Tamko la waumini wanaopinga Parokia ya Kawe kuendeshwa kinyume cha taratibu za Kanisa Katoliki

Jimbo kuu la Dar es salaam Lina Parokia zaidi ya 75. Hiyo Ni Parokia Moja tu.
Ni kama 117 hivi achilia mbali parokia teule! Tunawasubiri hao Msimbazi tarehe 23Novemba,2019 tuone wao watakuwa na madhara gani katika kulitegemeza kanisa
 
Katoliki kila kitu kinauzwa ndoa inauzwa lazima utoe pesa,mazishi Yanauzwa lazima utoe pesa nk makanisa mengine hizo huduma haziuzwi
 
Acha dhambi zenu zifichuliwe hadharani!

Ati kitubio!
 
Mama Amon, sidhani kama kulikuwa na haja ya kuweka hapa hili swala cz mmeshalifikisha pahala husika.

Mmlichokifanya ni kumuaibisha kiongozi wenu wa kiroho.
Ametaka kuaibishwa!

Zama za kufuga wanafiki zinaanza kwisha sasa!
Awe safi au atoke!
Madhabahu zinachafuliwa sana .. ..
 


Mambo ya kusali chini ya bunduki yalianzia kwa waprotestant na sasa yanapanda kwenda Vatcan, hii ni aibu kwetu wakristo, tujiulize je tumeshindwa kuutumia ulinzi wa Kristo ambao ni mkubwa Zaidi mpaka tukatumie polisi? Je tukishindwa kulindwa na polisi si tutaanza kulindwa na waganga wa kienyeji?
 

Kuna mashirika yapo very straight kwa Mapadri wao. Padri anakiuka taratibu wanamuondoa. Waamini wapo siku zote hapo Kawe haiwezekani wawe na tatizo na Padri huyu tu wa sasa.

Parokia niliyopo sasa tulikuwa na tatizo la Paroko kuenda kinyume na taratibu, tuliwasilisha malalamiko kwa shirika lake likachunguza fasta akaondolewa, sasa hivi wameleta Mzungu mambo yanaenda Safi kabisa. Hatuna simile na Padri anayeturudisha nyuma.

Huyu Padri anaonekana anawakwaza waamini kwa tabia zake kutoa maungamo ya mtu, kudokoa sadaka n.k mpaka waumini wamefikia hatua ya kumuanika basi washavumilia sana.
 
Kwa kashfa hizo huyo Padre Atakuwa ashachepuka na waamuni wa kike hapo??

Ova
Ulikuwa unaitafuta hii point ya kuchepuka umeikosa!! Pole, na usilazimishe tuhuma!

Ushauri Kwa waumini: Hameni parokia abaki peke yake ale Vumbi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…