Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili kubwa[emoji1540]Hiyo ya kuongozwa na boda kupita shamba ni hatari mno tena mida mibovu.
Ungekuwa ni mtego wa uhalifu hapo mngeporwa kila kitu.
Siku niliyolipanda Champion, nilishukia Chalinze. Yaani basi halina breki🙄champion abiria wanapanda hadi na mbuzi, kuku na wanakaa nao kwenye siti, katikati ya safari mbuzi anakuhemea unazimia kwa harufu ya mdomo. Kuna mabasi sipandi bora nisisafiri ikiwepo hiyo champion.
Mabasi mengi uswahili mwingi nilipanda basi ya esther luxury ya mheshimiwa wa fedha from dom to dar linalotoka singida, utaratibu wao nao ni wahovyo wanaokota abiria barabarani na basi lishajaa hali iliyopelekea mizozano kati ya wahudumu na abiria. Bado makampuni mengi yana cha kujifunza kwa SHABIBY na KLM, wapo vizuri mno na wanakwenda na mda.
Ulishukaje mkuu na halina breki au ndio uliruka?Siku niliyolipanda Champion, nilishukia Chalinze. Yaani basi halina breki🙄
Kwamba basi kama😂😂😂Niliwahi kupanda bus Moja la kuitwa champion from dar- dodoma aise yaani utazani mnasafirisha msiba wa shoga, gari lipo kimya halina mzik, tv wala huduma yoyote na vioo vya Gari vipo wazi havifungi,. Usiombee ukae dirishani unaweza kudhani unaendeshwa bodaboda.. ila sikulalamika coz haya magari ni bei rahis San ndio maana huduma mbovu na mara nyingi Huwa yanaondoka mchana kuzoa abiria walio sahaulika.
NB. Ukiona bus Lina mafundi zaidi ya watatu usipande achana nalo.
Ilisimamia gia nikashuka aiseeUlishukaje mkuu na halina breki au ndio uliruka?
Huyu sio mwingine bali ni Challamila sio Rehema Challamila Ray C ila ni Challamila hivyo hivyo yule mkuu wa Mkoa anaepambana na wadangaji jijini Dasalamasafari ya kulitafuta jiji la Mkuu wa Mkoa mwenye Maneno mengi, mropokaji na mcheshi ilianza.
Wana ki-gereji chao bubu maeneo ya area c mbele ya town campus ya chuo cha hombolo, fika pale ujionee yanavyopigwa nyundo na mafundi mchundo, halafu cha ajabu wale mabwana kuanzia madereva, wahudumu wa mabasi,wakata tiketi mpaka hawa mafundi wote ni kabila moja WARANGI ukifika pale ni mwendo wa kutafuna mirungi na kuongea kilugha chaochampion alichelewa kufanya transfomation ni kama nokia, wakati serikali inahamia dodoma alipaswa aboreshe huduma zake na kutafuta mabasi yenye hali nzuri angepiga hela sana tatizo lake anapenda magonga nyundo, basi zimechoka zimechakaa. Machame inv alishtuka na mafanikio yanaonekana.
[emoji1787]Ulishukaje mkuu na halina breki au ndio uliruka?
😂[emoji1787]
Na huo ukabila pia umechangia pakubwa kuwa hivyo walivyo.Wana ki-gereji chao bubu maeneo ya area c mbele ya town campus ya chuo cha hombolo, fika pale ujionee yanavyopigwa nyundo na mafundi mchundo, halafu cha ajabu wale mabwana kuanzia madereva, wahudumu wa mabasi,wakata tiketi mpaka hawa mafundi wote ni kabila moja WARANGI ukifika pale ni mwendo wa kutafuna mirungi na kuongea kilugha chao