Tamthilia ya Othman ya Azam TV, lengo lenu ni kuudhalilisha Ukristo. Itoeni mara moja

Tamthilia ya Othman ya Azam TV, lengo lenu ni kuudhalilisha Ukristo. Itoeni mara moja

Ni wazi lengo lao ni kuudunisha Ukristo lakini hawataweza,kwanza mimi pamoja na kuwa sio mfuatiliaji wa historia ila sijawahi sikia himaya ya ottoman ila himaya ya rumi ni maarufu na ilitikisa dunia nzima, lakini tofauti na propaganda zinazofanywa na azam tv kutuaminisha ottoman na uislam ni bora kuliko wengine.
Rudi shule wewe, Kama haujui himaya ya ottoman basi uliishia darasa la saba B.

Hiyo ni historia ya kweli kasome na wala sio mambo ya kufikirika kama unavofikiria..yaani unaijua himaya ya rumi ila ya ottoman huijui!! Acha kukaza ubongo

Unaonekana mdini sana ww yaan ni mtumwa wa kidini sana utafikiri yesu ni mngoni au mmakonde.
 
kama unajitambua usingejiita Kavinsky
Hata wewe ungekuwa unajitambua usingeleta udini kwenye mambo serious.

Imagine wangekuwa wanafanyiwa waislam hayo mambo mngefurahi?

Kuna watu pamoja na ukongwe wenu humu jf ila akili tunafanana. Bora ungekaa kimya tu kujitunzia heshima yako.
 
kuku baba yako,
wapi nimeonesha udini hapo?
Kama haujaonesha udini unalalamika nn kuhusu hiyo tamthilia !! Ww ni kuku tu

Hiyo ni historia ya kweli na ipo kwenye mtaala wetu basi tuifute. Acha kukaza fuvu kipumbavu unawaza udini [emoji867]
 
Hili nililiona zamani sana.

Na hawa nduguzangu huwa wanapenda sana ushindani.

Na kulazimisha watu Dini yao ni ya Haki.

Kwamba tunapaswa kujifunza elimu ya Majini.
 
Kama haujaonesha udini unalalamika nn kuhusu hiyo tamthilia !! Ww ni kuku tu

Hiyo ni historia ya kweli na ipo kwenye mtaala wetu basi tuifute. Acha kukaza fuvu kipumbavu unawaza udini [emoji867]
Kuku baba yako,

Unaonekana kutumia akili yako huru bila influence ya dini lakini hilo halijakusaidia.

Huwezi kuneglet influence ya dini katika taifa hili hata kama hutaki. Unadhani utafuta hilo kwa kunitukana mimi humu?

Wanaoamini ni lazima waheshimiane ili amani na utulivu vidumu. Walishindwa vipi kuonesha maudhui ambayo ni neutral bila kukashifu dini za watu?
 
ndugu zangu musifike huko dini zililetwa tu hizi wote sisi watanzania ila ottman empire ni historia ya kweli na sec tulisoma na ata ukiigoogle unaipata yote kama unayoiona kwenye tv na hawa jamaa walitawala dunia yote mpaka ulaya na afrika na ndo waturuki wa leo ilisambaratishwa baada ya kuwa upande wa walioshidwa kwenye vita kuu ya kwanza
 
hata wewe ungekuwa unajitambua usingeleta udini kwenye mambo serious.
imagine wangekuwa wanafanyiwa waislam hayo mambo mngefurahi?
kuna watu pamoja na ukongwe wenu humu jf ila akili tunafanana. Bora ungekaa kimya tu kujitunzia heshima yako.
Mimi najitambua sana ndiyo mana hujawahi kuona nimetukana au kukashifu mtu kwa dini yake au maoni yake tafauti na ya kwangu. Sifanani na wala sitafanana akili na watu kama nyinyi.

Ungekuwa na akili au angalau ungekuwa unajifunza vitu kwenye mitandao ungejua kama ile ni historia na yale yalitokea miaka siyo chini ya 600 nyuma, sasa wewe unaumia leo wakati ile ni historia? Ulitaka waseme uongo? Ujue zile series zinaangaliwa dunia nzima hata huko kwa mabosi wa dini yenu. Kama una uthibitisho kuwa facts haziko sawa lete ushahidi.

Furthermore, ulitaka mimi nilalamike ati kuna series zinazoonyesha Roman Empire wanaeneza christianity huko Arabia miaka elfu mbili nyuma? Au Gengis Khan amepigana na Waislamu na akawashinda? Kha!
 
