Uchaguzi 2020 Tamko la Ubalozi wa Marekani kuhusu Uchaguzi Mkuu ujao Nchini Tanzania - Oktoba, 2020

Uchaguzi 2020 Tamko la Ubalozi wa Marekani kuhusu Uchaguzi Mkuu ujao Nchini Tanzania - Oktoba, 2020

Siyo kweli, kila Raisi wa USA ana policy zake kuhusu mahusiano ya USA na karibia kila nchi, isitoshe ukitaka kujua hiyo barua ni B.S. haipo kwenye website ya Ubalozi wa USA hapa Tanzania, na wenb



Raisi wa USA siyo Serikali ya USA?
Wewe unadhani Congress ni sawa na Bunge la Tanzania?
 
Mzigo mwingine huu mkuu.
Kumbe kuna mizigo imepatikana ndiyo maana haya mafuso imekuwa hadimu kuyapata ili kusafirishia mizigo.
 
Ni mpumbavu tu ambaye hajaenda shule,hajaelimika na hana kitu kichwanu ndiye anayeweza kuwasemea Watanzania kuwa wana imani na CCM.
Kama uliona hata milango ya darasa basi utagundua kuwa kuna "umoja" na "wingi", na pia bila ya takwimu,huna haki ya kuongea.
Jizungumzie wewe.
Mimi naichukia CCM na nitarudi huko kwa ajili ya kuikataa kwenye sanduku la kura 28/20/2020.
#kura yangu yahesabika.
Sasa kwa kuichukia kwako unataka kila mtu awe anaichukia?
Unajua maana ya kura?

Rais Magifuli atapata zaidi ya 79% huku Lisu akipata chini ya 20%
 
Hahaha Bosi wake mwenyewe D.Trump ameshakataa matokeo ya Uchaguzi ujao wa USA, huo muda wa kuhangaika na sisi ataupata wapi kama siyo fix hizo?



Kwa akili yako unadhani USA nayo huamuliwa Mambo yake na mtu mmoja tu kama ilivyo hapa jiwe kuamua kila kitu?
 
Katika mambo ya aina hii, hailazimu Trump awepo au asiwepo. Bado huelewi?
Wanahadithiwa hawa kuhusu Marekani, hawaijui vizuri. Wanafikiri anaitwa mbabe wa dunia kimasihara tu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Hahaha Bosi wake mwenyewe D.Trump ameshakataa matokeo ya Uchaguzi ujao wa USA, huo muda wa kuhangaika na sisi ataupata wapi kama siyo fix hizo?



Marekani Ni nchi inayoweza kupigana Vita vya Moto sehemu tano tofauti kwa Mara moja.
Sisi hatatupiga Bali atatukemea tu, inatosha.
 
Kwa akili yako unadhani USA nayo huamuliwa Mambo yake na mtu mmoja tu kama ilivyo hapa jiwe kuamua kila kitu?
Alafu anadai ana PhD Eti. Ningekuwa mzazi wake ningetumia hela zote za kumsomesha kujaza ngโ€™ombe na mbuzi kwenye boma langu kuliko kusomesha kilaza hii๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Sasa kwa kuichukia kwako unataka kila mtu awe anaichukia?
Unajua maana ya kura?

Rais Magifuli atapata zaidi ya 79% huku Lisu akipata chini ya 20%
Kwenye Magufuli weka Lissu na kwa Lissu weka Magufuli
 
CCM tunaweza kusema...!!
za mwizi.........
kifo cha nyani............
kil na lenye mwanzo...........
kila lenye sura............
Hakuna marefu.......
Kaka nimegundua katika Walaka huo,kuwa US Wana taarifa zote juu ya Uchaguzi huu,na zaidi Ni juu ya Jey Wii kuwa deployed kumsaidia Jiwe.
Tamko Lina nguvu Sana.
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Marekani ameshasema lolote baya litakalofanyika kwenye uchaguzi wa mwaka huu lazima liwe na matokeo kutoka kwake!!!๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Wenye akili na jicho la tatu tumeshaona, sijui wengine kama mmeshaona

Wale mliopanga kupiga mabomu watu, kubadiri matokeo ya uchaguzi, kuiba ushindi wa wagombea wengine, majibu yameshatoka, mwaka huu lazima kutakuwa na matokeo ya matendo yenu mabovu!!!

