Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama ako mwenye akili timamu ...
Next week Teump hayuko tena. Balozi wa Demokrat ataletwa naye hatahukuwa na huruka huzo mnazo zitaka juzisikia.Marekani inasisitiza haki ya maandamano ya amani kueleza maoni yao.
Kwa hiyo unaomba Trump aanguke, proffessionals don’t have political parties they do serve the current government.Next weak Teump hayuko tena. Balozi wa Demokrat ataletwa naye hatahukuwa na huruka huzo mnazo zitaka juzisikia.
Msimwaribie Magufuli njozi zake za kuivusha Tabzania.
Ulaya nzima iko kimywaaa! Na mashoga wao wakenya wanahaha. Wanamwogopa simba anavyo nguruma. Wanahofia atawaumbua. Kwenye hii miaka mitano ijayo tukivuka wakenya watakuwa mpese mpese.
MAGUFULI oyeeeeeee!
Hapa mjipambanie wenyewe na watoto wenu. Msimtegemee mzungu kabisa.Hawana lolote maana katika miaka ya karibuni wametoa misaada mikubwa mikubwa.Wale mpaka uguse Maslahi yao
Nani aandamane wakati watu wanafahamu viongozi waliowachagua. Tatizo mnalazimisha maoni ya wachache ndio iwe kweli ya wote.Marekani inasisitiza haki ya maandamano ya amani kueleza maoni yao.
Kwahy ww unatakaje.? Bc nenda ukaandamane kama mnavoambiwa na huyo kiongozi wenuMbona mnalazimisha sana hili?
Kati ya member wa jf ambao hawajielewi nahic we ni namb one...ngoja tuisome namb wote... Mimi ni CCM lakin sio kwa ubadhilifu wa kura uliofanyika kipindi hikiKwahy ww unatakaje.? Bc nenda ukaandamane kama mnavoambiwa na huyo kiongozi wenu
N kwel sijielew ndio maana siwezi kuendeshwa na post za wanasiasa wanaosema tuandamane, ila ww unaejitambua nenda ukaandamane ili kudai haki yakoKati ya member wa jf ambao hawajielewi nahic we ni namb one...ngoja tuisome namb wote... Mimi ni CCM lakin sio kwa ubadhilifu wa kura uliofanyika kipindi hiki
Sina uongozi wowote ila siwezi kuendeshwa na post za kijinga kutoka kwa wanasiasaInawezekena huyu ni diwani aliyepita bila kupingwa.
vipi mkuu mna mpango gani na haya matokeo nyinyi kama chadema in jf[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama una akiba sasa hivi itineraries. Vikwazo vya uchumi vikianza tutauza mpaka mabanda ya kuku.
Imeshapita iyo.... kwaiyo na sisi tunaofurahia ushindi wa kishindo tuandamane kuwalazimisha wafuasi wa Lissu mkubali matokeo?Marekani inasisitiza haki ya maandamano ya amani kueleza maoni yao.
Wewe unaonaje? Trump atapita? Basi huijui Amerika ilivyo wewe. No. But I just wanted you to be aware that those Ambassadors normally can be expelled from the countries in which they are performing their duties on behalf of their corresponding countries.Kwahiy unaomba Trump aanguke, proffessionals don’t have political parties they do serve the current government.
Kuna rais amewahi kufichwa kwa miezi mitatu na CIA .ikawa ndo mwisho wa madaraka yake. Sasa huyu mshamba ndo kabisaaa atadakwa kiulainiiiii.Kweli machadema hamna akili!
Umeandika ukiwa na akili timamu au umeamua kuchekesha watu?