Tamthilia ya Othman ni tamthilia ya Uturuki ambayo hapa nyumani inaoneshwa na Azam Media. Maudhui ya tamathilia hiyo kuwa Dini ya othman (Uislamu) ni dini bora kuliko dini ya Wakristo (waroma)...
Hiyo ni historia tu. Sasa isiposimuliwa ndiyo itabadilika na kuwa haikua?
 
Wabongo wanavyo wapenda waaraBu kama wenyewe waarabu wanataka vile.........ni aibu
 
Tamthilia ya Othman ni tamthilia ya Uturuki ambayo hapa nyumani inaoneshwa na Azam Media. Maudhui ya tamathilia hiyo kuwa Dini ya othman (Uislamu) ni dini bora kuliko dini ya Wakristo (waroma)...
Jambo lolote lisilo na mashiko kwako achana nalo.

Udini Tanzania ni propaganda za politicians

Sisi tunamini uchawi
 
Ni kweli mie AZam ni ya wapunguani Fulani yenyewe ni ya bei ghali kama nini mie nipo Startimes na wenye buda Ndio yakwao.

Dstv Wala siipendi haina mvuto ukija Startimes wanaheshimu dini zote nawamipaka sio hao vitimbi vya wali warangii mxiuu kama kwenye kila kitu haajiri mkristo Wala mchina Wala mbanyiani ni waislam wao tu na kila mahali ya masehemu yake Yana misikitiko.

Siwazi yote maisha bhana kama xmass hawaonyeshi hawaweki hadi iishee basi
 
Tamthilia ya Othman ni tamthilia ya Uturuki ambayo hapa nyumani inaoneshwa na Azam Media. Maudhui ya tamathilia hiyo kuwa Dini ya othman (Uislamu) ni dini bora kuliko dini ya Wakristo (waroma)....
Hivi ww uliyeandika huu uzi una akili lakini!??, Kama unaona wanaonyesha maudhui ambayo hayakufai umelazimishwa?

Wewe Kama hupendezwi nayo acha.. kuna channel nyingi humo kwann ung'ang'anie hapo ambapo unaona unakereka?

Hiyo ni yakwake sio yaserikali sasa unampangiaje mtu akuonyeshe yanayokupendeze wewe tu!?? Huenda hizo anazozionyesh ndo zinapendwa na wengi wa watej wake.

Au ukitaka kumkomoa we anzisha kisimbuzi chakwako au channel yako weka Yale unayoyataka wewe.. sio unaleta malalamiko ambayo hayana mashiko hapa.. yaan umeacha kuangalia tamthilia unatafuta vyakukosoa.
 
Wakikusikia utasikia ...

"Hama kwani nani kakulazimisha kununua Azam"...
Umefanya vizuri kiongozi.. na usiwe unamuonyesha na zile movie za mazombie asije akazombika huyooo! Alafu kuna zile zakizungu ukiwa unaangalia namwanao remote uwe na mkononi ukiona wanaingia kitandani fasta badilisha channel asije akajaribia atakayoyaon humo
 
Hatuwezi kupuuza upuuzi huu..waache udini
Ndugu ni ya bakharesa ile sio taasisi ya serikali uelewe!? Hata akitaka kufanya iwe yadini ni yake.. wewe hujachangia chochote na Wala Hana ubia na serikali.. wewe wa wapi kwani!?

Wakati unanunua alikuambia vyakuonyesha kwenye channel zake humo? Umaskini mbaya saan yaani ameng'ang'ania udini udini.. udini ndo Nini kwani
 
Mimi najitambua sana ndiyo mana hujawahi kuona nimetukana au aa watu kama nyinyi...

Umejiunga jf tangu 2009 mkubwa wewe. nadhani unatambua ushawishi mkubwa wa dini yoyote katika jamii yoyote wanayoiamini.

Historia ya hao waturuki inatusaidia nini sisi? Kuna ulazima gani wa kutupa hiyo historia Kama inaleta ukakasi kwa jamii yetu?

Unadhani ni kwa nini inalalamikiwa tamthilia hiyo tu?

Tunategemea nyie wakubwa muelimishe vijana humu lakini na nyie mnachochea kwa kuweka mahaba kwa dini zenu.

Hujui madhara yake katika jamii hili suala?
 
Back
Top Bottom