Tamthilia ya Othman ya Azam TV, lengo lenu ni kuudhalilisha Ukristo. Itoeni mara moja

Tamthilia ya Othman ya Azam TV, lengo lenu ni kuudhalilisha Ukristo. Itoeni mara moja

Tamthilia ya Othman ni tamthilia ya Uturuki ambayo hapa nyumani inaoneshwa na Azam Media. Maudhui ya tamathilia hiyo kuwa Dini ya othman (Uislamu) ni dini bora kuliko dini ya Wakristo (waroma).

Kwenye filamu hiyo utaona kuna mapigano baina ya Waislamu (Othman) na Wakiristo (Waroma)! Mapigano ni kwa ajili ya kusimika dini ya Uislamu na kila pambano wanashinda Waislamu dhidi ya Wakristo, na wakishinda utasikia Mungu mkubwa, Mungu mkubwa, Allah mkubwa.

Na wanaopigwa wanavaa nguo zimeandikwa Roma, na wanavaa misalaba na chanzo za ugomvi ni dini. Na hii siyo mara ya kwanza na kama unawafatilia hata hivi tamthilia Wanazozitafsiri lazma wasema Assalam Aleikum au Allah. Unakuta filamu ya Kifilipino au kizungu lazima wanao tafsiri waweke maneno ya Kiislamu.

Je, huu ni mkakati wenu Azam kuutukana ukiristo. Azam acheni propaganda za kidini, mnaharibu hiki kizazi. Hata kazi za watangazaji 'Hapo Azam asilimia 80 ni Waislamu, Km Bakhresa unapenda Uislam nenda kawekeze Uarabuni. Waislamu acheni ubaguzi nyie.
Kwani ni lazima uangalie
 
Wakikusikia utasikia,

"Hama kwani nani kakulazimisha kununua Azam".

Mimi baada ya kumuona mwanangu anajifunza kushika mapanga na kujisifia anakula vichwa kama osman anashushia na lugha za kiarabu hata sizielewi...siku hizi silipii kifurushi.

Maana leo Osman anakula vichwa vya waroma kesho huyu mtoto atatafuta wa kujaribishia..[emoji26][emoji26][emoji26]
Hahahahaha

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Nyie si mnasema WAISLAM ni wachache sasa huo wingi mnautoa wapi?

Tutawaendesha mpaka mkome mbuzi nyie, sasa tunapanga kuwalisha Haluwaaa
Mbona avatar yako Kuna picha ya mgalatia..au Jiwe Ni miongoni mwa mikakati yenu kuwaendesha wakristo ?
 
Wakikusikia utasikia,

"Hama kwani nani kakulazimisha kununua Azam".

Mimi baada ya kumuona mwanangu anajifunza kushika mapanga na kujisifia anakula vichwa kama osman anashushia na lugha za kiarabu hata sizielewi...siku hizi silipii kifurushi.

Maana leo Osman anakula vichwa vya waroma kesho huyu mtoto atatafuta wa kujaribishia..😥😥😥
Mtoto anaeweza kufanya hivyo kikweli lazima atakuwa ni mtoto wa ZINAA.

Hio ni Tamthilia. Km ile ya yule mzungu aliye act kama Yesu.
Akapigwa misumari na kuchomwa mkuki Tumboni akiwa msalabani.
Sasa wangapi ulisikia hapa Tanzania wamepiga watu misumari msalabani wakawachoma na mikuki ya TUMBONI?

ACHENI CHUKI ZA KIJINGA.

Mnachukia mpk Tamthilia? Nyie watu Chuki dhidi ya waislamu itawaletea magonjwa ya moyo.
 
Mtoto anaeweza kufanya hivyo kikweli lazima atakuwa ni mtoto wa ZINAA.

Hio ni Tamthilia. Km ile ya yule mzungu aliye act kama Yesu.
Akapigwa misumari na kuchomwa mkuki Tumboni akiwa msalabani.
Sasa wangapi ulisikia hapa Tanzania wamepiga watu misumari msalabani wakawachoma na mikuki ya TUMBONI?

ACHENI CHUKI ZA KIJINGA.

