Uchaguzi 2020 Tamko la Ubalozi wa Marekani kuhusu uchaguzi Mkuu Tanzania 2020

Uchaguzi 2020 Tamko la Ubalozi wa Marekani kuhusu uchaguzi Mkuu Tanzania 2020

Dada yangu hili tamko na ushauri wake ndiyo imeshakula kwao walioshindwa uchaguzi.
 
Kama una akiba sasa hivi iweke . Vikwazo vya uchumi vikianza tutauza mpaka mabanda ya kuku.
 
Kama una akiba sasa hivi itineraries. Vikwazo vya uchumi vikianza tutauza mpaka mabanda ya kuku.
Watisheni maboya wenzenu vikwazo labda kwa mabwana zenu mlioshindwa kutimiza matakwa yao
 
Kilichoniacha mdomo wazi. Watu wanaendelea na shughuli zao kama hakuna kitu. Kwetu amepita diwani wa CDM na wengine wote wa CCM lakini mtaani hali ni shwari kabisaaa.
 
1603993311885.png

Your words still live Martin Luther King
 
hakujawahi kuwa na mapambano kwenye uchaguzi wa marekani. ficha upumbavu wako.
Wewe ndio ufiche upumbavu wako, kama hakuna mapambano bc usngesikia kuhusu facebook, Russia na wengineo kupanga matokeo.

Na sasa hv Obama nae ameingia kati khs uchaguzi.
 
Kilichoniacha mdomo wazi. Watu wanaendelea na shughuli zao kama hakuna kitu. Kwetu amepita diwani wa cdm na wengine wote wa ccm lakini mtaani hali ni shwari kabisaaa.
Watu wenye akili timamu na majukumu hawawez kuandamana kisa tumbo la mwanasiasa, aliyeshinda bc ameshinda kwa haki kilichobaki n kuchapa kazi tuu
 
Back
Top Bottom