Uchaguzi 2020 Tamko la Ubalozi wa Marekani kuhusu uchaguzi Mkuu Tanzania 2020

Uchaguzi 2020 Tamko la Ubalozi wa Marekani kuhusu uchaguzi Mkuu Tanzania 2020

the time will come when those who doesnt know meaning of democracy will understand..acha wawatukane wenzao walo tambua early
 
Muache aseme ili tukinyimwa misaada kwa kukiuka masharti ya misaada mkumbuke vizuri
Daaah kwa akili hizi n afadhali tuu mmekosa kila kitu, kwahy ulkuwa mnataka kushinda ili mpate misaada.?
 
Even in the US there's no democracy
yeah but tambua US sio bongo.. raisi wao wa awamu ya tano walimchagua kabla hat raisi wako wa awam ya tano haja fikiriwa kuzaliwa so..mi nasemag tusijifananshe na nchi kama hzo kwny u leo.. all in all wote tuta being affected iwe neg or positv way kwakua baba yetu mmoja ambae ni tz.. acha tu focus tuh tutafka
 
Yani heri Sadam Hussein walimkamata kajificha kwenye shimo la panya ndevu kasahau nje. Huyu wa kwetu watamkuta kajianika juu ya mawe kama kenge!
 
Yani heri Sadam Hussein walimkamata kajificha kwenye shimo la panya ndevu kasahau nje. Huyu wa kwetu watamkuta kajianika juu ya mawe kama kenge!
Wapumbavu wa nchini kwake ndio waliofankisha kuuawa kwake, lkn hapa hakuna mpumbavu wa namna hy lbl ww uwe wa kwanza na hautofanikiwa
 
Yani heri Sadam Hussein walimkamata kajificha kwenye shimo la panya ndevu kasahau nje. Huyu wa kwetu watamkuta kajianika juu ya mawe kama kenge!
Siku hizi wanatuma drone au B52 inakuja inaganda juu sana inaachia Ndege kibao zisizo na Rubani
 
Wapumbavu wa nchini kwake ndio waliofankisha kuuawa kwake, lkn hapa hakuna mpumbavu wa namna hy lbl ww uwe wa kwanza na hautofanikiwa
Wewe utakuwa mnufaika wa ufedhuri wa CCM kwa njia zote haramu za kishetani
 
Hao nao hawana msaada wowote kila siku maneno hayo hayo tu hapa naanza kukubali duniani hakuna mungu au kama yupo hashiguliki na maisha ya duniani jamani Chadema wenzangu tutafute njia nyingine na sisi hii ya masanduku imeshagoma
Wanaanza na Albadiri kwanza kisha njia zingine
 
Back
Top Bottom