Mnachukia mpk Tamthilia? Nyie watu Chuki dhidi ya waislamu itawaletea magonjwa ya moyo.
YESU AKBAR YESUUU AKBAAAAARRRRR
 
Shida ya wagatia ndo hiyo,hata ukisema wazee wa kiislam wameshirik Kwa kias kikubwa kupigania uhuru wa nchi hii wao wanakuja na matusi na kusema nyinyi ni wadini,sasa sijui wanataka iweje
 
Mtoto anaeweza kufanya hivyo kikweli lazima atakuwa ni mtoto wa ZINAA.

Hio ni Tamthilia. Km ile ya yule mzungu aliye act kama Yesu.
Akapigwa misumari na kuchomwa mkuki Tumboni akiwa msalabani.
Sasa wangapi ulisikia hapa Tanzania wamepiga watu misumari msalabani wakawachoma na mikuki ya TUMBONI?

ACHENI CHUKI ZA KIJINGA.

Mnachukia mpk Tamthilia? Nyie watu Chuki dhidi ya waislamu itawaletea magonjwa ya moyo.

Ha ha ha

Dr hawa Wala kiti moto Wana shida sana,

Kumbe hata kusoma the rise and fall of othoman empire hawajasoma.?

Huo ndo uhalisia ulivyokawa kama vile wao wanavyo act na Ile sinema ya yule mzungu alievishwa pensi na kupigwa bakora na misumari,waupokee tuh huo uhalisia hata kama ni mchungu
 
YESU AKBAR YESUUU AKBAAAAARRRRR
Kavunjwa mguu na mlevi
Screenshot_20230226-160144_Twitter.jpg
 
Tamthilia ya Othman ni tamthilia ya Uturuki ambayo hapa nyumani inaoneshwa na Azam Media. Maudhui ya tamathilia hiyo kuwa Dini ya othman (Uislamu) ni dini bora kuliko dini ya Wakristo (waroma).

Kwenye filamu hiyo utaona kuna mapigano baina ya Waislamu (Othman) na Wakiristo (Waroma)! Mapigano ni kwa ajili ya kusimika dini ya Uislamu na kila pambano wanashinda Waislamu dhidi ya Wakristo, na wakishinda utasikia Mungu mkubwa, Mungu mkubwa, Allah mkubwa.

Na wanaopigwa wanavaa nguo zimeandikwa Roma, na wanavaa misalaba na chanzo za ugomvi ni dini. Na hii siyo mara ya kwanza na kama unawafatilia hata hivi tamthilia Wanazozitafsiri lazma wasema Assalam Aleikum au Allah. Unakuta filamu ya Kifilipino au kizungu lazima wanao tafsiri waweke maneno ya Kiislamu.

Je, huu ni mkakati wenu Azam kuutukana ukiristo. Azam acheni propaganda za kidini, mnaharibu hiki kizazi. Hata kazi za watangazaji 'Hapo Azam asilimia 80 ni Waislamu, Km Bakhresa unapenda Uislam nenda kawekeze Uarabuni. Waislamu acheni ubaguzi nyie.
Acha uzwazwa mleta mada.
Hiyo tamthilia haioneshi maudhui ya kidini ila inaonesha misingi ya himaya ya Roma, byzantine na Ottoman ambapo zote zilijengwa Kwa misingi ya dini ya kiislam na kikristo.
PAMOJA NA HIMAYA YA GENGHIS KHAN YA MONGOLIA.
KAMA WANGEKUA WA KULALAMIKA NI WAMONGOLIA AMBAO MULE NDANI WAMEONESHWA KUWA WATU MAKATILI,WACHAWI NA MAJAMBAZI.
UDINI UTAWAISHA LINI NYIE WAKRISTO!?!?
ZILE MOVIE ZINAZOONESHWA WAISLAM MAGAIDI WAKIULIWA NA JESHI LA KIMAREKANI MBONA HAMZIZUNGUMZII.
ACHA UZWAZWA NA UDINI USIO NA MAANA .

NA KWA BAHATI MBAYA YENU ERTUGRUL NA HIYO OTTOMAN ZOTE ULIMWENGUNI ZINAWAVUTIA MPAKA WAKRISTO NA ZINA WATAZAMAJI WENGI ULIMWENGUNI.
 
H
HIO Tamthilia ni HISTORY YA KWELI na sio maigizo tu ya kutafuta pesa

Na kawaida ya Historia za kweli zote huwa zinachoma choma manake zinagusa wale wasio na elimu.

Iko moja inakuja inaitwa "THE CRUSADE " Ya wale wakristo waliua waislamu kule Israel wakala nyama za watoto kwa kutumia jina la Yesu.

Hio ikianza labda utavunja hio TV yako.
Usipende kulalamika bila kufahamu unacho lalamikia

Soma historia ya THE OTTOMAN EMPIRE uone je AZAM anaonyesha Tamthilia ya uongo au NI KWELI TUPU?
Dr kahtaan naona unampa mtu hapa kati chembe kidevu teh teh teh!!!
 
Ni wazi lengo lao ni kuudunisha Ukristo lakini hawataweza, kwanza mimi pamoja na kuwa sio mfuatiliaji wa historia ila sijawahi sikia himaya ya ottoman ila himaya ya rumi ni maarufu na ilitikisa dunia nzima, lakini tofauti na propaganda zinazofanywa na azam tv kutuaminisha ottoman na uislam ni bora kuliko wengine.
We KWELI HUJAENDA SHULE.
KATIKA HIMAYA ZILIZOTAWALA MUDA MREFU NI OTTOMAN EMPIRE.
HIYO ILITAWALA TOKA ENZI TECHNOLOGY HAIJAKUA MPK TECHNOLOGY IMEKUA MPK VITA YA KWANZA YA DUNIA 1914-1918 INATOKEA OTTOMAN EMPIRE ILITAWALA MPK BAADHI YA MATAIFA YA ULAYA(BOSNIA,ALBANIA N.K).
 
Mtoto anaeweza kufanya hivyo kikweli lazima atakuwa ni mtoto wa ZINAA.

Hio ni Tamthilia. Km ile ya yule mzungu aliye act kama Yesu.
Akapigwa misumari na kuchomwa mkuki Tumboni akiwa msalabani.
Sasa wangapi ulisikia hapa Tanzania wamepiga watu misumari msalabani wakawachoma na mikuki ya TUMBONI?

ACHENI CHUKI ZA KIJINGA.

Mnachukia mpk Tamthilia? Nyie watu Chuki dhidi ya waislamu itawaletea magonjwa ya moyo.
Endelea kuwarusha kimasai tu mpaka waombe poo 😆
 
Wewe ndio hulewi. Hatukatai ni historia na ilitokea kweli. Kama zilivyo tamthilia nyingine nyingi tu zenye kuelezea historia based on true stories kama 300 sparta nk.

Hoja ni why azam ambao wamekuwa wakilalamikiwa kuhusu udini kwenye ajira bado maudhui ya vipondi vyao vingi vinaelement za udini? Kwenye makorido ya azam usiposamilia :salamaleko" itakugharim.

Kuna tamthilia maelfu za kituruki zipo neutral kama ezel nani uliona anailalamikia. Aanzishe chanel ya kidini ndio awe free kuweka mambo ya kidini huko hataulizwa
Acha uongo na uzandiki wewe.
Hakuna mtu anaelazimishwa kusalimia kiislam Azam group.
WAISLAM na WAKRISTO wanapewa haki sawa ktk makampuni ya Azam.
Kuna kipindi waliwahi kuzungumzia ujio wa papa wa Italiano UTV mbona hawakukatazwa na walifanya kipindi mpk kikaisha.!?
 
Watu dhaifu duniani hujadili vitu kwa oja dhaifu sana. kwenye remote kuna hizi button next na preview. tafuta kazi yake.
 
Sasa wewe uelewa huna wa historia unakasirikia historia jamani..
Kile unachokiona ndio ottoman empire ya kituruki ikasambaa hadi ulaya ndio chanzo cha mataifabkàma Spain kuwa na watu wa asili ya uarabu uarabu hivi..

Hiyo ni historia tu kama roman empire and the like..

Sema waigizaji wake wanaweka bwebwe kama hawakuwahi kushindwa ila walikuja wakaangushwa na roman empire miaka ya 1700s.
Umetereza bro mpk 1700 roman empire haikuwa na nguvu na Ottoman empire ilianza kuvunjika vita ya kwanza ya Dunia waarabu wenyewe wakiwa washiriki km Saudia,Bahrain,Syria n.k.
 
Back
Top Bottom