Tamthilia ya Othman ya Azam TV, lengo lenu ni kuudhalilisha Ukristo. Itoeni mara moja

Kwani ni lazima uangalie
 
Hahahahaha

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Nyie si mnasema WAISLAM ni wachache sasa huo wingi mnautoa wapi?

Tutawaendesha mpaka mkome mbuzi nyie, sasa tunapanga kuwalisha Haluwaaa
Mbona avatar yako Kuna picha ya mgalatia..au Jiwe Ni miongoni mwa mikakati yenu kuwaendesha wakristo ?
 
Mtoto anaeweza kufanya hivyo kikweli lazima atakuwa ni mtoto wa ZINAA.

Hio ni Tamthilia. Km ile ya yule mzungu aliye act kama Yesu.
Akapigwa misumari na kuchomwa mkuki Tumboni akiwa msalabani.
Sasa wangapi ulisikia hapa Tanzania wamepiga watu misumari msalabani wakawachoma na mikuki ya TUMBONI?

ACHENI CHUKI ZA KIJINGA.

Mnachukia mpk Tamthilia? Nyie watu Chuki dhidi ya waislamu itawaletea magonjwa ya moyo.
 
YESU AKBAR YESUUU AKBAAAAARRRRR
 
Shida ya wagatia ndo hiyo,hata ukisema wazee wa kiislam wameshirik Kwa kias kikubwa kupigania uhuru wa nchi hii wao wanakuja na matusi na kusema nyinyi ni wadini,sasa sijui wanataka iweje
 

Ha ha ha

Dr hawa Wala kiti moto Wana shida sana,

Kumbe hata kusoma the rise and fall of othoman empire hawajasoma.?

Huo ndo uhalisia ulivyokawa kama vile wao wanavyo act na Ile sinema ya yule mzungu alievishwa pensi na kupigwa bakora na misumari,waupokee tuh huo uhalisia hata kama ni mchungu
 
Acha uzwazwa mleta mada.
Hiyo tamthilia haioneshi maudhui ya kidini ila inaonesha misingi ya himaya ya Roma, byzantine na Ottoman ambapo zote zilijengwa Kwa misingi ya dini ya kiislam na kikristo.
PAMOJA NA HIMAYA YA GENGHIS KHAN YA MONGOLIA.
KAMA WANGEKUA WA KULALAMIKA NI WAMONGOLIA AMBAO MULE NDANI WAMEONESHWA KUWA WATU MAKATILI,WACHAWI NA MAJAMBAZI.
UDINI UTAWAISHA LINI NYIE WAKRISTO!?!?
ZILE MOVIE ZINAZOONESHWA WAISLAM MAGAIDI WAKIULIWA NA JESHI LA KIMAREKANI MBONA HAMZIZUNGUMZII.
ACHA UZWAZWA NA UDINI USIO NA MAANA .

NA KWA BAHATI MBAYA YENU ERTUGRUL NA HIYO OTTOMAN ZOTE ULIMWENGUNI ZINAWAVUTIA MPAKA WAKRISTO NA ZINA WATAZAMAJI WENGI ULIMWENGUNI.
 
H
Dr kahtaan naona unampa mtu hapa kati chembe kidevu teh teh teh!!!
 
We KWELI HUJAENDA SHULE.
KATIKA HIMAYA ZILIZOTAWALA MUDA MREFU NI OTTOMAN EMPIRE.
HIYO ILITAWALA TOKA ENZI TECHNOLOGY HAIJAKUA MPK TECHNOLOGY IMEKUA MPK VITA YA KWANZA YA DUNIA 1914-1918 INATOKEA OTTOMAN EMPIRE ILITAWALA MPK BAADHI YA MATAIFA YA ULAYA(BOSNIA,ALBANIA N.K).
 
Endelea kuwarusha kimasai tu mpaka waombe poo ๐Ÿ˜†
 
Acha uongo na uzandiki wewe.
Hakuna mtu anaelazimishwa kusalimia kiislam Azam group.
WAISLAM na WAKRISTO wanapewa haki sawa ktk makampuni ya Azam.
Kuna kipindi waliwahi kuzungumzia ujio wa papa wa Italiano UTV mbona hawakukatazwa na walifanya kipindi mpk kikaisha.!?
 
Watu dhaifu duniani hujadili vitu kwa oja dhaifu sana. kwenye remote kuna hizi button next na preview. tafuta kazi yake.
 
Umetereza bro mpk 1700 roman empire haikuwa na nguvu na Ottoman empire ilianza kuvunjika vita ya kwanza ya Dunia waarabu wenyewe wakiwa washiriki km Saudia,Bahrain,Syria n.k.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