Uchaguzi 2020 Tamko la Ubalozi wa Marekani kuhusu uchaguzi Mkuu Tanzania 2020

Uchaguzi 2020 Tamko la Ubalozi wa Marekani kuhusu uchaguzi Mkuu Tanzania 2020

Ww ndio ufiche upumbavu wako, kama hakuna mapambano bc usngesikia kuhusu facebook, Russia na wengineo kupanga matokeo.

Na sasa hv Obama nae ameingia kati khs uchaguzi.
mapambano ya uchaguzi wa marekani ni kuhusu sera dhidi ya sera, siyo mapambano ya polisi au jeshi dhidi ya raia. ficha upumbavu wako.
 
Mkaandamane mbona hamjaenda ma keyboard warrior............si rais wenu Lisu alishawaambia mchukue hatua au mnataka wamarekani ndo waje kuandamana kwa ajili yenu
Si mmetuzimia mitandao.washeni tujiorganize.
 
mapambano ya uchaguzi wa marekani ni kuhusu sera dhidi ya sera, siyo mapambano ya polisi au jeshi dhidi ya raia. ficha upumbavu wako.
Narudia tena ficha upumbavu wako, kwan nyie upinzani wakati wa kampeni nlikuwa mnaongea khs sera au kitu gani.? Kajipangeni tena, magufuli amewaoa tayari na mna mimba ya miezi 9

Mkuu nakusubiri ukaandamane kama mpumbavu mwenzako anavokuambia hlf tutakutana hospital baada ya virungu kutembea mwilini mwako
 
#U.S.Embassy Statement on Tanzania's Election on 29th October 2020: Nyie wanasiasa uchwara mnamharibia huyo balozi. Hamtulii, mamboi ya ndani unayapeleka ng'ambo kisa ufadhili na misaada. Please refrain this lobying behaviour that tarnishes everybody including yourself. The diplomatic mission have proper channels handle such issues of concern with the responsible state authority rather than posting everying on social media. The way the statement is structured it is evident that consulate is biased and has interests to seeing Tanzanian democracy becomes fragile as they do in the United States whereby the president is elected by the college votes as opposed to majority citizens decision. Tanzanians have to stop being used as mercenaries apparatus to advance the greedy tycoons with return of a daily consumption bread. Tanzania democracy does not necessarily require to be practised as they do in the America, it is structured compatible with African, values cultures and customs.
 
Wangesema tofauti na hayo ndo tungeshangaa.
 
#U.S.Embassy Statement on Tanzania's Election on 29th October 2020: Nyie wanasiasa uchwara mnamharibia huyo balozi. Hamtulii, mamboi ya ndani unayapeleka ng'ambo kisa ufadhili na misaada. Please refrain this lobying behaviour that tarnishes everybody including yourself. The diplomatic mission have proper channels handle such issues of concern with the responsible state authority rather than posting everying on social media. The way the statement is structured it is evident that consulate is biased and has interests to seeing Tanzanian democracy becomes fragile as they do in the United States whereby the president is elected by the college votes as opposed to majority citizens decision. Tanzanians have to stop being used as mercenaries apparatus to advance the greedy tycoons with return of a daily consumption bread. Tanzania democracy does not necessarily require to be practised as they do in the America, it is structured compatible with African, values cultures and customs.
Okay so actions agains humanity should be kept silent.
 
Hakuna lolote hapo ujinga mtupu. Matamko hayasaidiii kitu.
 
Ninavyoelewa sheria za kidiplomasia zinataka ofisi ya ubalozi kwenye nchi ilipo isiingilie mambo ya ndani ya nchi hiyo. Kwahiyo ili tamko halina athari zozote kwa uovu uliofanywa kutokuchukuliwa hatua. Tuwe na subira tulioumia kwani baada ya kama wiki tutaanza kujadili vitu tofauti hapa na tutaanza kutabasamu.
 
Okay so actions agains humanity should be kept silent.
#HumanRights: Madam, do you really understand what human rights is all about or you are just touting a foreign lyrics version like a nightngale bird? Stipulate which human right arcle clause that infiltrates the internatl affairs of the specified country and sovereign state including elections that is consititutionally documented? Let's discuss issues of national interests and not personal political affiliations that prejudice sensible facts.
 
Narudia tena ficha upumbavu wako, kwan nyie upinzani wakati wa kampeni nlikuwa mnaongea khs sera au kitu gani.? Kajipangeni tena, magufuli amewaoa tayari na mna mimba ya miezi 9

Mkuu nakusubiri ukaandamane kama mpumbavu mwenzako anavokuambia hlf tutakutana hospital baada ya virungu kutembea mwilini mwako
suala la mimba miezi 9 mbona hata Bi Mkubwa wako alibeba na kazaa poyoyo.
 
Back
Top Bottom