TANESCO hali mbaya, Serikali yasuasua kununua mita na nyaya za kuunganishia umeme

TANESCO hali mbaya, Serikali yasuasua kununua mita na nyaya za kuunganishia umeme

Yani kwa kweli hii nchi ngumu kuna kijiji kinaitwa welamasonga ni jirani na Kisesa (MWANZA) kuna zahanati ya Kijiji tena ni zahanati ya serikali haina Umeme.Ukiangali mahali ambapo nguzo za Tanesco zimeishia mpaka kufika kwenye iyo zahanati ni kama nguzo tatu an nne tu mimi najiuliza ivi Tanesco hawaoni umuhimu wa kuweka Umeme kwenye iyo Zahana? Tanesco lini watabadilika? Na sio zahanati tu bali kijiji kizima hakina umeme na Nguzo zilipoishia ni jirani tu na Kijiji yani nguzo nne umeme mpaka kijijini, kwanini ma Meneja wa Wilaya na Mikoa wasiwe wanatembea kuangalia namna wanaweza kuwasaidia wananchi,Umeme ni muhimu sana kwenye kuleta maendeleo.
 
Yani kwa kweli hii nchi ngumu kuna kijiji kinaitwa welamasonga ni jirani na Kisesa (MWANZA) kuna zahanati ya Kijiji tena ni zahanati ya serikali haina Umeme.Ukiangali mahali ambapo nguzo za Tanesco zimeishia mpaka kufika kwenye iyo zahanati ni kama nguzo tatu an nne tu mimi najiuliza ivi Tanesco hawaoni umuhimu wa kuweka Umeme kwenye iyo Zahana? Tanesco lini watabadilika? Na sio zahanati tu bali kijiji kizima hakina umeme na Nguzo zilipoishia ni jirani tu na Kijiji yani nguzo nne umeme mpaka kijijini, kwanini ma Meneja wa Wilaya na Mikoa wasiwe wanatembea kuangalia namna wanaweza kuwasaidia wananchi,Umeme ni muhimu sana kwenye kuleta
Hii ni Kwa sababu
1)Tanesco Nyakato inachangamoto ya uongozi na customer care mbaya
2)Tanesco hawako organised
3)Staff ya Tanesco ni wachache
4) Upungufu wa Materials
5)Rushwa:Wengi wa wafanyakazi wako kimaslahi binafisi
6) Serikali haijawa imara sana eneo hili
 
Inasikitisha sana, ngoja waje kukutatulia tatizo lako kwa kukuomba location...
 
Nguzo na vifaa vyote vya kuunganisha umeme ni mali ya TANESCO, katika hali halisi,huduma ya kuwekewa umeme ilipaswa kutolewa bure,mteja ulipie matumizi ya umeme.
Kwa miaka mingi walipa kodi wa Tanzania, kupitia serikali yao wamekuwa wanatoa ruzuku ya uendeshaji wa Shirika la Umeme Tanzania.
Miaka 5 iliyopita watumiaji wa umeme wamekuwa wakichangia au kulipia asilimia 3 kwenye mfuko wa REA,(kwa maana nyingine watumiaji wa umeme wamechangia mabillioni ya fedha kwenye mfuko wa REA).
Ninadhani,ni kwa muktadha huu serikali imeamua wananchi kulipia shs27,000 (kwa Waombaji wapya),hii siyo fadhila,ni wajibu wa serikali kwa wananchi wake na ni haki ya wananchi kupata huduma ya umeme kwa gharama nafuu.

Ushauri
(1). TANESCO kitengo Cha huduma kwa wateja badala ya kuwataka wateja kujaza taarifa zilizoainishwa, kwenye fomu zao,waagize kila kituo waweke utaratibu wa kuwasilisha taarifa ya pending applications za wateja wapya (TANESCO Mkoa/Kanda/Makao Makuu ) kila siku/week/mwezi/quarter/mwaka na hatua mbalimbali zilizofikiwa na changamoto.
(2). Aidha kitengo Cha huduma kwa wateja wanaweza kuingia kwenye mitandao wakaona (kwa mfano kituo Cha Nyakato au Chanika) Kuna pending applications ngapi.
(3).Kwa kuwa asilimia 3 ya REA inakusanywa na TANESCO,na kupelekwa kwenye mfuko au taasisi husika.
-Ni vema jukumu la usambazaji umeme(transmission-nguzo na vifaa vya umeme),likahamishiwa REA,na
-TANESCO,ikabakiwa na jukumu la uzalishaji (Generation-Vyanzo vya umeme) na utoaji huduma kwa wateja (ukusanyaji maduhuli nk).
 
Nguzo na vifaa vyote vya kuunganisha umeme ni mali ya TANESCO, katika hali halisi,huduma ya kuwekewa umeme ilipaswa kutolewa bure,mteja ulipie matumizi ya umeme.
Kwa miaka mingi walipa kodi wa Tanzania, kupitia serikali yao wamekuwa wanatoa ruzuku ya uendeshaji wa Shirika la Umeme Tanzania.
Miaka 5 iliyopita watumiaji wa umeme wamekuwa wakichangia au kulipia asilimia 3 kwenye mfuko wa REA,(kwa maana nyingine watumiaji wa umeme wamechangia mabillioni ya fedha kwenye mfuko wa REA).
Ninadhani,ni kwa muktadha huu serikali imeamua wananchi kulipia shs27,000 (kwa Waombaji wapya),hii siyo fadhila,ni wajibu wa serikali kwa wananchi wake na ni haki ya wananchi kupata huduma ya umeme kwa gharama nafuu.

