Uchaguzi 2020 Tamko la Ubalozi wa Marekani kuhusu uchaguzi Mkuu Tanzania 2020

Uchaguzi 2020 Tamko la Ubalozi wa Marekani kuhusu uchaguzi Mkuu Tanzania 2020

Marekani inasisitiza haki ya maandamano ya amani kueleza maoni yao.
Next week Teump hayuko tena. Balozi wa Demokrat ataletwa naye hatahukuwa na huruka huzo mnazo zitaka juzisikia.

Msimharibie Magufuli njozi zake za kuivusha Tanzania.

Ulaya nzima iko kimyaaa! Na mashoga wao wakenya wanahaha. Wanamwogopa simba anavyo nguruma. Wanahofia atawaumbua. Kwenye hii miaka mitano ijayo tukivuka wakenya watakuwa mpese mpese.

MAGUFULI oyeeeeeee!
 
Next weak Teump hayuko tena. Balozi wa Demokrat ataletwa naye hatahukuwa na huruka huzo mnazo zitaka juzisikia.

Msimwaribie Magufuli njozi zake za kuivusha Tabzania.

Ulaya nzima iko kimywaaa! Na mashoga wao wakenya wanahaha. Wanamwogopa simba anavyo nguruma. Wanahofia atawaumbua. Kwenye hii miaka mitano ijayo tukivuka wakenya watakuwa mpese mpese.

MAGUFULI oyeeeeeee!
Kwa hiyo unaomba Trump aanguke, proffessionals don’t have political parties they do serve the current government.
 
Marekani inasisitiza haki ya maandamano ya amani kueleza maoni yao.
Nani aandamane wakati watu wanafahamu viongozi waliowachagua. Tatizo mnalazimisha maoni ya wachache ndio iwe kweli ya wote.
 
Kati ya member wa jf ambao hawajielewi nahic we ni namb one...ngoja tuisome namb wote... Mimi ni CCM lakin sio kwa ubadhilifu wa kura uliofanyika kipindi hiki
N kwel sijielew ndio maana siwezi kuendeshwa na post za wanasiasa wanaosema tuandamane, ila ww unaejitambua nenda ukaandamane ili kudai haki yako
 
Kama una akiba sasa hivi itineraries. Vikwazo vya uchumi vikianza tutauza mpaka mabanda ya kuku.
vipi mkuu mna mpango gani na haya matokeo nyinyi kama chadema in jf[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Marekani inasisitiza haki ya maandamano ya amani kueleza maoni yao.
Imeshapita iyo.... kwaiyo na sisi tunaofurahia ushindi wa kishindo tuandamane kuwalazimisha wafuasi wa Lissu mkubali matokeo?
 
IMG_5787.png
 
Waondoe vidonge vya ukimwi tuzike MaCCM wengi maana wanakunywa sana arvs
 
Kwahiy unaomba Trump aanguke, proffessionals don’t have political parties they do serve the current government.
Wewe unaonaje? Trump atapita? Basi huijui Amerika ilivyo wewe. No. But I just wanted you to be aware that those Ambassadors normally can be expelled from the countries in which they are performing their duties on behalf of their corresponding countries.

Understood?
 
Kweli machadema hamna akili!

Umeandika ukiwa na akili timamu au umeamua kuchekesha watu?
Kuna rais amewahi kufichwa kwa miezi mitatu na CIA .ikawa ndo mwisho wa madaraka yake. Sasa huyu mshamba ndo kabisaaa atadakwa kiulainiiiii.
 
Back
Top Bottom