Cc.Mkuu wa TISS, IGP, CDF et all!!

Mwaka huu watanzania tusiudharau, tukapige kura kwa wingi na tulinde kura zetu

View attachment 1586980
Kweli wewe ni zuzu kabisa una shangilia nini sasa hapo? Wamesema hawamuungi mkono mgombea yeyote ila uchaguzi wa uhuru na haki. Sasa wewe unashangilia kitu gani. Nafikiri unamatatizo kwenye ubongo wako.
 
Kaka nimegundua katika Walaka huo,kuwa US Wana taarifa zote juu ya Uchaguzi huu,na zaidi Ni juu ya Jey Wii kuwa deployed kumsaidia Jiwe.
Tamko Lina nguvu Sana.
Yaani mna matatizo makubwa sana kwenye ubongo wenu mnategemea sana wazungu kushinda uchaguzi na wala si watz.
 
Yote haya wameyatafuata wenyewe, kulikuwa hakuna haja ya kuzuia mikutano ya kisiasa miaka yote 5, Vitendo vilivyojitokeza wakati wa Chaguzi ndogo zote, vitendo vilivyojitokeza wakati wa uchaguzi serikali za mitaa, na vitendo ya kukata wagombea wa upinzani pekee katika huu uchaguzi mkuu..... hivi ndiyo viashiria chanya vilivyofanya haya mataifa makubwa duniani yote yaukodolee macho uchaguzi huu.

Sasa mwenye kubisha kwamba Marekani ni tisha toto - haya na aibe kura sasa!!
Na mpaka hapo Jiwe na CCM wamekwisha nasa kwenye Net.
 
Ni matamko ya kawaida hayo na yanayotarajiwa. Nchi yetu ni huru, ina katiba, sheria na taratibu zake za kuchaguana na wala haitaji mwongozo kutoka Marekani ama nchi nyingine yoyote, na huu si uchaguzi wa kwanza kufanyika, kwamba hatuna uzoefu wa kuendesha chaguzi zetu.

Tena safari hii tunatumia fedha zetu za madafu kuchagua viongozi wetu kwa utashi na mapenzi yetu, na si kwa shinikizo la kibeberu! Ila ni bora wajiandae kisaikolojia kuwa wanayemtaka wao siye tunayemtaka sisi.
Libya,Iraq,Serbia, huko nako Wana katiba zao .
 
Yaani mna matatizo makubwa sana kwenye ubongo wenu mnategemea sana wazungu kushinda uchaguzi na wala si watz.
Uonevu baba uonevu.
Na
Wamesikika kuwa mmepanga kupindua matokeo,hivyo wameona waingilie Kati,hofu ya Nini Sasa,nyinyi si wababe? Sasa kaja mbabe zaidi fanyeni yenu Sasa.
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Marekani ameshasema lolote baya litakalofanyika kwenye uchaguzi wa mwaka huu lazima liwe na matokeo kutoka kwake!!!๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Wenye akili na jicho la tatu tumeshaona, sijui wengine kama mmeshaona

Wale mliopanga kupiga mabomu watu, kubadiri matokeo ya uchaguzi, kuiba ushindi wa wagombea wengine, majibu yameshatoka, mwaka huu lazima kutakuwa na matokeo ya matendo yenu mabovu!!!

Cc.Mkuu wa TISS, IGP, CDF et all!!

Mwaka huu watanzania tusiudharau, tukapige kura kwa wingi na tulinde kura zetu

View attachment 1586980
Yakwao yanawashinda
 
Na sisi tutatoa tamko letu kama Tanzania katika uchaguzi utakaoenda kufanyika Marekani hivi karibu
Mtatoa Kama hivi" sisi Tanzania hatuna upande wowote,tunaomba yeyote atakaeshinda asitusahau katika misaada,na mikopo yenye riba nafuu."
Tunawatakia Uchaguzi mwema."
 
Back
Top Bottom