Ushauri
(1). TANESCO kitengo Cha huduma kwa wateja badala ya kuwataka wateja kujaza taarifa zilizoainishwa, kwenye fomu zao,waagize kila kituo waweke utaratibu wa kuwasilisha taarifa ya pending applications za wateja wapya (TANESCO Mkoa/Kanda/Makao Makuu ) kila siku/week/mwezi/quarter/mwaka na hatua mbalimbali zilizofikiwa na changamoto.
(2). Aidha kitengo Cha huduma kwa wateja wanaweza kuingia kwenye mitandao wakaona (kwa mfano kituo Cha Nyakato au Chanika) Kuna pending applications ngapi.
(3).Kwa kuwa asilimia 3 ya REA inakusanywa na TANESCO,na kupelekwa kwenye mfuko au taasisi husika.
-Ni vema jukumu la usambazaji umeme(transmission-nguzo na vifaa vya umeme),likahamishiwa REA,na
-TANESCO,ikabakiwa na jukumu la uzalishaji (Generation-Vyanzo vya umeme) na utoaji huduma kwa wateja (ukusanyaji maduhuli nk).
Ushauri Mzuri sana Tanesco chukueni mfanyie kazi
 
Tatizo siasa kwenye mambo ya kitaalamu...

Mtu anaunganishiwaje umeme kwa 27,000?

Hakuna cha bure duniani, gharama halisi sio 27,000... nani analipia hiyo tofauti? Kama serikali imeamua kweli kuunganisha watu umeme kwa bei nafuu;
1. Mwananchi afanye application
2. Apewe control number yenye gharama halisi
3. Akampe Mwigulu alipe.
Kuna jamaa '' mkoa Mara wilaya Moja hv , walimfanyia survey nguzo tatu, gharama 1.7 M, hadi leo bado anatafuta
 
MD mpya Bw. Maharage ndiye mwarobaini wa matatizo yote ya Tanesco. Tumwombee kheri.
Hahaaaa!!hii nchi mtahangaika sana, kwa kuendekeza utendaji wa mtu binafsi badala ya ubora wa mifumo!!ametoka huko alikokuwa (sekta binafsi)na kuonekana ni bora, lakini anakuja huku serikalini ambako wao wako ki huduma zaidi na si kibiashara, utegemee ndio tiba ya matatizo yote?serikali haitoi pesa za kununua vifaa , mita, nguzo, nyaya, sasa nchi nzima ni kilio cha mlundikano wa watu kuhitaji huduma ya umeme, wanaambiwa vifaa hakuna!nguvu zote kwa sasa ni REA tu!!
Na bodi yenyewe hiyo iliyojaa wafanya biashara tupu, sioni kama kuna jipya!!
 
Tatizo siasa kwenye mambo ya kitaalamu...

Mtu anaunganishiwaje umeme kwa 27,000?

Hakuna cha bure duniani, gharama halisi sio 27,000... nani analipia hiyo tofauti? Kama serikali imeamua kweli kuunganisha watu umeme kwa bei nafuu;
1. Mwananchi afanye application
2. Apewe control number yenye gharama halisi
3. Akampe Mwigulu alipe.
Acha kupotosha watu kwani hizo kero za tanesco kuwanganishia watu kuchukua muda mrefu zimeanza kipindi hiki tu cha bei ya 27, 000?miaka yote huko nyuma kwa mteja anayehitaji nguzo hata moja tu ilikuwa ni tabu sana kupata umeme, ki fupi tanesco hawana vifaa , hasa nguzo, naona nguvu zote kwa sasa ni REA, na sio watumiaji wa mijini na wale ambako miradi ilishakabidhiwa.
 
Na huu ndio ukweli unatesa watu hadi kero, unaenda Tanesco uwezo wa kulipia gharama zozote unao ,Changamoto wanaanza kukupa mpaka unasema serikali iko likizo ama wameamua kutunyosha tu
1)Surveyor wachache
2)Wahitaji ni wengi Mfano ukienda pale nyakato Mwanza utakutana na fomu kama 3000 watu wanahitaji umeme
3)Gharama za kununua Material hawana
4) Nguzo zimeisha
5)Nyaya zimeisha
6)Meter Hakuna
7)Magari hayatoshi
8) Watumishi ni wachache
Hayo matatizo sio sababu ya 27, 000, mbona miaka yote huko nyuma yalikuwepo?wakati huo kwa nguzo moja mtu alikuwa analipishwa zaidi ya 320, 00 na analipa lakini atakaa miezi hata mi 4, hajapata umeme!!
 
Bwana ndokeki kinehe duh
Kuna vitu mnakosea mnapoandika
Kichwa cha habari tayari kina shutumu tanesco na Uongozi mpya ambao hata siku 3haujamaluza. Inaonesha na wewe ni mtu wa mkakati dhidi ya watu wapya walioteuliwa ukiunga mkono waliotenguliwa
 
The hopeless sukuma gang
Atleast Sukuma gang had the vision of what was supposed to be done!

Huu upuuzi ungesikika JPM akiwepo huyo boss mzembe asingekuwepo hapo ofisini Tanesco Mwanza. Zahanati inakosa umeme na kuna kiongozi wa Tanesco yuko ofisini mpaka sasa! Mama hii nchi haiwezi
 
Back
Top Bottom