Tamthilia ya Zahanati Kijijini

Tamthilia ya Zahanati Kijijini

Bi Ubwa amejua kumchamba Mauja😂😂😂😂
Eti nywele zake kama amevaa Pamba🤣🤣🤣🤣🤣

Eti leo kila mtu kavurugwa humi
Eti gat tumebaki mi na wewe tu bi ubwa single mama
,biubwa akamuambia mwenzio nishatoa nuksi kuolewa nishaolewa kuzaa nishazaa
 
Eti leo kila mtu kavurugwa humi
Eti gat tumebaki mi na wewe tu bi ubwa single mama
,biubwa akamuambia mwenzio nishatoa nuksi kuolewa nishaolewa kuzaa nishazaa
Ila pale Mauja alikosea aisee
Huwezi Anza peleka mihasira Yako kwa wait na kuanza kuwasukuma wakati umeanzisha mwenyewe kuongea kwa nguvu.

Hata ningekuwa mm ningemchamba.
 
Bi Ubwa amejua kumchamba Mauja😂😂😂😂
Eti nywele zake kama amevaa Pamba🤣🤣🤣🤣🤣
Umeona Jeraha Yule dada anaitwa sijui nani Ismail anajua kuigiza yule dada uliona alivyomkimbioia mwanae aisipigwe na raia kisa kaiba wallet
 
Back
Top Bottom