yoyote.
Pia tunazidi kushauri vyombo vya dola ikiwemo Jeshi la Polisi Tanzania, kutoendeleza vitendo vya ukiukwaji haki za raia na kukandamiza uhuru wa watu kujieleza. Kwani vitendo hivi vina leta taswira mbaya kwa taifa letu.
KATIBU MKUU
Shura ya Maimamu Tanzania
Leo tar 23.07.2021
0656654546
Ni sisi wapinzani wenyewe tutaweza kujitetea, kwa sasa ccm wamepoteza ushawishi kwa umma, hivyo wamejihika na vyombo vya dola ili kuendelea kututawala kwa shuruti. Namna pekee ni sisi wapinzani kugoma kushirikiana na wanaccm.Ukweli mtupu
Ila nao wameulenga utawala though indirect kwa kuwa utawala haukuwepo pale physically bali ulitumia remote control.Kwa hili polisi wanalaumiwa bure, ujumbe huu ungeelekezwa kwa watawala direct.
Acha SHURA YA MAIMAMU TANZANIA wafanye what they believe is right, hao akina Yeriko na huyo Jay Z(Kigogo) si wasemaji wa jumuia ya Wakristo hivyo hiyo divide and rule tactic unayojaribu kuitumia hapo haina uzito.
Watoto wa zinaa kama nyinyi ni disgrace kubwa sana,we wonder why hawakutumia Mpira instead wakatuletea kituko kama hiki kwenye ardhi,Huyu mtoto huwa ni mjinga sana, huwa analeta uisilamu wake kwenye mambo yasiyo na uhusiano. Anadhani kwakuwa yeye ana Udini maandazi kila mtu na anaendekeza hiyo mitazamo kama yake. Magu tulikuwa tunamuona anaenda kanisani kila siku, lakini tulikuwa tunajua fika ni mnafiki na dhalimu, na hatujawahi kumtetea eti kisa ni mkristo. Huyu mjinga akiona mtu kavaa nikabu kwake anaona ni muislamu.
Watoto wa zinaa kama nyinyi ni disgrace kubwa sana,we wonder why hawakutumia Mpira instead wakatuletea kituko kama hiki kwenye ardhi,
Anyway,umekuja kwa zinaa,make sure huyo mumeo ulienae asiendelee kukuzalisha watoto wa zinaa kama wewe mama yao, umeelewa?