TANESCO
Official Account
- Jul 12, 2014
- 4,600
- 2,134
Ndugu mpendwa Mteja wetuAtleast Sukuma gang had the vision of what was supposed to be done!
Huu upuuzi ungesikika JPM akiwepo huyo boss mzembe asingekuwepo hapo ofisini Tanesco Mwanza. Zahanati inakosa umeme na kuna kiongozi wa Tanesco yuko ofisini mpaka sasa! Mama hii nchi haiwezi
Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Namba ya taarifa
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja