Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manav VajpayeeView attachment 2568870
Nachakiona Ombeni watakuwa wapenzii na Mwazani
Na Chabala anaenda kujizolea ujiko kwa TausiNachakiona Ombeni watakuwa wapenzii na Mwazani
Hapana,sidhaniKumbe alienda na dawa jamani kwa hiyo omben alipiga usiku ule eti [emoji23][emoji23][emoji23]
AhhahahahaHapana,sidhani
Alizidiwa na homa akawa kama amepoteza fahamu
Bi Ubwa amejua kumchamba Mauja😂😂😂😂Ahhahahaha
Bi Ubwa amejua kumchamba Mauja😂😂😂😂
Eti nywele zake kama amevaa Pamba🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂Anamwachaje kwa mfano[emoji23][emoji23]
Ila pale Mauja alikosea aiseeEti leo kila mtu kavurugwa humi
Eti gat tumebaki mi na wewe tu bi ubwa single mama
,biubwa akamuambia mwenzio nishatoa nuksi kuolewa nishaolewa kuzaa nishazaa
Umeona Jeraha Yule dada anaitwa sijui nani Ismail anajua kuigiza yule dada uliona alivyomkimbioia mwanae aisipigwe na raia kisa kaiba walletBi Ubwa amejua kumchamba Mauja😂😂😂😂
Eti nywele zake kama amevaa Pamba🤣🤣🤣🤣🤣
Bi ubwa alifanya vizuri kumchambaIla pale Mauja alikosea aisee
Huwezi Anza peleka mihasira Yako kwa wait na kuanza kuwasukuma wakati umeanzisha mwenyewe kuongea kwa nguvu.
Hata ningekuwa mm ningemchamba.
Mariam Ismail.Umeona Jeraha Yule dada anaitwa sijui nani Ismail anajua kuigiza yule dada uliona alivyomkimbioia mwanae aisipigwe na raia kisa kaiba wallet
Hakuna mtu hana stress maishani..Mapenzi Mkuuu
KabisaBi ubwa alifanya vizuri kumchamba
Ndio umbo lake ana nyonyo angenigawia hata mim kidogoMariam Ismail.
Sema amekongoroka sana aisee,, sjui ndio kuzaa
Amekuwa kama mzee
SidhaniIla Tausi anampenda Chabala